MhMgombea wa Kenyatta kashindwa!
Kenyatta is buying time trying to coock some new results.
Otherwise, angeshinda mgombea wa Kenyatta, matokeo rasmi yangekwisha tangazwa.
Kenyatta is playing a dangerous game. Ajiandae kwenda The Hague kwa mara ya pili.
Otherwise amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
Bahati mbaya hutoeleweka.Kikwete ndiye aliyeanzisha bila ridhaa yoyote ya CCM.
Pili, Katiba hata iwe nzuri vipi, haiwezi kukusaidia wewe mwananchi Mlalahoi.
Katiba Ni kugawana madaraka kwa wanasiasa mithili ya Berlin conference ili watafune bila kelele.
Wakenya wamejaa ghilba na wiziMbona huu uchaguzi wa Kenya walianza vizuri, watu tukajua ndani ya siku Moja mbili tutamjua Rais , lakini sasa ni takribani siku ya nne mambo bado, kunani tena?
RUTO ndio mshindi wa duniaWalianza vizuri kutangaza matokeo, mara paaap zoeozi likaanza kusuasua ikawa haileweki nani anaongoza. Kwa ukimya huu tayari kuna atakayeibuka mshindi na kuishangaza dunia kwa ushindi wake
Mshindi hafahamiki tusuburi. Uchaguzi unaweza enda raund ya pili.RUTO ndio mshindi wa dunia
Mshindi anafahamika sababu kura zote zilishawekwa publicMshindi hafahamiki tusuburi. Uchaguzi unaweza enda raund ya pili.
Kiherehere cha tv kutangaza kimeishia wapi? Btw siku 7 mbona ni nyingi yaani hata hizo unahitaji katiba iseme, pasipo katiba walichukua siku ngapi kutangaza matokeo chaguzi za awali?Tume Ya Uchaguzi Ya Kenya
Sheria Inaitaka Ndani Ya Siku Saba Baada Ya Uchaguzi Kutangaza Matokeo, Mpaka Sasa Muda Wa Hizo Siku Bado Haujaisha
Ruto ndie mshindi wa tumeKiherehere cha tv kutangaza kimeishia wapi? Btw siku 7 mbona ni nyingi yaani hata hizo unahitaji katiba iseme, pasipo katiba walichukua siku ngapi kutangaza matokeo chaguzi za awali?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] I got uLet me prove myself
Kiherehere cha tv kutangaza kimeishia wapi? Btw siku 7 mbona ni nyingi yaani hata hizo unahitaji katiba iseme, pasipo katiba walichukua siku ngapi kutangaza matokeo chaguzi za awali?
Anatakiwa kushinda ni RUTO. Sasa Jaluo kajichanganya kwenye Mtumbwi wa Vibwengo. Lazima adhibitiwe na Usalama kisha Ruto atangazwe na kuapishwa wakati Jaluo lipo jela.Huu ukimya huenda kuna asiyetakiwa kushinda kashinda, cha kufanya ni kufanya manuevre ili apigwe chini na aliyeshindwa atangazwe mshindi. Ikiwa hivyo huu nao utakuwa uchaguzi wa hovyo afrika mashariki.
Hustler kashinda ndio maana mambo yamekuwa magumu.Ruto ndie mshindi wa tume
Mkuu... Rudi hapa unitukane tena πππWe jamaa sijui unaumwa akili au nini. Matokeo hawajatoa lkn unalazimisha kuwa RUTO ameshinda dah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kweli ugonjwa wa vichaa upo