Uchaguzi wa CHADEMA 2025 na uchaguzi wa TLS 2017

Hivi ulimwengu wa sasa mtu anajisifia ngeli kweli ama unamsifu mtu kwa kuandika ngeli kweli? Aisee.

Ama ndio yale Nyerere alisema, jambo la kipumbavu likisemwa kwa kingereza linaonekana la maana sana.
Sija msifia, nime eleza wengi Wana lalamika ni ngumu. Hawaja muelewa tu.
 
Nchi imeanza kuchangamka
 
Kama 100sa ni rais, basi lisu hatashindwa kuiongoza chadema, mbowe muda umefika apumzike
 
"Mfano, ukiwaambia kwamba Lisu hawezi kushiriki mashindano ya mbio za riadha ya mita 100, watakubishia na kukufokea na wengine watadiriki hata kusema hakuna wa kumshinda Lisu kwenye mbio, hata awe Usain Bolt [emoji1787]."



Huu mfano wako ni wa kipumbavu unampimaje samaki kwa uwezo wake wa kutembea nchi kavu?

besides kilicho nyuma ya huu mfano wako ni ku m mock tu Lissu na Ulemavu wake

Hopeless kabisa wewe
 
Pathetic reasoning, kuwa kiongozi wa TLS kwa mwaka mmoja ulitaka afanye nini? Kabla yake na baada yake walikuwepo viongozi wengine TLS wamefanya nini ili utupe comparison.

Kuwa mwanasheria mkuu wa CHADEMA ulitaka afanye nini na kabla na baada ya yeye kutoka walifanya nini ili tuone kuwa alifanya vibaya alipokuwa mwanasheria wa CHADEMA.

Kama ameona katiba ya CHADEMA ni mbovu haruhusiwi kusema? Je yeye peke yake alikuwa ana uwezo wa kubadilisha katiba ana ni kosa kuonyesha kasoro?

Kumsapoti Lissu tunamuona Mungu, ila nyie kumsapoti Mbowe sawa? Ni wapumbavu tu wanaolazimisha upumbavu ukubaliwe na kila mtu. Katika yote yanayozungumzwa na wote wenye courage ya kumkosoa Mbowe, Lissu, Lema, Wenje, Slaa, Msigwa nk hawana akili bali nyie na Mbowe?

Ameanza kuwa liability baada ya kugombea uenyekiti wa CHADEMA na mpenzi wenu Mbowe? Kwa upumbavu kila post aliyoshika unataka kutulazimisha hakufanya kitu, utakuwa ni juha wewe.

CHADEMA walikuwa ni majuha kumreua kuwa mgombea urais 2020 au wewe ni juha kwa mapenzi yako kwa Mbowe?
 
Ni kweli umeandika ila uzi hauna dhima.Vipi kuhusu "regase" ya jiwe?Nayo hauipendi?
 
Kumbuka,alianza na kiingereza chake cha "fomtu" ili akuvutie kusoma.
 
Hawataki mtu yeyote JF asiyemkubali Lisu, madikteta wanao mlalamikia Samia kuwa ni dikteta.
Ila Mbowe mnayemtetea siyo dikteta? Hulazimishwi kumkubali Lissu kama sisi tusivyokubali kulazimishwa kumkubali Mbowe majira hii? Kwa nini nyie hatuwaitu madikteta kwa kumkubali Mbowe? Mnalazimisha wote wamkubali Mbowe nani dikteta sasa?

Reasoning ya kipumbavu kweli kweli
 
mkuu,sijawahi kufukiria kichwa chako kina utelezi hivyo

wewe sio wakili ,angekuwa hakufanya kitu wasingemwelewa akimwombea kura mwabukusi
 
Kama Lissu hakuwa chochote wala lolote msukuma mwenzako Magufuli angempiga marisasi yote yale?
 
Hujui Lissu alifanya nini TLS??

Alifanikiwa kuzuia Serikali kuifuta TLS kupitia Sheria ya Bunge ambalo hilo ndilo lilikuwa lengo kuu na Magufuli.

Aliifanya TLS kuendelee kuwa nguzo kuu ya kupinga udhalimu wa Magufuli.

Achana na kiumbe kinaitwa Lissu wewe. Nyie wasukuma wajinga lazima msimpende maana alishughulika sana na udhalimu wenu
 
I pity you fools.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…