Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo Vyama vinagombea uchaguzi gani?Sioni wagombea zaidi ya watawala.Ama Mimi sifahamu kusoma?Hiyo Ndio demokrasia
Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine
Vyama 11 vimeridhishwa na Zoezi la maandalizi ya Uchaguzi
Kura gani tena?CCM imepita bila kupingwa kwa >90%& wapinzani wamejitoa,bado mnawaongopea wananchi kuna uchaguzi?Tuache visingizio tupambane kwa hoja tushawishi wapiga kura
Kura ipi uliyokusudia ww wakati sanduku LA kura huyo munaemuabudu analiogopaTuache visingizio tupambane kwa hoja tushawishi wapiga kura
Wengi hawajamuelewa mtoa mada kwenye Kiswahili kuna kitu inaitwa "kejeli" huyu hayupo kabsaaa ccm nashangaa upinzani humu wanamnangaNahisi wewe unakitu unakilenga kitokee tofauti na maandishi yako.Pia huenda wewe sio mgombea ila lengo lako ni kuonekana wagombea wa ccm hawana busara wala hekima Kama wewe.
Bora hata ukisema unatokea Somalia au Libya ili washangae Vizuri...CCM inatufanya tukiwa nje tuogope kusema tunapotokea. Mimi huwa nadanganya sana kuwa natokea Kenya, na mara chache South Africa.
Mbona huyu msimamizi kaandika ACT Wazalendo? Kumbe jina hilo lipo.Hawatu wakue hata na mishipa ya aibu basi. Wanataka watuhaliribie taifa letu kwa uchu wao wa madaraka ili iweje? Mambo ya kishamba kabisa haya kutokea.View attachment 1258034
Hapana mkuu,sijalenga kitu chochoteNahisi wewe unakitu unakilenga kitokee tofauti na maandishi yako.Pia huenda wewe sio mgombea ila lengo lako ni kuonekana wagombea wa ccm hawana busara wala hekima Kama wewe.
VYAMA GANI AMBAVYO HAVIJAWAHI KUSHINDA HATA JIMBO MOJA AU MTAA MMOJA. CCM MMEWAKUSANYA NA KUWALIPA VIHELA KIDOGO ILI MUWADANGANYE WANANCHI...HIVI MNAFIKIRI NANI ASIYEJUA MBINU ZENU. HATA LIPUMBA NDUGU YENU KAWAPINGA.Hiyo Ndio demokrasia
Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine
Vyama 11 vimeridhishwa na Zoezi la maandalizi ya Uchaguzi
Vyama hewaHiyo Ndio demokrasia
Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine
Vyama 11 vimeridhishwa na Zoezi la maandalizi ya Uchaguzi
Una uhakika yeye sio kilaza? Kwanini asitoe kauli akiwa kama Rais?Hiki chama ni changu ila kimejaza vilaza hatari, mh. Magufuri fanya mapinduzi chamani pls
Hivi unadhani CCM itatawala milele?Hiyo Ndio demokrasia
Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine
Vyama 11 vimeridhishwa na Zoezi la maandalizi ya Uchaguzi