Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hata mabaya tuige tu.Tunaiga Yale mazuri hakuna mkamilifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mabaya tuige tu.Tunaiga Yale mazuri hakuna mkamilifu
Thanks 100%Wasiuane tena tu!
Hajakosea ana uhuru wa kumsupport ampendaye kwa jamii iliyostaharibika hio ni kawaida ndo ajamuekea kizuizi ruto chochote kileNilianza kupata wasiwasi nilipoona tu Uhuru amehamia kwa RO... Alikosea sana alipaswa kuwa neutral...
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Huo ni uamuzi wako, wengine tunaiga mazuriHata mabaya tuige tu.
I appreciate this man... Let be the President of Kenya..
Hayo tuyazungumze baada ya kutangazwa matokeo na kufanikiwa kumaintain status quo. Ni mazuri yamefanyika lakini tutunze beatKenya wamejitahid sana mapungufu lazima yawepo Ila huwez fananisha integrity ya unchaguz wa Kenya na Tanzania ni mbingu na ardhi wako mbali san
Wengine akina nani?Huo ni uamuzi wako, wengine tunaiga mazuri
KimeumanaSi mlisema Kenya ni role model
Imekuwaje tena?
Kumbe ulikuwa unataka kusokonyolewa? Si ungesema mapema tuHaya Kafirwe na Nikk wa wapili ukalale
Sasa kulikuwa na haja gani ya uchaguzi? Na hizo sifa mlizotoa kuwa wana demokrasia sijui ,ilikuwa za nn ikiwa haya mnayajua?Hata ningekuwa mimi nisingempa!
-Ruto ni jeuri na kiburi
-Ruto hajui diplomacy
-Ruto ana kisasi
Kwa nchi ya Kenya na historia yake jinsi ilivyo mtu wa namna hiyo kwa amani ndani ya nchi ni hatari. Hatujui mbele itakuwaje ila kwa mwenendo wake hayo ya juu yamedhihirika.
Hata Kama ni maamuzi ya raia lakini wenye mamlaka wanaangalia usalama wa nchi.
Mapungufu ambayo yanapanga mshindi awe nani? Alafu unasema ni yaa kawaida.Kenya wamejitahid sana mapungufu lazima yawepo Ila huwez fananisha integrity ya unchaguz wa Kenya na Tanzania ni mbingu na ardhi wako mbali san
Acha uongo, Ruto amepata vizuizi vya kila aina Ila kwa kuwa nae ana support kubwa ya watu ndio maana Kenyatta akashindwa kumdhibiti. Mara kadhaa Ruto amelalamika kutaka kuuliwaHajakosea ana uhuru wa kumsupport ampendaye kwa jamii iliyostaharibika hio ni kawaida ndo ajamuekea kizuizi ruto chochote kile
Naona UMEFIRWA mpaka unavunja damu zinatokea mdomoni.Kumbe ulikuwa unataka kusokonyolewa? Si ungesema mapema tu
Hadi hapo nimeshakupiga na kitu kizito kichwani[emoji1787], ulitaka kuleta upumbavu wako wa kuzuia unayempenda wewe asisemwe alafu unayemchukia ndio asemwe. NEVER hii ndio JF, pole sanaNaona UMEFIRWA mpaka unavunja damu zinatokea mdomoni.
Naomba niweke msisitizo MK254Yaani Kenya Hadi waache kugombea UNGA wa mahindi ndio watakuwa na, peacefully, free and fair election.
Tume inadai inaendelea kujumlisha kura za Urais, hivyo bado wanazo siku kadhaa kutangaza mshindi wa kiti cha Rais.Mgombea wa Kenyatta kashindwa!
Kenyatta is buying time trying to coock some new results.
Otherwise, angeshinda mgombea wa Kenyatta, matokeo rasmi yangekwisha tangazwa.
Kenyatta is playing a dangerous game. Ajiandae kwenda The Hague kwa mara ya pili.
Otherwise amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
NakaziaKazi iliompeleka Jakaya imeanza