asiyetabirika
Member
- Oct 14, 2019
- 46
- 56
Katika majina ya wagombea wote waliokosa vigezo vya kugombea uenyekiti SM wametoka upinzani, je upande ule wao wote wako timilifu yaani hakuna hata mmoja wao aliyekosea japo kidogo iwe kujaza fomu au kukosa vigezo?