Lissu anatetea maslahi yapi ? Yule aliyesema tutashitakuwa MIGA katika suala la madini ? Katika wapinzani wa hovyo Tanzania Lissu ni nambari one. Yeye kazi yake ni kuichafua nchi huko nje, mpinzani gani wa hivyo ? Hauko serious.Tufanye NEC hawakuiba kura mbona waTanzania 43% walichagua upinzani 2015?? Ina maana Nusu ya waTanzania inakubaliana na upinzani sasa hizi kejeli kuwa hakuna upinzani unazitoa Wapi??
Hivi Samia unaweza mlinganisha na Lissu kwenye intelligence na kutetea maslahi ya wananchi?
Mama Samia si ndio alichafua nchi Ina ugaidi akiwa London? Si alichafua nchi kwamba JPM alikufa kwa Corona? Hivi si alichafua nchi akiwa US kwamba nchi ilikua ya kidikteta enzi za JPM!! Mbona mmempa Urais au akisema CCM ni haki ila Lissu akisema JPM ni dikteta ndio anageuka msaliti??Lissu anatetea maslahi yapi ? Yule aliyesema tutashitakuwa MIGA katika suala la madini ? Katika wapinzani wa hovyo Tanzania Lissu ni nambari one. Yeye kazi yake ni kuichafua nchi huko nje, mpinzani gani wa hivyo ? Hauko serious.
Hakuna kitu kama hicho. Hakuna mpinzani wa kuingia Ikulu kwa sasa hapa Tanzania.Tufanye NEC hawakuiba kura mbona waTanzania 43% walichagua upinzani 2015?? Ina maana Nusu ya waTanzania inakubaliana na upinzani sasa hizi kejeli kuwa hakuna upinzani unazitoa Wapi??
Hivi Samia unaweza mlinganisha na Lissu kwenye intelligence na kutetea maslahi ya wananchi?
Kumbuka hata kanda zingine upinzani upo. Kwa hiyo usicheze na kanda yenye wapiga kura wengi. Wahusika wanalijua30% inaamua Rais?? Kanda zingine zinaleta 70% sasa inaamuaje Rais?
Mie ni wa Kanda ya ziwa ila sio kweli kuwa Kanda moja au kabila linaamua Rais hii nchi hatuna makabila makubwa hivyo kama Kenya.
Kanda ya Ziwa hakuna kabila moja, unateseka bure ndugu yangu ila ukweli mchungu ni kwamba kanda hiyo ndiyo yenye wapiga kura wengi.Athari Gani? Katiba inaruhusu Rais kuvunja bunge kama anapingwa mfano kwenye Bajeti Sasa unadhani wabunge wanaweza mkwamisha Rais?
Btw Kanda ya ziwa yote haina majimbo zaidi ya 70 yaani haina hata theluthi moja ya majimbo ilihali Zanzibar pekee Ina majimbo 50!! Sasa unadhani mnaweza kwamisha lolote bungeni?
Msikuze sana hamna Cha ajabu kuhusu Kanda ya ziwa kwenye siasa za Tanzania huo ukabila pelekeni Burundi
Acha UONGO..Hakuna kitu kama hicho. Hakuna mpinzani wa kuingia Ikulu kwa sasa hapa Tanzania.
Kwani Ukiondoa Kanda ya Ziwa unamaanisha Kanda zingine zote ni wamoja ? Kwanza uelewe kwamba watu wa Kanda ya Ziwa wametapakaa mikoa yote. Ukweli mchungu ni huo kwamba Kanda ya Ziwa ndio Kanda kuu. Hutaki kajinyonge.Athari Gani? Katiba inaruhusu Rais kuvunja bunge kama anapingwa mfano kwenye Bajeti Sasa unadhani wabunge wanaweza mkwamisha Rais?
Btw Kanda ya ziwa yote haina majimbo zaidi ya 70 yaani haina hata theluthi moja ya majimbo ilihali Zanzibar pekee Ina majimbo 50!! Sasa unadhani mnaweza kwamisha lolote bungeni?
Msikuze sana hamna Cha ajabu kuhusu Kanda ya ziwa kwenye siasa za Tanzania huo ukabila pelekeni Burundi
Hajui kitu hiyo.Sidhani kama umeongea ukiwa na akili timamu. [emoji23][emoji23] kanda ya ziwa inayoongoza kwa wasomi ndo iwe bogus? Hujawahi kujiuliza hata asilimia kubwa ya wabunge wapinzani walitokea kanda ya ziwa? Kusini na kati ndo ndunducha tu, we huna takwimu zozote. Kanda ya ziwa ni zaidi ya robo ya population ya watanzania
Wewe ni mpuuzi Fulani tu. Hiyo Kanda tayari imeshatoa maraisi wawili halafu unaleta ngojera hapa. Mungu akiamua Rais anaweza toka tena Kanda hiyo hiyo. Nani alijua kama Mzanzibar atakuja kuwa Rais wa Tanzania ?Hakutakuwa na candidate tokea huko! Hilo kosa halitorudiwa KAMWE!
Wenyewe CCM wanajua wanachofanyaga!
Kura za kuhesabiwa na mawakala hawazitegemei! So maybe iko siku moja Kura za kweli zitatupa picha halisi!
Siyo Kura zinazokutwa kwenye viroba vya MBOLEA.
NEC na vyombo vya dola ndiyo vinaweka Rais madarakaniHello great thinkers...
Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.
Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.
Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)
Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...
Kwa nini tusifanye kama Marekani?
Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..
Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...
Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..
Fairness ndicho tunachokitaka...
Ingekuwa hivyo Mzee Mapesa amekuwa Raisi Baada ya Mwinyi, na Baadae angekuwa Lipumba au Karamagi au Kagasheki . Au Handsome Boy wa Bukoba au Kaizelage. Infwact kwa Bukoba tunao a handfull of people , wengine tunawaficha.Hello great thinkers...
Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.
Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.
Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)
Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...
Kwa nini tusifanye kama Marekani?
Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..
Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...
Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..
Fairness ndicho tunachokitaka...
Wapiga kura wengi compared to who?? 17 million out of 60 million ndio unaamua Rais?Kanda ya Ziwa hakuna kabila moja, unateseka bure ndugu yangu ila ukweli mchungu ni kwamba kanda hiyo ndiyo yenye wapiga kura wengi.
Mie natokea Kanda ya ziwa huku hatujawahi chagua CCM miaka yote hasa Kigoma, Shinyanga, Kagera, na Mara.Kwani Ukiondoa Kanda ya Ziwa unamaanisha Kanda zingine zote ni wamoja ? Kwanza uelewe kwamba watu wa Kanda ya Ziwa wametapakaa mikoa yote. Ukweli mchungu ni huo kwamba Kanda ya Ziwa ndio Kanda kuu. Hutaki kajinyonge.
Kanda ya Nyanda za juu kusini plus Kanda ya kati na pwani tayari Una 60% plus ya kura!! Sasa Kanda ya ziwa inaongeza nini?Kumbuka hata kanda zingine upinzani upo. Kwa hiyo usicheze na kanda yenye wapiga kura wengi. Wahusika wanalijua
sana hili na wako makini nalo
What's special hapo wakati ukanda wa Pwani umetoa Marais 3. Kwani umeskia Pwani ndio Ina wapiga kura wengi?? Kuwa Rais nchi hii hauna correlation na wingi wa watu otherwise Nyerere kwa udogo wa Kabila lake asingeshinda kura.Wewe ni mpuuzi Fulani tu. Hiyo Kanda tayari imeshatoa maraisi wawili halafu unaleta ngojera hapa. Mungu akiamua Rais anaweza toka tena Kanda hiyo hiyo. Nani alijua kama Mzanzibar atakuja kuwa Rais wa Tanzania ?
Nilidhani nawasiliana na MTU wa maana kumbe ni jitu jinga lililopigwa kwa cheti fake. Ngoja nikwambie we nyau kwamba Kanda ya Ziwa itabaki kuwa kanda kuu nchini Tanzania. Hutaki kasage chupa ufe.What's special hapo wakati ukanda wa Pwani umetoa Marais 3. Kwani umeskia Pwani ndio Ina wapiga kura wengi?? Kuwa Rais nchi hii hauna correlation na wingi wa watu otherwise Nyerere kwa udogo wa Kabila lake asingeshinda kura.
So acha siasa za kikabila!!
Acha propaganda hii sio FB huku kuna great thinkers. Mimi ni WA Kanda ya ziwa ila ukweli ni kwamba wapiga kura 32% ndio wanatokea Kanda ya ziwa Tanganyika na Victoria. na Wasukuma ni 17% ya taifa Zima ikimaanisha makabila mengine ni 83% na Kanda zingine Zina wapiga kura 68%.Nilidhani nawasiliana na MTU wa maana kumbe ni jitu jinga lililopigwa kwa cheti fake. Ngoja nikwambie we nyau kwamba Kanda ya Ziwa itabaki kuwa kanda kuu nchini Tanzania. Hutaki kasage chupa ufe.
Kwani nani aliyekudanganya kwamba kanda zingine zote ziko kinyume na kanda ya ziwa ? Hujui kwamba kwa sasa mikoa karibu yote Tanzania watu wasAcha propaganda hii sio FB huku kuna great thinkers. Mimi ni WA Kanda ya ziwa ila ukweli ni kwamba wapiga kura 32% ndio wanatokea Kanda ya ziwa Tanganyika na Victoria. na Wasukuma ni 17% ya taifa Zima ikimaanisha makabila mengine ni 83% na Kanda zingine Zina wapiga kura 68%.
Sasa hapo jiongeze nani anaamua Rais kama ni 68% au hao 32% wa Kanda ya ziwa, ukipata jibu ndio utajua nani ni mjinga.