Pre GE2025 Uchaguzi wa Kanda 4 tu za CHADEMA umeleta kishindo Nchi nzima, ikumbukwe kwamba bado kanda nyingine 6

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata sielewi unaongea utoto gani!
 
Punguza utoto dogo.
 
Punguza utoto dogo.
Hakuna dogo hapo, muuliza yule aliyekusukuma kutoka kwenye lile tundu. Ushamuuliza alikuwa akipata dogo ama kubwa?

Yaani una matatizo yako kisaikilojia, wazazi wako, walikuita dogo utotoni. Kalale.
 
Acha ushamba, Ronald Reagan alikuwa Democrats unajua ni zao la nani na akahama? Hillary Clintonโ€Š alikuwa Republican unajua ni zao la nani nae alihama? Fatilia vitu
Huyo ana akili zakizamani.niwakupuuzia.
 
Huku mtandaoni wanatamba yanga,simba ,makonda ,jerry slaa hao chadema mpaka utafute taarifa
Wewe taarifa yao umeijuaje na uko mtandaoni?.Kama ulivyoijua wewe ndivyo ambavyo nawengine wanajua.Au unafikiri wewe mwenyewe ndiye unamiki simu na bando.
 
Wewe taarifa yao umeijuaje na uko mtandaoni?.Kama ulivyoijua wewe ndivyo ambavyo nawengine wanajua.Au unafikiri wewe mwenyewe ndiye unamiki simu na bando.
Hoja hapa ni uchaguzi kutrend kitu ambacho sio kweli trending za mitandao ziko wazi ukienda mitandao yote imepambwa na habari za yanga ,simba ,makonda ,jerry ,taarifa ya uchaguzi wa chedema inazidiwa hata na cheka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ