Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Amekufa kishujaa
HayaChama Cha Kitapeli, Mbumbumbu, Wala unga, walevi, mashetani
Sema Nini Chadema nawafananisha na wahaya wa mwananyamala
Mimi ni CCM ila nisikudanganye, hakuna mwanachama na Kiongozi wa Chadema mpumbavu hata siku MojaChama Cha Kitapeli, Mbumbumbu, Wala unga, walevi, mashetani
Sema Nini Chadema nawafananisha na wahaya wa mwananyamala
Usihangaike na WajingaMimi ni CCM ila nisikudanganye, hakuna mwanachama na Kiongozi wa Chadema mpumbavu hata siku Moja
Na Chadema hawaokoti viongozi wa hovyo
Umbeya ni nini ?Upunguze umbea sasa na umekuwa
Jinsi unavyojua kuripoti upewe maua yako eti wametoroka kwa kisingizio cha ibada ya ijumaa π€£ π€£Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , leo 09/02/2024 kuna Uchaguzi wa Viongozi wa Chadema Mbeya Mjini .
Habari zinadokeza kwamba Ni kama vile Mbeya Mjini leo ni siku ya Mapumziko , huku wafanyakazi wa Serikali na makampuni wakitoroka makazini mapema , kwa kisingizio cha ibada ya Ijumaa , Wafanyabiashara wameonekana wakisitisha biashara zao kwa muda ili kujipa muda wa kutafakari Uongozi mpya wa CHADEMA kwenye eneo lao .
Watu ni wengi mno na kwa kweli shamrashamra ni kabambe sana
View attachment 2898709
Usiondoke JF , Kuna uhondo mwingi sana unakuja
Damu ya Thadei Ole Mushi haiwezi kukuacha salama hata kidogo muuaji mkubwa weweChama Cha Kitapeli, Mbumbumbu, Wala unga, walevi, mashetani
Sema Nini Chadema nawafananisha na wahaya wa mwananyamala
Karibu sanaJinsi unavyojua kuripoti upewe maua yako eti wametoroka kwa kisingizio cha ibada ya ijumaa π€£ π€£
Karibu sana ChademaNajuwa wewe siku zote unampiga vita sana mzee wa upako kwa sababu amekataa uhuni , ubabaishaji na udalali wa siasa wa sugu,mch msigwa ,china wa china na genge lake.
Ccm gan wewe chawa wa MboweMimi ni CCM ila nisikudanganye, hakuna mwanachama na Kiongozi wa Chadema mpumbavu hata siku Moja
Na Chadema hawaokoti viongozi wa hovyo
Kati ya wabunge werevu na wanaojiona anajua, anaweza Kila kitu na hajui ni huyo uliyemtaja.Ccm gan wewe chawa wa Mbowe
Ushaachana na Mafuwe kule Hai ?
Bwege kweli
ππππKati ya wabunge werevu na wanaojiona anajua, anaweza Kila kitu na hajui ni huyo uliyemtaja.
Ukikutana naye Kila saa anasema tumeletewa Trilioni 2,impact yake Kwa jamii haonekani.
Huko jimboni kwake wanataka kuchagua jiwe kuliko yeye.
Anamtegemea Doto Kila kitu ila term hiyo atashika mayoa.
Ccm ni lichama la kipumbavu linalohitaji wajinga kulichagua eti leo bashite anazunguka kuhadaa wajinga kama yeye huku bunge zima ni ccm ni mpumbavu pekee wa kuyachagua matapeli ya ccm.Chama Cha Kitapeli, Mbumbumbu, Wala unga, walevi, mashetani
Sema Nini Chadema nawafananisha na wahaya wa mwananyamala
Wewe kutumiwa na CCM kumlisha sumu Thadei Ole Mushi ndiyo unajiona bonge la mjanja. Auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga. Huwezi ukafanya unyama kama ule na ukabaki salamaCcm gan wewe chawa wa Mbowe
Ushaachana na Mafuwe kule Hai ?
Bwege kweli