Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #61
Good gal. You are very demure.Kabisa Kaka; ila huwa na enjoy!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good gal. You are very demure.Kabisa Kaka; ila huwa na enjoy!
Sija msifia, nime eleza wengi Wana lalamika ni ngumu. Hawaja muelewa tu.Hivi ulimwengu wa sasa mtu anajisifia ngeli kweli ama unamsifu mtu kwa kuandika ngeli kweli? Aisee.
Ama ndio yale Nyerere alisema, jambo la kipumbavu likisemwa kwa kingereza linaonekana la maana sana.
Bro huyo si mjuba !Good gal. You are very demure.
Nchi imeanza kuchangamkaI don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu.
Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni.
Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo ‘mpendwa’ wao.
Tuliojaribu ku-reason nao na kuwaambia kwamba wayadhibiti matarajio yao kuhusu huo urais wa Lisu kwa sababu Rais wa TLS hana mamlaka yoyote yale ya kuleta mabadiliko, walijaribu kutuzima kwa kelele zao.
Nikiri kuwa Tundu Lisu ndiye mwanasiasa pekee, kwa mtazano wangu mimi, aliye na washabiki walio rabid sana Tanzania nzima.
Wengi wa hawa washabiki wa Lisu, wako delusional.
Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt 🤣.
That’s their level of delusion. Lisu delulus 😀.
Tulichowaonya kipindi hicho ndicho kilichokuja kutokea. Lisu hakuleta tofauti yoyote huko TLS. Na mpaka leo hiyo TLS ipo ipo tu kama ilivyowahi kuwepo kuwepo huko nyuma.
Fast forward to now, 2025. Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA unafanyika wiki ijayo.
Kiongozi wao huyo mpendwa [Dear leader] kaamua kugombea nafasi ya uenyekiti ambayo mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe, naye anagombea.
Uamuzi huo wa Lisu umezua mtafaruku mkubwa sana kwenye hicho chama.
Na kama ilivyo ada kwa hao washabiki wa Lisu, huwaambii kitu kuhusu huo ugombeaji wa Lisu.
Kila kona wanamshambulia Mbowe. Mwenyekiti wao huyo kageuka kuwa adui sasa.
Anaitwa kila aina ya majina. Anapakwa kila aina ya matope.
He [Mbowe] is now persona non grata! Who’d a thunk it?
Lisu ni mpiga kelele mzuri kuliko alivyo kiongozi. Sitegemei yoyote yale makubwa na yaliyo tofauti endapo atashinda huo uenyekiti.
Ambacho ataendelea kukifanya ni kuwakosha wapenzi wake [preaching to his choir] kwa histrionics zake.
Watamsifia kila kukicha kwamba hamung’unyi maneno, hivi, na vile.
But, at the end of the day, when one scratches beneath the surface, it’ll be discovered that nothing much changed.
Just more of the same with enhanced theatrics. You can quote me on that.
Kama 100sa ni rais, basi lisu hatashindwa kuiongoza chadema, mbowe muda umefika apumzikeI don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu.
Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni.
Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo ‘mpendwa’ wao.
Tuliojaribu ku-reason nao na kuwaambia kwamba wayadhibiti matarajio yao kuhusu huo urais wa Lisu kwa sababu Rais wa TLS hana mamlaka yoyote yale ya kuleta mabadiliko, walijaribu kutuzima kwa kelele zao.
Nikiri kuwa Tundu Lisu ndiye mwanasiasa pekee, kwa mtazano wangu mimi, aliye na washabiki walio rabid sana Tanzania nzima.
Wengi wa hawa washabiki wa Lisu, wako delusional.
Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt 🤣.
That’s their level of delusion. Lisu delulus 😀.
Tulichowaonya kipindi hicho ndicho kilichokuja kutokea. Lisu hakuleta tofauti yoyote huko TLS. Na mpaka leo hiyo TLS ipo ipo tu kama ilivyowahi kuwepo kuwepo huko nyuma.
Fast forward to now, 2025. Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA unafanyika wiki ijayo.
Kiongozi wao huyo mpendwa [Dear leader] kaamua kugombea nafasi ya uenyekiti ambayo mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe, naye anagombea.
Uamuzi huo wa Lisu umezua mtafaruku mkubwa sana kwenye hicho chama.
Na kama ilivyo ada kwa hao washabiki wa Lisu, huwaambii kitu kuhusu huo ugombeaji wa Lisu.
Kila kona wanamshambulia Mbowe. Mwenyekiti wao huyo kageuka kuwa adui sasa.
Anaitwa kila aina ya majina. Anapakwa kila aina ya matope.
He [Mbowe] is now persona non grata! Who’d a thunk it?
Lisu ni mpiga kelele mzuri kuliko alivyo kiongozi. Sitegemei yoyote yale makubwa na yaliyo tofauti endapo atashinda huo uenyekiti.
Ambacho ataendelea kukifanya ni kuwakosha wapenzi wake [preaching to his choir] kwa histrionics zake.
Watamsifia kila kukicha kwamba hamung’unyi maneno, hivi, na vile.
But, at the end of the day, when one scratches beneath the surface, it’ll be discovered that nothing much changed.
Just more of the same with enhanced theatrics. You can quote me on that.
Pathetic reasoning, kuwa kiongozi wa TLS kwa mwaka mmoja ulitaka afanye nini? Kabla yake na baada yake walikuwepo viongozi wengine TLS wamefanya nini ili utupe comparison.Hata hili niliisha wauliza sana humu, Alifanya nini TLS wakanitukana, ni mewauliza Alipokuwa mwanasheria mkuu wa chadema alifanya nini wakanitukana, kawa makamu mwenyekiti wa chadema miaka mitano kafanya nini, bado wananitukana.
Wao kwao Lisu ni Mungu, anaweza kila kitu lakini hwanauwezo wa kukuonyesha au kukueleza alichofanya kama sehemu ya mafanikio ya nafasi alizowahi kuzishika.
Ni mwansherii lakini sijui ana oparate vipi, Juzi hapa alisoma gazeti la The gurdian la huko UK, Akaita press akaanza kubwabwaja, Mara Tigo walihusika kutoa mawasiliano yangu nitawafunga, mara Makonda alihusika katika jaribio la kuniua.
Nilimuomba mtu huko UK anitumie kipande cha gazeti lililosema Tigo walishiriki mipango hiyo, au popote lilipoandika Makonda alihusika, jamaa akasema yule mtu alikuwa anahojiwa kwa issue tofauti kabisa, hata hazikuwa zinahusiana na Lisu.
Sasa jiulize, huyo ni mwansheria anaropoka vile kwa kusoma gazeti, angekuwa na ushahidi wa rushwa anazoimba kila siku si angelala studio ana record matusi dhidi ya Mbowe?
Ushahidi hana, ni vimaneno wanapeana vya kudanganyana mitandanoni na vijiweni yeye ana peleka kwenye media, huyu mtu wansema ni kichwa anaweza kuongoza Chadema.
Sasa hivi yeye ni Makamu mwenyekiti, anatamba na cheo lakini hafahamu majukumu ya nafasi aliyonayo, lakini anamkosoa kila mtu nchi hii, kasoro yeye.
Yeye naye analia eti katiba ya CHADEMA ni mbovu, unaweza kuamini huyo mtu anajielewa kweli?
Mwanasheria, aliyeshindwa kuisuka katiba ya chama chake, lakini analalamikia katiba ya JMT.
Mwanasheria aliyeshiriki maridhiano, lakini hakuelewa walikuwa wanaridhiana nini, lakini kuna mambo walikubaliana.
Sasa wafuasi wake wanamtukana kila asiyemkubali, kwasababu wanahisi wasiompenda watamkosesha kura.
Walipoanza walitaka Mbowe asigombee, nikawauliza huyo lisu mnataka apite bila kupingwa?
Wanamtaka Lisu hata wanasahau uchaguzi ni demokrasia.
Ni kweli umeandika ila uzi hauna dhima.Vipi kuhusu "regase" ya jiwe?Nayo hauipendi?I don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu.
Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni.
Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo ‘mpendwa’ wao.
Tuliojaribu ku-reason nao na kuwaambia kwamba wayadhibiti matarajio yao kuhusu huo urais wa Lisu kwa sababu Rais wa TLS hana mamlaka yoyote yale ya kuleta mabadiliko, walijaribu kutuzima kwa kelele zao.
Nikiri kuwa Tundu Lisu ndiye mwanasiasa pekee, kwa mtazano wangu mimi, aliye na washabiki walio rabid sana Tanzania nzima.
Wengi wa hawa washabiki wa Lisu, wako delusional.
Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt 🤣.
That’s their level of delusion. Lisu delulus 😀.
Tulichowaonya kipindi hicho ndicho kilichokuja kutokea. Lisu hakuleta tofauti yoyote huko TLS. Na mpaka leo hiyo TLS ipo ipo tu kama ilivyowahi kuwepo kuwepo huko nyuma.
Fast forward to now, 2025. Uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA unafanyika wiki ijayo.
Kiongozi wao huyo mpendwa [Dear leader] kaamua kugombea nafasi ya uenyekiti ambayo mwenyekiti wa sasa, Freeman Mbowe, naye anagombea.
Uamuzi huo wa Lisu umezua mtafaruku mkubwa sana kwenye hicho chama.
Na kama ilivyo ada kwa hao washabiki wa Lisu, huwaambii kitu kuhusu huo ugombeaji wa Lisu.
Kila kona wanamshambulia Mbowe. Mwenyekiti wao huyo kageuka kuwa adui sasa.
Anaitwa kila aina ya majina. Anapakwa kila aina ya matope.
He [Mbowe] is now persona non grata! Who’d a thunk it?
Lisu ni mpiga kelele mzuri kuliko alivyo kiongozi. Sitegemei yoyote yale makubwa na yaliyo tofauti endapo atashinda huo uenyekiti.
Ambacho ataendelea kukifanya ni kuwakosha wapenzi wake [preaching to his choir] kwa histrionics zake.
Watamsifia kila kukicha kwamba hamung’unyi maneno, hivi, na vile.
But, at the end of the day, when one scratches beneath the surface, it’ll be discovered that nothing much changed.
Just more of the same with enhanced theatrics. You can quote me on that.
Good gal. You are very demure.
Kumbuka,alianza na kiingereza chake cha "fomtu" ili akuvutie kusoma."Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt [emoji1787]."
Huu mfano wako ni wa kipumbavu unampimaje samaki kwa uwezo wake wa kutembea nchi kavu?
besides kilicho nyuma ya huu mfano wako ni ku m mock tu Lissu na Ulemavu wake
Hopeless kabisa wewe
Ila Mbowe mnayemtetea siyo dikteta? Hulazimishwi kumkubali Lissu kama sisi tusivyokubali kulazimishwa kumkubali Mbowe majira hii? Kwa nini nyie hatuwaitu madikteta kwa kumkubali Mbowe? Mnalazimisha wote wamkubali Mbowe nani dikteta sasa?Hawataki mtu yeyote JF asiyemkubali Lisu, madikteta wanao mlalamikia Samia kuwa ni dikteta.
Wishful thinkingNaanza kuamini msemo kuwa mtoto akililia wembe, mpe! Mwache Lissu auchukue uwenyekiti, tuje kuwanang’a hapo badaye
Lady boy huyo 😀.Bro huyo si mjuba !
Mbowe ndo alimpiga risasi.Kama Lissu hakuwa chochote wala lolote msukuma mwenzako Magufuli angempiga marisasi yote yale?
Hahaha, very complicatedLady boy huyo 😀.
Hujui Lissu alifanya nini TLS??Hata hili niliisha wauliza sana humu, Alifanya nini TLS wakanitukana, ni mewauliza Alipokuwa mwanasheria mkuu wa chadema alifanya nini wakanitukana, kawa makamu mwenyekiti wa chadema miaka mitano kafanya nini, bado wananitukana.
Wao kwao Lisu ni Mungu, anaweza kila kitu lakini hwanauwezo wa kukuonyesha au kukueleza alichofanya kama sehemu ya mafanikio ya nafasi alizowahi kuzishika.
Ni mwansherii lakini sijui ana oparate vipi, Juzi hapa alisoma gazeti la The gurdian la huko UK, Akaita press akaanza kubwabwaja, Mara Tigo walihusika kutoa mawasiliano yangu nitawafunga, mara Makonda alihusika katika jaribio la kuniua.
Nilimuomba mtu huko UK anitumie kipande cha gazeti lililosema Tigo walishiriki mipango hiyo, au popote lilipoandika Makonda alihusika, jamaa akasema yule mtu alikuwa anahojiwa kwa issue tofauti kabisa, hata hazikuwa zinahusiana na Lisu.
Sasa jiulize, huyo ni mwansheria anaropoka vile kwa kusoma gazeti, angekuwa na ushahidi wa rushwa anazoimba kila siku si angelala studio ana record matusi dhidi ya Mbowe?
Ushahidi hana, ni vimaneno wanapeana vya kudanganyana mitandanoni na vijiweni yeye ana peleka kwenye media, huyu mtu wansema ni kichwa anaweza kuongoza Chadema.
Sasa hivi yeye ni Makamu mwenyekiti, anatamba na cheo lakini hafahamu majukumu ya nafasi aliyonayo, lakini anamkosoa kila mtu nchi hii, kasoro yeye.
Yeye naye analia eti katiba ya CHADEMA ni mbovu, unaweza kuamini huyo mtu anajielewa kweli?
Mwanasheria, aliyeshindwa kuisuka katiba ya chama chake, lakini analalamikia katiba ya JMT.
Mwanasheria aliyeshiriki maridhiano, lakini hakuelewa walikuwa wanaridhiana nini, lakini kuna mambo walikubaliana.
Sasa wafuasi wake wanamtukana kila asiyemkubali, kwasababu wanahisi wasiompenda watamkosesha kura.
Walipoanza walitaka Mbowe asigombee, nikawauliza huyo lisu mnataka apite bila kupingwa?
Wanamtaka Lisu hata wanasahau uchaguzi ni demokrasia.
I pity you fools."Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt [emoji1787]."
Huu mfano wako ni wa kipumbavu unampimaje samaki kwa uwezo wake wa kutembea nchi kavu?
besides kilicho nyuma ya huu mfano wako ni ku m mock tu Lissu na Ulemavu wake
Hopeless kabisa wewe
Sio idle mind. Sukuma gang huyu ana phobia isiyo ya kawaida na Lissu. Tumuelewe tuThis is the idle mind, which is the devil's workshop.