Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Hivi bado kuna anayesoma magazeti! basi soma na hiliKishindo kipi, gazeti lipi limewaandika hao nyumbu? Hakuna ht anayewafuatilia, sisi tuko na Rais wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi bado kuna anayesoma magazeti! basi soma na hiliKishindo kipi, gazeti lipi limewaandika hao nyumbu? Hakuna ht anayewafuatilia, sisi tuko na Rais wetu
Sugu ni Mbunge pekee aliyetamka mbele ya Wapiga kura wake kuwa anamuunga mkono Shujaa Magufuli kwa 100% 😂Huyo Mamluki John hana analojua, anafurahisha genge tu, msome na kumpuuza, hakuna Mwenyekiti wa Kanda tusiyemjua
Wapi nilipozungumzia kuhama bwasheeAcha ushamba, Ronald Reagan alikuwa Democrats unajua ni zao la nani na akahama? Hillary Clinton alikuwa Republican unajua ni zao la nani nae alihama? Fatilia vitu
Halafu Magufuli akamfunga Jela akishirikiana na Michael Mteite, na kusababisha kifo cha Mama yake Sugu, Wadanganye wajinga sanaSugu ni Mbunge pekee aliyetamka mbele ya Wapiga kura wake kuwa anamuunga mkono Shujaa Magufuli kwa 100% 😂
Uko sahihi mkuu. Lema nilimpigia kura Arusha akiwa TLP. Inasemekana alishinda uchaguzi wa 2005 dhidi ya Felix Mrema wa CCM ila akauza ushindi wake. Mwaka 2010 wananchi walijaa nje ya jengo la manispaa wakishinikiza Mkurugenzi amtangaze Lema kama mshindi kwa kuhofia wanaweza kumtangaza Batilda Buriani wa CCM au Lema naye akauza ushindi wake. Siku ya kutangazwa Lema kama mshindi wa ubunge ilikuwa patashika Arusha mjini mwaka 2010.Mchungaji Msigwa na Lema ni zao la Lyatonga Mrema 😀
Yaani hapo alishatoka Jela na shujaa Magufuli akamhalalishia hiyo open space aliyovamia na kujenga Guest House 🤣Halafu Magufuli akamfunga Jela akishirikiana na Michael Mteite, na kusababisha kifo cha Mama yake Sugu, Wadanganye wajinga sana
Felix aliuziwa ubunge kwa 300m 😂Uko sahihi mkuu. Lema nilimpigia kura Arusha akiwa TLP. Inasemekana alishinda uchaguzi wa 2005 dhidi ya Felix Mrema wa CCM ila akauza ushindi wake. Mwaka 2010 wananchi walijaa nje ya jengo la manispaa wakishinikiza Mkurugenzi amtangaze Lema kama mshindi kwa kuhofia wanaweza kumtangaza Batilda Buriani wa CCM au Lema naye akauza ushindi wake. Siku ya kutangazwa Lema kama mshindi wa ubunge ilikuwa patashika Arusha mjini mwaka 2010.
Vipofu mnaonyeshana njia, Wajinga nyie!!Uko sahihi mkuu. Lema nilimpigia kura Arusha akiwa TLP. Inasemekana alishinda uchaguzi wa 2005 dhidi ya Felix Mrema wa CCM ila akauza ushindi wake. Mwaka 2010 wananchi walijaa nje ya jengo la manispaa wakishinikiza Mkurugenzi amtangaze Lema kama mshindi kwa kuhofia wanaweza kumtangaza Batilda Buriani wa CCM au Lema naye akauza ushindi wake. Siku ya kutangazwa Lema kama mshindi wa ubunge ilikuwa patashika Arusha mjini mwaka 2010.
Nenda mitandaoni makonda anaangaliwa kuliko chaguzi za chadema kuanzia online tv mpaka jf ,Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
KIshindo mpaka mpasuko!Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Wewe ulikuwa kijijini Wakati huo 😂😂Vipofu mnaonyeshana njia, Wajinga nyie!!
Usiondoke JfWewe ulikuwa kijijini Wakati huo 😂😂
Lema hawezi kuachia Uenyekiti bure 😂🐼
Nani anahangaika na tapeli Makonda wewe? Kila siku anapiga mayowe anataka kuuliwa. Eti watu 8 wamepewa milioni 6 ili wamuue !!! Mpumbavu sana huyu mwizi wa vyetiNenda mitandaoni makonda anaangaliwa kuliko chaguzi za chadema kuanzia online tv mpaka jf ,
Asilimia za kura za ushindi zinaonesha kweli mtiti mkali upo na pia kuna demokrasia shinanishi. Hakuna mambo ya kupita kwa 100% hapa.Hizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Mkuu huyo Juma Lokole ni mropokaji tu kama amekunywa maji ya chooni,huyu umbea na uzushi ndiyo taaluma yake.Erythrocyte unaona wasiwasi wangu ulipo? akina cecil mwambe
HakikaAsilimia za kura za ushindi zinaonesha kweli mtiti mkali upo na pia kuna demokrasia shinanishi. Hakuna mambo ya kupita kwa 100% hapa.
Sio nani angalia media coverage inambeba nani wewe unazo akili timamu huku jf thread za makonda ni ngapi?usijitoe akili online tv utakuta habari za makonda kila baada ya masaa matatu ,sasa utalinganisha na niniNani anahangaika na tapeli Makonda wewe? Kila siku anapiga mayowe anataka kuuliwa. Eti watu 8 wamepewa milioni 6 ili wamuue !!! Mpumbavu sana huyu mwizi wa vyeti
Chama kubwaHizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Huyo mjinga anayo hela chafu ya kununua airtime na kuweka chawa wake huku mitandaoni. Kama humu JF si unaona watu ni wale wale wanaorudia habari zile zile. Atawahadaa wajinga tu kama weweSio nani angalia media coverage inambeba nani wewe unazo akili timamu huku jf thread za makonda ni ngapi?usijitoe akili online tv utakuta habari za makonda kila baada ya masaa matatu ,sasa utalinganisha na nini