Hata hili niliisha wauliza sana humu, Alifanya nini TLS wakanitukana, ni mewauliza Alipokuwa mwanasheria mkuu wa chadema alifanya nini wakanitukana, kawa makamu mwenyekiti wa chadema miaka mitano kafanya nini, bado wananitukana.
Wao kwao Lisu ni Mungu, anaweza kila kitu lakini hwanauwezo wa kukuonyesha au kukueleza alichofanya kama sehemu ya mafanikio ya nafasi alizowahi kuzishika.
Ni mwansherii lakini sijui ana oparate vipi, Juzi hapa alisoma gazeti la The gurdian la huko UK, Akaita press akaanza kubwabwaja, Mara Tigo walihusika kutoa mawasiliano yangu nitawafunga, mara Makonda alihusika katika jaribio la kuniua.
Nilimuomba mtu huko UK anitumie kipande cha gazeti lililosema Tigo walishiriki mipango hiyo, au popote lilipoandika Makonda alihusika, jamaa akasema yule mtu alikuwa anahojiwa kwa issue tofauti kabisa, hata hazikuwa zinahusiana na Lisu.
Sasa jiulize, huyo ni mwansheria anaropoka vile kwa kusoma gazeti, angekuwa na ushahidi wa rushwa anazoimba kila siku si angelala studio ana record matusi dhidi ya Mbowe?
Ushahidi hana, ni vimaneno wanapeana vya kudanganyana mitandanoni na vijiweni yeye ana peleka kwenye media, huyu mtu wansema ni kichwa anaweza kuongoza Chadema.
Sasa hivi yeye ni Makamu mwenyekiti, anatamba na cheo lakini hafahamu majukumu ya nafasi aliyonayo, lakini anamkosoa kila mtu nchi hii, kasoro yeye.
Yeye naye analia eti katiba ya CHADEMA ni mbovu, unaweza kuamini huyo mtu anajielewa kweli?
Mwanasheria, aliyeshindwa kuisuka katiba ya chama chake, lakini analalamikia katiba ya JMT.
Mwanasheria aliyeshiriki maridhiano, lakini hakuelewa walikuwa wanaridhiana nini, lakini kuna mambo walikubaliana.
Sasa wafuasi wake wanamtukana kila asiyemkubali, kwasababu wanahisi wasiompenda watamkosesha kura.
Walipoanza walitaka Mbowe asigombee, nikawauliza huyo lisu mnataka apite bila kupingwa?
Wanamtaka Lisu hata wanasahau uchaguzi ni demokrasia.
Wao kwao Lisu ni Mungu, anaweza kila kitu lakini hwanauwezo wa kukuonyesha au kukueleza alichofanya kama sehemu ya mafanikio ya nafasi alizowahi kuzishika.
Ni mwansherii lakini sijui ana oparate vipi, Juzi hapa alisoma gazeti la The gurdian la huko UK, Akaita press akaanza kubwabwaja, Mara Tigo walihusika kutoa mawasiliano yangu nitawafunga, mara Makonda alihusika katika jaribio la kuniua.
Nilimuomba mtu huko UK anitumie kipande cha gazeti lililosema Tigo walishiriki mipango hiyo, au popote lilipoandika Makonda alihusika, jamaa akasema yule mtu alikuwa anahojiwa kwa issue tofauti kabisa, hata hazikuwa zinahusiana na Lisu.
Sasa jiulize, huyo ni mwansheria anaropoka vile kwa kusoma gazeti, angekuwa na ushahidi wa rushwa anazoimba kila siku si angelala studio ana record matusi dhidi ya Mbowe?
Ushahidi hana, ni vimaneno wanapeana vya kudanganyana mitandanoni na vijiweni yeye ana peleka kwenye media, huyu mtu wansema ni kichwa anaweza kuongoza Chadema.
Sasa hivi yeye ni Makamu mwenyekiti, anatamba na cheo lakini hafahamu majukumu ya nafasi aliyonayo, lakini anamkosoa kila mtu nchi hii, kasoro yeye.
Yeye naye analia eti katiba ya CHADEMA ni mbovu, unaweza kuamini huyo mtu anajielewa kweli?
Mwanasheria, aliyeshindwa kuisuka katiba ya chama chake, lakini analalamikia katiba ya JMT.
Mwanasheria aliyeshiriki maridhiano, lakini hakuelewa walikuwa wanaridhiana nini, lakini kuna mambo walikubaliana.
Sasa wafuasi wake wanamtukana kila asiyemkubali, kwasababu wanahisi wasiompenda watamkosesha kura.
Walipoanza walitaka Mbowe asigombee, nikawauliza huyo lisu mnataka apite bila kupingwa?
Wanamtaka Lisu hata wanasahau uchaguzi ni demokrasia.