Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya ulianza vizuri ni nini kimeusibu?

Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya ulianza vizuri ni nini kimeusibu?

Kenya 2022 General Election
Kenya wamejitahid sana mapungufu lazima yawepo Ila huwez fananisha integrity ya unchaguz wa Kenya na Tanzania ni mbingu na ardhi wako mbali san
Hayo tuyazungumze baada ya kutangazwa matokeo na kufanikiwa kumaintain status quo. Ni mazuri yamefanyika lakini tutunze beat
 
Hata ningekuwa mimi nisingempa!

-Ruto ni jeuri na kiburi
-Ruto hajui diplomacy
-Ruto ana kisasi

Kwa nchi ya Kenya na historia yake jinsi ilivyo mtu wa namna hiyo kwa amani ndani ya nchi ni hatari. Hatujui mbele itakuwaje ila kwa mwenendo wake hayo ya juu yamedhihirika.

Hata Kama ni maamuzi ya raia lakini wenye mamlaka wanaangalia usalama wa nchi.
Sasa kulikuwa na haja gani ya uchaguzi? Na hizo sifa mlizotoa kuwa wana demokrasia sijui ,ilikuwa za nn ikiwa haya mnayajua?
 
Kenya wamejitahid sana mapungufu lazima yawepo Ila huwez fananisha integrity ya unchaguz wa Kenya na Tanzania ni mbingu na ardhi wako mbali san
Mapungufu ambayo yanapanga mshindi awe nani? Alafu unasema ni yaa kawaida.

Uchaguzi mzuri ni kuacha aliyeshinda ashinde. Hizi zingine ni ngonjera za kutaka kuhalalisha nia ovu
 
Kuna vitu vya Kisheria kama huelewi utakuwa unaongea tu kama kasuku.
Inawezekana ni kweli hata IEBC inamjua mshindi ni nani na hata wagombea wanajua kura zao zote, lakini bila zile fomu husika kuwa uploaded kwenye mfumo wa tume, huwezi kutangaza eti kisa wakala au msimazi amekuambia kwa simu, utapingwa Kisheria mahakamani na utakuwa umeharibu uchaguzi kipumbavu. Hayo mambo yanawezekana tu TZ ref Jecha wa ZNZ.
Tuwaache wakenya wamalize kwa Amani na kidemokrasia kama walivyoanza.
TZ haina cha kuifunza Kenya juu ya uchaguzi, sisi bado tuko enzi za ujima
 

Attachments

  • 20220216_225742.jpg
    20220216_225742.jpg
    20.8 KB · Views: 2
Naona UMEFIRWA mpaka unavunja damu zinatokea mdomoni.
Hadi hapo nimeshakupiga na kitu kizito kichwani[emoji1787], ulitaka kuleta upumbavu wako wa kuzuia unayempenda wewe asisemwe alafu unayemchukia ndio asemwe. NEVER hii ndio JF, pole sana
 
Mgombea wa Kenyatta kashindwa!
Kenyatta is buying time trying to coock some new results.
Otherwise, angeshinda mgombea wa Kenyatta, matokeo rasmi yangekwisha tangazwa.
Kenyatta is playing a dangerous game. Ajiandae kwenda The Hague kwa mara ya pili.
Otherwise amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
Tume inadai inaendelea kujumlisha kura za Urais, hivyo bado wanazo siku kadhaa kutangaza mshindi wa kiti cha Rais.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom