Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya ulianza vizuri ni nini kimeusibu?

Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya ulianza vizuri ni nini kimeusibu?

Kenya 2022 General Election
Mimi ni mkenya, kama upo karibu na tv yako cheki KTN au ingia kwenye website yao. Tume ya uchaguzi tu ndio imekubaliwa kisheria kutangaza mshindi, naamini kwamba watafanya hivyo leo hii.
why opting for KTN and not citizen tv?. tunajua media zenyu haziko sawa kwenye figures. kila media ina figure zake.
 
D58EBC7A-AB66-46FA-B511-F60416D3E91C.jpeg
 
Kwamba kwasababu anaweza kusemwa basi hata ukilala usiku ukaota ndoto mbaya asubuhi ukiamka unamlaumu Jk???
Angalia alichosema huyo jamaa, ulichoreply kwa huyo jamaa alafu linganisha na mfano wako.
 
Mie nilimuambia yule jamaa tarehe 10 August 2022 kuwa ni mapema mno kuanza kujifaragua na ngonjera za UWAZI unless uwe mgeni na chaguzi za Africa.
 
Mbona huu uchaguzi wa Kenya walianza vizuri, watu tukajua ndani ya siku Moja mbili tutamjua Rais , lakini sasa ni takribani siku ya nne mambo bado, kunani tena?
Kwa uelewa wangu ni kwamba, yale matokeo yaliyokuwa yanatangazwa na vyombo vya habari walikua wanajumlisha idadi ya kura katika kila kituo ambapo kila kituo kikimaliza kuhesabu na kupata matokeo kilikua kinatuma hiyo form ya matokeo kwy mtandao ambapo kila mtu alikua anaweza kuipata hiyo form.

Kinachoendelea sasa ni kwamba sheria inaitaka tume ipokee nakala halisi ya hiyo form iliyotumwa kwy mtandao na kujiridhisha kuwa ndio yenyewe na ijumlishe matokeo husika. Kwa kifupi zoezi linachukua muda mrefu maana form zote hizo zinatakiwa zifike zikiwa nakala halisi kwenye tume na wahakiki na kujumlisha hizo kura. Hapo ndio zoezi linachukua muda mrefu.

Vyombo vya habari nafikiri vimeacha kutangaza matokeo kwa tahadhari kwamba endapo kutakuwa na makosa basi watu watafanya rejea kwa chombo husika na hapo inaweza leta mtafaruku usio na lazima. Imani yangu ni kwamba hakutakua na urahisi wa kufanya maperekeche maana mawakala wa vyama vyote walikuwepo vituoni na pia wapo makao makuu ya tume kushuhudia kila hatua ya uhakiki na majumuisho.

Ni maoni yangu lakini kwa namna nilivyoelewa na si lazima niwe sahihi.
 
Mgombea wa Kenyatta kashindwa!
Kenyatta is buying time trying to coock some new results.
Otherwise, angeshinda mgombea wa Kenyatta, matokeo rasmi yangekwisha tangazwa.
Kenyatta is playing a dangerous game. Ajiandae kwenda The Hague kwa mara ya pili.
Otherwise amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
We jamaa sijui unaumwa akili au nini. Matokeo hawajatoa lkn unalazimisha kuwa RUTO ameshinda dah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kweli ugonjwa wa vichaa upo
 
Back
Top Bottom