Uchaguzi USA 2024: Kamala hana mpinzani na atashinda asubuhi!

Bro Mag3 naamini huko ulipo umejihidi kunywa hata maji. Maana hili pigo sio mchezo angalia hapa Trump kazoa EC votes zaidi ya 300 licha ya kushindana na watu lukuki wakati yeye ana Elon Musk peke yake, ndio ujue kabisa wamarekani sio watanganyika... Wanajua taifa lao linahitaji nini na kiongozi gani anayewafaa.
 
Una hali gani huko uliko?
 
Mbona hujibu meseji ewe mpenda makalio??? Hahaha mmepigwa mapemaa
 
Ewe kalios upo wapi?
 
Je amepata mpinzani au bado?
 
Kwamba wale wahafidhina wampe password za nuclear mke wa mtu? Subutu, Marekani hi hi. Uingereza walijaribu mara moja, don't think kama watarudia tena
 
Mkuu, unaweza kurudia tena maneno yako?
 
Wewe mburula labda ulikuwa unamaanisha USA ya pale Arusha kati ya Tengeru na MajiyaChai
 
Tanganyika iko wapi kwenye ramani ? Je kwenye orodha ya mataifa huru chini ya UN Tanganyika iko namba ngapi?

Acheni kukaririshwa na hoja za uzushi za akina Tundu Lissu
 
🤣🤣🤣
 
Unamaanisha asubuhi ya lini hapa mkuu, kesho au kkutwa? Maana muda wa kuhesabu kura unaenda mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…