Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

Mawazo yako yangefaa sana kama uchaguzi wetu ungekuwa wa huru na haki na mshindi angekuwa anatokana na kura zilizopigwa kweli.
 
Wafuasi wa jiwe ni kama mmeamka kutoka usingizini!
Toka lini Tanzania mshindi halali ndiye anatangazawa kuwa Rais?.
[emoji1484]
 
Wengi uliwahesabu lini??
Usianze kulaumu Kanda Sasa we fanya yanayostahili si unaelewa saikolojia ya watu wako!

Ukiijua jamii yako hutajadili swala la ukanda, labda nikuibie siri Tanzania bado ilikuwa haijafikia hatua ya kuongozwa na mwanamke, imetokea kama bahati tu!.

Chengine ule mwendo wa mwenda zake ndio wengi waliutaka Sasa wewe ukaamua kwenda na mwendo wako!, lazima wakubadilikie tu!. Stay cool please
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
Uchaguzi ni miaka 3 mbele nyie mshaanza kuwa na hofu ya kushindwa. By the way, Mama si anaupiga mwingi?
 
NOTE THIS"" Life is too short, live the life's now built while dancing, unaweza kwa akili mbofu ukajenga eti ili baadae ule raha na usiile ukafa kafir ""
 
Athari Gani? Katiba inaruhusu Rais kuvunja bunge kama anapingwa mfano kwenye Bajeti Sasa unadhani wabunge wanaweza mkwamisha Rais?

Btw Kanda ya ziwa yote haina majimbo zaidi ya 70 yaani haina hata theluthi moja ya majimbo ilihali Zanzibar pekee Ina majimbo 50!! Sasa unadhani mnaweza kwamisha lolote bungeni?

Msikuze sana hamna Cha ajabu kuhusu Kanda ya ziwa kwenye siasa za Tanzania huo ukabila pelekeni Burundi
Nina naana ya kwamba kama kanda ikachagua wabunge wengi wa upinzani kunakuwa na kazi sana kwa serikali katika mipango yake ya kuendesha nchi
 
Athari Gani? Katiba inaruhusu Rais kuvunja bunge kama anapingwa mfano kwenye Bajeti Sasa unadhani wabunge wanaweza mkwamisha Rais?

Btw Kanda ya ziwa yote haina majimbo zaidi ya 70 yaani haina hata theluthi moja ya majimbo ilihali Zanzibar pekee Ina majimbo 50!! Sasa unadhani mnaweza kwamisha lolote bungeni?

Msikuze sana hamna Cha ajabu kuhusu Kanda ya ziwa kwenye siasa za Tanzania huo ukabila pelekeni Burundi
Ajabu ipo sana uwe unakubali au hutaki lakini wenye serikali yao wanaujua vizuri huo mziki ndio maana wanaucheza mapema. Wewe huwezi kujua bado mtoto sana kufahamu mambo mazito. Pole sana ukikuwa utaelewa tu
 
Hakutakuwa na candidate tokea huko! Hilo kosa halitorudiwa KAMWE!

Wenyewe CCM wanajua wanachofanyaga!
Kura za kuhesabiwa na mawakala hawazitegemei! So maybe iko siku moja Kura za kweli zitatupa picha halisi!

Siyo Kura zinazokutwa kwenye viroba vya MBOLEA.
Wewe hujui kitu mwaka 2015 bila kumweka huyo wa kanda kuu nchi ilikuwa inakwenda upinzani. Mungu akiamua lazima tu Rais atatokea tena kanda hiyo ambayo wewe huitaki ,maana yeye ndio muweza ya yote.
 
Hello great thinkers...

Mimi naona hii njia ya kuhesabu kura zote Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu ina mapungufu.

Kanda ya Ziwa ni kama inadetermine nani atakuwa Rais.

Na wenyewe kwa kutambua hili wanakua arrogant, kama wanavyomtishia mama kuwa hatashinda uchaguzi ujao (Sio wote)

Mimi naona hii sio fair kwa mikoa ile yenye watu wachache...

Kwa nini tusifanye kama Marekani?

Mkoa/jimbo moja linahesabu kura then anayeshinda anatangazwa ameshinda kwenye mkoa/jimbo hilo..

Anayeshinda mikoa yote ndio anakuwa Rais wetu...

Kwa njia hii hakuna Kanda itakayokua juu ya Kanda nyingine..

Fairness ndicho tunachokitaka...
30% ya population ipo Kanda ya Ziwa, na ndiyo Kanda inayoongoza Kwa watu kutaka mabadiliko, hakuna chama kinaweza kukubalika nchi hii bila kuwa na wafuasi lake zote, CCM na Chadema wanajua nguvu ya watu wa Kanda ya ziwa
 
Ajabu ipo sana uwe unakubali au hutaki lakini wenye serikali yao wanaujua vizuri huo mziki ndio maana wanaucheza mapema. Wewe huwezi kujua bado mtoto sana kufahamu mambo mazito. Pole sana ukikuwa utaelewa tu
30% inaamua Rais?? Kanda zingine zinaleta 70% sasa inaamuaje Rais?

Mie ni wa Kanda ya ziwa ila sio kweli kuwa Kanda moja au kabila linaamua Rais hii nchi hatuna makabila makubwa hivyo kama Kenya.
 
Wewe hujui kitu mwaka 2015 bila kumweka huyo wa kanda kuu nchi ilikuwa inakwenda upinzani. Mungu akiamua lazima tu Rais atatokea tena kanda hiyo ambayo wewe huitaki ,maana yeye ndio muweza ya yote.
Kwani wapinzani siyo watu!? Siyo watanzania!?? Haki ya kuwa viongozi ni ya watanzania wote!

Sisiem haitegemei sanduku la Kura linalohesabiwa ofisi za serikali ya mtaa, wewe na unayejua kuliko Mie nisiyejua naamini wajua Hilo!
 
30% inaamua Rais?? Kanda zingine zinaleta 70% sasa inaamuaje Rais?

Mie ni wa Kanda ya ziwa ila sio kweli kuwa Kanda moja au kabila linaamua Rais hii nchi hatuna makabila makubwa hivyo kama Kenya.
Nani alikudanganya kama kanda ya ziwa ni kabila moja ? Kumbuka unapotaja kanda ya Ziwa hata kanda ya magharibi imo yaani Tabora, Katavi na Kigoma.
 
Kwani wapinzani siyo watu!? Siyo watanzania!?? Haki ya kuwa viongozi ni ya watanzania wote!

Sisiem haitegemei sanduku la Kura linalohesabiwa ofisi za serikali ya mtaa, wewe na unayejua kuliko Mie nisiyejua naamini wajua Hilo!
Wapinzani wa nchi hii ndugu yangu bado sana. Watanzania wengi bado hawajaridhika na upinzani wa nchi hii hadi kuwaamini na kuwaingiza ikulu, labda 2050 huko kwa watakaojaliwa kuwepo.
 
Nani alikudanganya kama kanda ya ziwa ni kabila moja ? Kumbuka unapotaja kanda ya Ziwa hata kanda ya magharibi imo yaani Tabora, Katavi na Kigoma.
Ndio hoja yangu hasa kwamba hao hawapigi kura kama block au kabila moja hayo mambo yapo Kenya tu na Uganda ambapo makabila ni makubwa na machache. Mfano Kigoma,Kagera, Mara,ukerewe,shinyanga, ni maeneo ya upinzani miaka mingi sasa kufanya eti Kanda ya ziwa yoteee Ina sauti moja ni uongo na kuleta ukabila ambao haupo. Na hata wangeamua ni 30% tu ya kura zote so Bado watahitaji Kanda zingine ziwashike mkono.
 
Wapinzani wa nchi hii ndugu yangu bado sana. Watanzania wengi bado hawajaridhika na upinzani wa nchi hii hadi kuwaamini na kuwaingiza ikulu, labda 2050 huko kwa watakaojaliwa kuwepo.
Tufanye NEC hawakuiba kura mbona waTanzania 43% walichagua upinzani 2015?? Ina maana Nusu ya waTanzania inakubaliana na upinzani sasa hizi kejeli kuwa hakuna upinzani unazitoa Wapi??

Hivi Samia unaweza mlinganisha na Lissu kwenye intelligence na kutetea maslahi ya wananchi?
 
Back
Top Bottom