Pre GE2025 Uchaguzi wa Kanda 4 tu za CHADEMA umeleta kishindo Nchi nzima, ikumbukwe kwamba bado kanda nyingine 6

Pre GE2025 Uchaguzi wa Kanda 4 tu za CHADEMA umeleta kishindo Nchi nzima, ikumbukwe kwamba bado kanda nyingine 6

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kishindo kipi, gazeti lipi limewaandika hao nyumbu? Hakuna ht anayewafuatilia, sisi tuko na Rais wetu
Hivi bado kuna anayesoma magazeti! basi soma na hili

Screenshot_2024-05-29-23-08-34.png
 
Uko sahihi kabisa mkuu. Ni ukweli mtupu kuwa hizi chaguzi zimezua kishindo kikubwa cha rushwa. CHADEMA walionekana kama wasafi kimaadili ila kupitia hizi chaguzi imejulikana ndani ya CHADEMA kuna rushwa ya kutisha.
 
Mchungaji Msigwa na Lema ni zao la Lyatonga Mrema 😀
Uko sahihi mkuu. Lema nilimpigia kura Arusha akiwa TLP. Inasemekana alishinda uchaguzi wa 2005 dhidi ya Felix Mrema wa CCM ila akauza ushindi wake. Mwaka 2010 wananchi walijaa nje ya jengo la manispaa wakishinikiza Mkurugenzi amtangaze Lema kama mshindi kwa kuhofia wanaweza kumtangaza Batilda Buriani wa CCM au Lema naye akauza ushindi wake. Siku ya kutangazwa Lema kama mshindi wa ubunge ilikuwa patashika Arusha mjini mwaka 2010.
 
Uko sahihi mkuu. Lema nilimpigia kura Arusha akiwa TLP. Inasemekana alishinda uchaguzi wa 2005 dhidi ya Felix Mrema wa CCM ila akauza ushindi wake. Mwaka 2010 wananchi walijaa nje ya jengo la manispaa wakishinikiza Mkurugenzi amtangaze Lema kama mshindi kwa kuhofia wanaweza kumtangaza Batilda Buriani wa CCM au Lema naye akauza ushindi wake. Siku ya kutangazwa Lema kama mshindi wa ubunge ilikuwa patashika Arusha mjini mwaka 2010.
Felix aliuziwa ubunge kwa 300m 😂
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Uko sahihi mkuu. Lema nilimpigia kura Arusha akiwa TLP. Inasemekana alishinda uchaguzi wa 2005 dhidi ya Felix Mrema wa CCM ila akauza ushindi wake. Mwaka 2010 wananchi walijaa nje ya jengo la manispaa wakishinikiza Mkurugenzi amtangaze Lema kama mshindi kwa kuhofia wanaweza kumtangaza Batilda Buriani wa CCM au Lema naye akauza ushindi wake. Siku ya kutangazwa Lema kama mshindi wa ubunge ilikuwa patashika Arusha mjini mwaka 2010.
Vipofu mnaonyeshana njia, Wajinga nyie!!
 
Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu

View attachment 3003648

Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.

Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja

Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Nenda mitandaoni makonda anaangaliwa kuliko chaguzi za chadema kuanzia online tv mpaka jf ,
 
Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu

View attachment 3003648

Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.

Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja

Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
KIshindo mpaka mpasuko!
 
Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu

View attachment 3003648

Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.

Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja

Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Asilimia za kura za ushindi zinaonesha kweli mtiti mkali upo na pia kuna demokrasia shinanishi. Hakuna mambo ya kupita kwa 100% hapa.
 
Nani anahangaika na tapeli Makonda wewe? Kila siku anapiga mayowe anataka kuuliwa. Eti watu 8 wamepewa milioni 6 ili wamuue !!! Mpumbavu sana huyu mwizi wa vyeti
Sio nani angalia media coverage inambeba nani wewe unazo akili timamu huku jf thread za makonda ni ngapi?usijitoe akili online tv utakuta habari za makonda kila baada ya masaa matatu ,sasa utalinganisha na nini
 
Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu

View attachment 3003648

Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.

Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja

Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Chama kubwa
 
Sio nani angalia media coverage inambeba nani wewe unazo akili timamu huku jf thread za makonda ni ngapi?usijitoe akili online tv utakuta habari za makonda kila baada ya masaa matatu ,sasa utalinganisha na nini
Huyo mjinga anayo hela chafu ya kununua airtime na kuweka chawa wake huku mitandaoni. Kama humu JF si unaona watu ni wale wale wanaorudia habari zile zile. Atawahadaa wajinga tu kama wewe
 
Back
Top Bottom