"Hakuna mjinga mwenye hela " chukua hii itasaidia ukoo wakoHuyo mjinga anayo hela chafu ya kununua airtime na kuweka chawa wake huku mitandaoni. Kama huju JF si unaona watu ni wale wale wanaorudia habari zile zile. Atawahadaa wajinga tu kama wewe
Wewe upo wapi Jo🤓Wapi nilipozungumzia kuhama bwashee
Hata Mbowe alikuwa TANU, CCM na sasa yuko Chadema 😂😂
CCM 😀Wewe upo wapi Jo🤓
Basi na ushughulike na ya kwenu,unapoteza muda mwingi sana kwa jirani yako usiyempenda🤣CCM 😀
Jo kabweteka hapo kijani anaishia kuipigia Chadema ramli chonganishi🤓Mikakati ya Chadema ni Mikubwa mno, Kujitoa kwa Lema kukufungue ubongo
CCM wao huwa ni matapeli tupuHizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
CCM wakiona hivi wanachanganyikiwaJo kabweteka hapo kijani anaishia kuipigia Chadema ramli chonganishi🤓
Hapo ni mwanzo tuCCM wakiona hivi wanachanganyikiwa
Nenda mitandaoni makonda anaangaliwa kuliko chaguzi za chadema kuanzia online tv mpaka jf ,
Tabu snHadiii mseeemeeee🏃🏃🏃
Mtapata tabu sanaTabu sn
SawaMtapata tabu sana
Tunayo kumbukumbu mbaya ya usaliti, najua wapo walio smart ila si covid-19Hivi kunawagombea kinamams? Inabidi watengenezwe makamanda wanawake maana ukiwin kinamams maranyingi ndoumewin mazima
Usisahau usaliti wakina dokta moleli,kina dokta slaa,sili nde,katambi nk.Tunayo kumbukumbu mbaya ya usaliti, najua wapo walio smart ila si covid-19
Wote vibuti safari hii ndio maana mchujo kupitia kwenye moto,anayehimili tutaenda naye😂Usisahau usaliti wakina dokta moleli,kina dokta slaa,sili nde,katambi nk.
Ndugu Mwanachadema, hata kabla ya uchaguzi wa hizo Kanda wananchi haliwazingatii Bunge so haiwezi kuwa ni mafanikio na kwamba Uchaguzi ndio umesababisha Bunge kupuuzwaHizo Pilika pilika, shamra shamra , shangwe , kishindo na Mtikisiko uliousikia Nchi nzima unahusu kanda 4 tu
View attachment 3003648
Ifahamike kwamba bado kuna kanda 6 hazijafanya uchaguzi, sasa bado hatujui nini kitatokea baada ya Kanda hizo kuingia kazini.
Kanda ambazo kipyenga chake kinatarajia kupulizwa na ambako mtiti wake si mdogo ni Kusini, Mashariki, Kaskazini, Kati, Pemba na Unguja
Bali Tunachojiuliza ni hiki, Kitendo cha Chaguzi hizi za Chadema Kuteka mijadala ya Nchi, kiasi cha kupuuzwa kwa Bunge la Bajeti na kupuuzwa kwa Ziara za Wakubwa nje ya Nchi maana yake nini?
Wewe na Msemaji wa Simba hamna tofautiMkuu ondoa shaka kabisa, Jicho la Chadema ni kali kuliko la Tai
Kwani naye yuko Chadema!Wewe na Msemaji wa Simba hamna tofauti