Pre GE2025 Uchaguzi wa Kanda 4 tu za CHADEMA umeleta kishindo Nchi nzima, ikumbukwe kwamba bado kanda nyingine 6

Pre GE2025 Uchaguzi wa Kanda 4 tu za CHADEMA umeleta kishindo Nchi nzima, ikumbukwe kwamba bado kanda nyingine 6

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huo ndio Ukweli wanao uficha na sio kwamba Wananchi wanapuuza Bajeti-Labda CHADEMA na chawa wao.

Eti wanapuuza taarifa za Safari za Nje! Huo pia ni Uwongo-labda CHADEMA na Chawa wao

Itoshe, pale CHADEMA inapopuuza Bajeti ama Bunge ama Safari za nje za Viongozi, inatuambia nino wakishika madaraka?

Wata Wapuuza Wananchi pale wakitaka Taarifa za Bunge ama safari za Viongozi wa CHADEMA walioko madarakani. Hii ni hatari kwa Ustawi wa Taifa na Demokrasia.


...pia, Haya magenge ya Upotoshaji ya CHADEMA ya shutumiwe.

Kichwa cha mada hii na muktadha wake ni dhahiri CHADEMA bado inaendesha Propaganda za kitoto.
Hata sielewi unaongea utoto gani!
 
😂😂😂😂☝🏿

Nani ambaye ashaanza kulia humu kwamba wanaibiwa kura hata kabla ya upigaji kura?

Nani anayelia kwamba bila Katiba au Tume huru, wataibiwa kura. Yaani Nyie CHADEMA mnataka muweke Kipengele kwenye Katiba kinachowapa uhalali wa kuwemo madarakani bila ya kuchaguliwa? Ushahidi upo. Mlianza kwenye maridhiano eti muitwe "Chama kikuu" halafu mje kwenyr Katiba mseme mgawane madaraka.

Uzeni sera.

Taarifa za nani kachaguliwa ndani ya CHAMA chenu hakina maan yakuwa inatikisa NCHI.

Makonda ndie anayetikisa Nchi. Kila nyuzi kumi, hamukosi kumtaja. Uzeni sera na sio kutangaza Vinyongo, Uhasama na Visasi.
Punguza utoto dogo.
 
Punguza utoto dogo.
Hakuna dogo hapo, muuliza yule aliyekusukuma kutoka kwenye lile tundu. Ushamuuliza alikuwa akipata dogo ama kubwa?

Yaani una matatizo yako kisaikilojia, wazazi wako, walikuita dogo utotoni. Kalale.
 
Acha ushamba, Ronald Reagan alikuwa Democrats unajua ni zao la nani na akahama? Hillary Clinton  alikuwa Republican unajua ni zao la nani nae alihama? Fatilia vitu
Huyo ana akili zakizamani.niwakupuuzia.
 
Huku mtandaoni wanatamba yanga,simba ,makonda ,jerry slaa hao chadema mpaka utafute taarifa
Wewe taarifa yao umeijuaje na uko mtandaoni?.Kama ulivyoijua wewe ndivyo ambavyo nawengine wanajua.Au unafikiri wewe mwenyewe ndiye unamiki simu na bando.
 
Usilie mambo bado
Tayari. Ni "Exposure Therapy"
screenshot_2024-05-17-16-50-32-1-png.2992664


sasa msubiri yale baada ya 2025. Mtahamia Burundi walahi.
 
Wewe taarifa yao umeijuaje na uko mtandaoni?.Kama ulivyoijua wewe ndivyo ambavyo nawengine wanajua.Au unafikiri wewe mwenyewe ndiye unamiki simu na bando.
Hoja hapa ni uchaguzi kutrend kitu ambacho sio kweli trending za mitandao ziko wazi ukienda mitandao yote imepambwa na habari za yanga ,simba ,makonda ,jerry ,taarifa ya uchaguzi wa chedema inazidiwa hata na cheka tu
 
Back
Top Bottom