Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mikakati ya Chadema ni Mikubwa mno, Kujitoa kwa Lema kukufungue ubongoKishindo Cha Mlungula hadi Lema kaogopa dadeki 😀😀🌟
Naogopa akina cecil Mwambe , bado CCM inanunua wapinzania. Mkikosea tu, you are done!Mikakati ya Chadema ni Mikubwa mno, Kujitoa kwa Lema kukufungue ubongo
Mchungaji Msigwa na Lema ni zao la Lyatonga Mrema 😀Kilichopaisha hizo chaguzi na kuzipa umaarufu ni kutamalaki Kwa rushwa kitu ambacho kimekuwa ni mshangao Kwa jamii
😂😂Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
sure,Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Katika hao wanne kuna mmoja Tu ambaye Siyo CCM 😀Erythrocyte , kisije kuwa kishindo cha machawa wa ccm wanashangilia/wanachagiza kuingizwa kwa watu ambao hawawezi kuhimili mabilioni ya kununuliwa na "magufuli".
Erythrocyte unaona wasiwasi wangu ulipo? akina cecil mwambeKatika hao wanne kuna mmoja Tu ambaye Siyo CCM 😀
Ukiulizwa ushahidi utasema umesikia tu, huna unalojuaKilichopaisha hizo chaguzi na kuzipa umaarufu ni kutamalaki Kwa rushwa kitu ambacho kimekuwa ni mshangao Kwa jamii.
Crate 4 za bia makamanda wabakupa Kura.
Bora hata wajumbe wa CCM
Hujawahi kuwa na akili na hutakuja kuwa nayo. Kishindo ndiyo nini.Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Mkuu ondoa shaka kabisa, Jicho la Chadema ni kali kuliko la TaiNaogopa akina cecil Mwambe , bado CCM inanunua wapinzania. Mkikosea tu, you are done!
Mtikisiko au TetemekoHujawahi kuwa na akili na hutakuja kuwa nayo. Kishindo ndiyo nini.
acha porojo, talk sense!Kilichopaisha hizo chaguzi na kuzipa umaarufu ni kutamalaki Kwa rushwa kitu ambacho kimekuwa ni mshangao Kwa jamii.
Crate 4 za bia makamanda wabakupa Kura.
Bora hata wajumbe wa CCM
Kishindo kipi, gazeti lipi limewaandika hao nyumbu? Hakuna ht anayewafuatilia, sisi tuko na Rais wetuHizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Huyo Mamluki John hana analojua, anafurahisha genge tu, msome na kumpuuza, hakuna Mwenyekiti wa Kanda tusiyemjuaErythrocyte unaona wasiwasi wangu ulipo? akina cecil mwambe
Acha ushamba, Ronald Reagan alikuwa Democrats unajua ni zao la nani na akahama? Hillary Clinton alikuwa Republican unajua ni zao la nani nae alihama? Fatilia vituMchungaji Msigwa na Lema ni zao la Lyatonga Mrema 😀