Uchaguzi wa CHADEMA 2025 na uchaguzi wa TLS 2017

Uchaguzi wa CHADEMA 2025 na uchaguzi wa TLS 2017

Ume tumia lugha nyepesi, ujumbe direct, ila bado Wana lalamika.

uki piga ngeli ya Birmingham, si wata kimbizana Sasa😆
Yeye aendelee kubeba mabox tu huko, mambo ya nchi yetu atuachie sisi.
Madhila ya utekaji na kila aina ya uovu tunafanyiwa sisi, hivyo yeye hawezi kutufundisha vita sisi tulio uwanja wa mapambano huku yeye kajificha.
 
I don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu.

Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni.

Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo ‘mpendwa’ wao.

Tuliojaribu ku-reason nao na kuwaambia kwamba wayadhibiti matarajio yao kuhusu huo urais wa Lisu kwa sababu Rais wa TLS hana mamlaka yoyote yale ya kuleta mabadiliko, walijaribu kutuzima kwa kelele zao.

Nikiri kuwa Tundu Lisu ndiye mwanasiasa pekee, kwa mtazano wangu mimi, aliye na washabiki walio rabid sana Tanzania nzima.

Wengi wa hawa washabiki wa Lisu, wako delusional.

Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt 🤣.

That’s their level of delusion. Lisu delulus 😀.

Tulichowaonya kipindi hicho ndicho kilichokuja kutokea. Lisu hakuleta tofauti yoyote huko TLS. Na mpaka leo hiyo TLS ipo ipo tu kama ilivyowahi kuwepo kuwepo huko nyuma.

Fast forward to now, 2025. Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA unafanyika wiki ijayo.

Kiongozi wao huyo mpendwa [Dear leader] kaamua kugombea nafasi ya uenyekiti ambayo mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe, naye anagombea.

Uamuzi huo wa Lisu umezua mtafaruku mkubwa sana kwenye hicho chama.

Na kama ilivyo ada kwa hao washabiki wa Lisu, huwaambii kitu kuhusu huo ugombeaji wa Lisu.

Kila kona wanamshambulia Mbowe. Mwenyekiti wao huyo kageuka kuwa adui sasa.

Anaitwa kila aina ya majina. Anapakwa kila aina ya matope.

He [Mbowe] is now persona non grata! Who’d a thunk it?

Lisu ni mpiga kelele mzuri kuliko alivyo kiongozi. Sitegemei yoyote yale makubwa na yaliyo tofauti endapo atashinda huo uenyekiti.

Ambacho ataendelea kukifanya ni kuwakosha wapenzi wake [preaching to his choir] kwa histrionics zake.

Watamsifia kila kukicha kwamba hamung’unyi maneno, hivi, na vile.

But, at the end of the day, when one scratches beneath the surface, it’ll be discovered that nothing much changed.

Just more of the same with enhanced theatrics.
Ni kweli.
 
Mume wangu kasafiri nipo mwenyewe, usihofu, nakuahidi usiri mkubwa.
Oh…..hahaha! Safi sana. Nilijua tu mumeo hawezi kuwepo.

Sasa tufanye hivi….nakutumia Bolt ije kukuchukua ikulete hapa Juliana.

Na uvae kile kigauni chako cha maua maua. Lakini usivae pichu.

Sawa Ashura?
 
Yeye aendelee kubeba mabox tu huko, mambo ya nchi yetu atuachie sisi.
Madhila ya utekaji na kila aina ya uovu tunafanyiwa sisi, hivyo yeye hawezi kutufundisha vita sisi tulio uwanja wa mapambano huku yeye kajificha.
Nchi yenu wewe na nani?

Tanzania nami ya kwangu pia na huna la kufanya juu ya hilo.
 
I don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu.

Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni.

Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo ‘mpendwa’ wao.

Tuliojaribu ku-reason nao na kuwaambia kwamba wayadhibiti matarajio yao kuhusu huo urais wa Lisu kwa sababu Rais wa TLS hana mamlaka yoyote yale ya kuleta mabadiliko, walijaribu kutuzima kwa kelele zao.

Nikiri kuwa Tundu Lisu ndiye mwanasiasa pekee, kwa mtazano wangu mimi, aliye na washabiki walio rabid sana Tanzania nzima.

Wengi wa hawa washabiki wa Lisu, wako delusional.

Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt 🤣.

That’s their level of delusion. Lisu delulus 😀.

Tulichowaonya kipindi hicho ndicho kilichokuja kutokea. Lisu hakuleta tofauti yoyote huko TLS. Na mpaka leo hiyo TLS ipo ipo tu kama ilivyowahi kuwepo kuwepo huko nyuma.

Fast forward to now, 2025. Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA unafanyika wiki ijayo.

Kiongozi wao huyo mpendwa [Dear leader] kaamua kugombea nafasi ya uenyekiti ambayo mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe, naye anagombea.

Uamuzi huo wa Lisu umezua mtafaruku mkubwa sana kwenye hicho chama.

Na kama ilivyo ada kwa hao washabiki wa Lisu, huwaambii kitu kuhusu huo ugombeaji wa Lisu.

Kila kona wanamshambulia Mbowe. Mwenyekiti wao huyo kageuka kuwa adui sasa.

Anaitwa kila aina ya majina. Anapakwa kila aina ya matope.

He [Mbowe] is now persona non grata! Who’d a thunk it?

Lisu ni mpiga kelele mzuri kuliko alivyo kiongozi. Sitegemei yoyote yale makubwa na yaliyo tofauti endapo atashinda huo uenyekiti.

Ambacho ataendelea kukifanya ni kuwakosha wapenzi wake [preaching to his choir] kwa histrionics zake.

Watamsifia kila kukicha kwamba hamung’unyi maneno, hivi, na vile.

But, at the end of the day, when one scratches beneath the surface, it’ll be discovered that nothing much changed.

Just more of the same with enhanced theatrics. You can quote me on that.


Pale unapofikiri una akili sana, kumbe trash tu
 
I don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu.

Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni.

Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo ‘mpendwa’ wao.

Tuliojaribu ku-reason nao na kuwaambia kwamba wayadhibiti matarajio yao kuhusu huo urais wa Lisu kwa sababu Rais wa TLS hana mamlaka yoyote yale ya kuleta mabadiliko, walijaribu kutuzima kwa kelele zao.

Nikiri kuwa Tundu Lisu ndiye mwanasiasa pekee, kwa mtazano wangu mimi, aliye na washabiki walio rabid sana Tanzania nzima.

Wengi wa hawa washabiki wa Lisu, wako delusional.

Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt 🤣.

That’s their level of delusion. Lisu delulus 😀.

Tulichowaonya kipindi hicho ndicho kilichokuja kutokea. Lisu hakuleta tofauti yoyote huko TLS. Na mpaka leo hiyo TLS ipo ipo tu kama ilivyowahi kuwepo kuwepo huko nyuma.

Fast forward to now, 2025. Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA unafanyika wiki ijayo.

Kiongozi wao huyo mpendwa [Dear leader] kaamua kugombea nafasi ya uenyekiti ambayo mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe, naye anagombea.

Uamuzi huo wa Lisu umezua mtafaruku mkubwa sana kwenye hicho chama.

Na kama ilivyo ada kwa hao washabiki wa Lisu, huwaambii kitu kuhusu huo ugombeaji wa Lisu.

Kila kona wanamshambulia Mbowe. Mwenyekiti wao huyo kageuka kuwa adui sasa.

Anaitwa kila aina ya majina. Anapakwa kila aina ya matope.

He [Mbowe] is now persona non grata! Who’d a thunk it?

Lisu ni mpiga kelele mzuri kuliko alivyo kiongozi. Sitegemei yoyote yale makubwa na yaliyo tofauti endapo atashinda huo uenyekiti.

Ambacho ataendelea kukifanya ni kuwakosha wapenzi wake [preaching to his choir] kwa histrionics zake.

Watamsifia kila kukicha kwamba hamung’unyi maneno, hivi, na vile.

But, at the end of the day, when one scratches beneath the surface, it’ll be discovered that nothing much changed.

Just more of the same with enhanced theatrics. You can quote me on that.
This is the idle mind, which is the devil's workshop.
 
I don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu.

Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni.

Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo ‘mpendwa’ wao.

Tuliojaribu ku-reason nao na kuwaambia kwamba wayadhibiti matarajio yao kuhusu huo urais wa Lisu kwa sababu Rais wa TLS hana mamlaka yoyote yale ya kuleta mabadiliko, walijaribu kutuzima kwa kelele zao.

Nikiri kuwa Tundu Lisu ndiye mwanasiasa pekee, kwa mtazano wangu mimi, aliye na washabiki walio rabid sana Tanzania nzima.

Wengi wa hawa washabiki wa Lisu, wako delusional.

Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt 🤣.

That’s their level of delusion. Lisu delulus 😀.

Tulichowaonya kipindi hicho ndicho kilichokuja kutokea. Lisu hakuleta tofauti yoyote huko TLS. Na mpaka leo hiyo TLS ipo ipo tu kama ilivyowahi kuwepo kuwepo huko nyuma.

Fast forward to now, 2025. Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA unafanyika wiki ijayo.

Kiongozi wao huyo mpendwa [Dear leader] kaamua kugombea nafasi ya uenyekiti ambayo mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe, naye anagombea.

Uamuzi huo wa Lisu umezua mtafaruku mkubwa sana kwenye hicho chama.

Na kama ilivyo ada kwa hao washabiki wa Lisu, huwaambii kitu kuhusu huo ugombeaji wa Lisu.

Kila kona wanamshambulia Mbowe. Mwenyekiti wao huyo kageuka kuwa adui sasa.

Anaitwa kila aina ya majina. Anapakwa kila aina ya matope.

He [Mbowe] is now persona non grata! Who’d a thunk it?

Lisu ni mpiga kelele mzuri kuliko alivyo kiongozi. Sitegemei yoyote yale makubwa na yaliyo tofauti endapo atashinda huo uenyekiti.

Ambacho ataendelea kukifanya ni kuwakosha wapenzi wake [preaching to his choir] kwa histrionics zake.

Watamsifia kila kukicha kwamba hamung’unyi maneno, hivi, na vile.

But, at the end of the day, when one scratches beneath the surface, it’ll be discovered that nothing much changed.

Just more of the same with enhanced theatrics. You can quote me on that.
Mkuu relevance ya Lisu kwa haramu zote mbili, mazingira na aina ya siasa za nyakati zote kwa kipindi kile na cha sasa ni very significant.

Hutendi haki kwa kusema Lisu hawezi kufanya chochote bila kusema mwenyekiti aliyepo sasa amefanya nini kwa Miaka yote 20.

Pili, huwezi kulinganisha mwaka mmoja wa hatamu ya Lisu TLS na miaka 20 ya hatamu ya mwenzake CDM!

Mkuu kumbuka Lisu kugombea urais kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kulivyomchachafia Mwendazake aliyekuwa Rais na mwenyekiti wa chama tawala hadi kuweka mpira kwapani.

Kilikuwa ni kipindi kifupi cha takribani miezi 3 ila hali ilikuwa mshike mshike, kasheshe na tafrani tupu kwa upande wa chama tawala.

Mkuu kuhitimisha, ukitaka kumhukumu Lisu kwa haki mpe uenyekiti kwa miaka 20 sawa na mgombea mwenzake ndio uje useme hawezi kufanya kitu!!!
 
Mkuu relevance ya Lisu kwa haramu zote mbili, mazingira na aina ya siasa za nyakati zote kwa kipindi kile na cha sasa ni very significant.

Hutendi haki kwa kusema Lisu hawezi kufanya chochote bila kusema aliyekuwepo amefanya nini kwa Mika yote 20.

Pili, huwezi kulinganisha mwaka mmoja wa hatamu ya Lisu TLS na miaka 20 ya hatamu ya mwenzake CDM!

Mkuu kumbuka Lisu kugombea urais kwenye uchaguzi kulivyomchachafia Magufuli Rais na mwenyekiti wa chama tawala hadi kuweka mpira kwapani.

Kilikuwa ni kipindi kifupi cha takribani miezi 3 ila ilikuwa tafrani tupu kwa upande wa chama tawala.

Mkuu ukitaka kumhukumu Lisu kwa haki mpe uenyekiti kwa miaka 20 sawa na mwenzake ndio uje useme hawezi kufanya kitu!!!
CHADEMA ndo chama kikuu cha upinzani nchini.

Kimefikia hadhi hiyo chini ya uenyekiti wa Mbowe.

Kutaka mabadiliko ndani ya chama ni sawa. Hakuna ubaya.

Lakini kudokeza kama vile Mbowe hajafanya chochote cha maana katika hiyo miaka 20 ya uenyekiti wake, ni udanganyifu.

Wekeni heshima katika jina la Mbowe.
 
CHADEMA ndo chama kikuu cha upinzani nchini.

Kimefikia hadhi hiyo chini ya uenyekiti wa Mbowe.

Kutaka mabadiliko ndani ya chama ni sawa. Hakuna ubaya.

Lakini kudokeza kama vile Mbowe hajafanya chochote cha maana katika hiyo miaka 20 ya uenyekiti wake, ni udanganyifu.

Wekeni heshima katika jina la Mbowe.
Mkuu CDM ni kikuu kwa kigezo kipi?? Sema kilikuwa, Kwani kwa sasa KUB anatokana nacho??
 
"Ni heri Dr. Slaa awe Rais, kuliko Lissu kuwa mbunge", Kikwete.

Public opinions huwa inaenda kulingana na situations za wakati husika, hilo najua unalijua Nyani.

Hata hapo Marekani, Trump kashinda Urais siyo kwa sababu ni bora sana, bali kwa nyakati hizi public inamuona ndiyo mtu sahihi kwa situations zilizopo.

Hata hapa Tanzania, public kwa sasa inamuelewa zaidi Lissu kuliko Mbowe.
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👏👍
 
Mkuu CDM ni kikuu kwa kigezo kipi?? Sema kilikuwa, Kwani kwa sasa KUB anatokana nacho??
Ni chama gani kingine Tanzania hii chenye hadhi na ushawishi kuliko CHADEMA?

NCCR Mageuzi wakifanya uchaguzi wa viongozi wao hakuna atayehangaika nao.
 
I don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu.

Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni.

Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo ‘mpendwa’ wao.

Tuliojaribu ku-reason nao na kuwaambia kwamba wayadhibiti matarajio yao kuhusu huo urais wa Lisu kwa sababu Rais wa TLS hana mamlaka yoyote yale ya kuleta mabadiliko, walijaribu kutuzima kwa kelele zao.

Nikiri kuwa Tundu Lisu ndiye mwanasiasa pekee, kwa mtazano wangu mimi, aliye na washabiki walio rabid sana Tanzania nzima.

Wengi wa hawa washabiki wa Lisu, wako delusional.

Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt 🤣.

That’s their level of delusion. Lisu delulus 😀.

Tulichowaonya kipindi hicho ndicho kilichokuja kutokea. Lisu hakuleta tofauti yoyote huko TLS. Na mpaka leo hiyo TLS ipo ipo tu kama ilivyowahi kuwepo kuwepo huko nyuma.

Fast forward to now, 2025. Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA unafanyika wiki ijayo.

Kiongozi wao huyo mpendwa [Dear leader] kaamua kugombea nafasi ya uenyekiti ambayo mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe, naye anagombea.

Uamuzi huo wa Lisu umezua mtafaruku mkubwa sana kwenye hicho chama.

Na kama ilivyo ada kwa hao washabiki wa Lisu, huwaambii kitu kuhusu huo ugombeaji wa Lisu.

Kila kona wanamshambulia Mbowe. Mwenyekiti wao huyo kageuka kuwa adui sasa.

Anaitwa kila aina ya majina. Anapakwa kila aina ya matope.

He [Mbowe] is now persona non grata! Who’d a thunk it?

Lisu ni mpiga kelele mzuri kuliko alivyo kiongozi. Sitegemei yoyote yale makubwa na yaliyo tofauti endapo atashinda huo uenyekiti.

Ambacho ataendelea kukifanya ni kuwakosha wapenzi wake [preaching to his choir] kwa histrionics zake.

Watamsifia kila kukicha kwamba hamung’unyi maneno, hivi, na vile.

But, at the end of the day, when one scratches beneath the surface, it’ll be discovered that nothing much changed.

Just more of the same with enhanced theatrics. You can quote me on that.
Nimeweja nukta pale ulipoanza tu kumsifia Mbowe. Na bila shaka hujamtaja tu Wenje Kwa hofu ya uchafu wake!!

Hakuna anayeweza kumsafisha Mbowe; Period

Mbowe huyu ambaye Kwa Sasa hawezi hata kutamka neno CCM?

Huyu huyu ambaye hawezi taja jina Samia?

Huyu huyu ambaye hawezi kuzungumzia waliotekwa na waliouawa?

Huyu huyu ambaye hawezi kutaja neno Rushwa?

Huyu huyu ambaye kama utalisikia neno Rushwa kutoka kinywani mwake basi ni katika kuitetea Kwa lugha ya HAKUNA USHAIDI?

Mbowe huyu huyu ambaye amepoteza nguvu na uhalali wa kuipambania Katiba?

Huyu huyu anaepambwa na Kutetewa na Makada wa CCM?

UNATUKOSEA SANA
 
Lakini kudokeza kama vile Mbowe hajafanya chochote cha maana katika hiyo miaka 20 ya uenyekiti wake, ni udanganyifu.

Wekeni heshima katika jina la Mbowe.
Mkuu Ngabu mbona hamna mtu yeyote anasema Mbowe hajafanya lolote. Kinachosemwa sasa ni Mbowe anataka kuzika rasmi jitihada zake za miaka 21 alizohudumu CDM kama Mwenyekiti watu wanapigania kumuokoa na hilo.
 
Ume tumia lugha nyepesi, ujumbe direct, ila bado Wana lalamika.

uki piga ngeli ya Birmingham, si wata kimbizana Sasa😆
Hivi ulimwengu wa sasa mtu anajisifia ngeli kweli ama unamsifu mtu kwa kuandika ngeli kweli? Aisee.

Ama ndio yale Nyerere alisema, jambo la kipumbavu likisemwa kwa kingereza linaonekana la maana sana.
 
Back
Top Bottom