MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Jakaya alikukosea Nini Mkuu?Kazi iliompeleka Jakaya imeanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jakaya alikukosea Nini Mkuu?Kazi iliompeleka Jakaya imeanza
Aliikatisha rasimu ya Warioba mzeeJakaya alikukosea Nini Mkuu?
Kikwete ndiye aliyeanzisha bila ridhaa yoyote ya CCM.Aliikatisha rasimu ya Warioba mzee
JK haruhusiwi kusemwa?Jakaya alikukosea Nini Mkuu?
why opting for KTN and not citizen tv?. tunajua media zenyu haziko sawa kwenye figures. kila media ina figure zake.Mimi ni mkenya, kama upo karibu na tv yako cheki KTN au ingia kwenye website yao. Tume ya uchaguzi tu ndio imekubaliwa kisheria kutangaza mshindi, naamini kwamba watafanya hivyo leo hii.
Kwamba kwasababu anaweza kusemwa basi hata ukilala usiku ukaota ndoto mbaya asubuhi ukiamka unamlaumu Jk???JK haruhusiwi kusemwa?
Angalia alichosema huyo jamaa, ulichoreply kwa huyo jamaa alafu linganisha na mfano wako.Kwamba kwasababu anaweza kusemwa basi hata ukilala usiku ukaota ndoto mbaya asubuhi ukiamka unamlaumu Jk???
Kwa uelewa wangu ni kwamba, yale matokeo yaliyokuwa yanatangazwa na vyombo vya habari walikua wanajumlisha idadi ya kura katika kila kituo ambapo kila kituo kikimaliza kuhesabu na kupata matokeo kilikua kinatuma hiyo form ya matokeo kwy mtandao ambapo kila mtu alikua anaweza kuipata hiyo form.Mbona huu uchaguzi wa Kenya walianza vizuri, watu tukajua ndani ya siku Moja mbili tutamjua Rais , lakini sasa ni takribani siku ya nne mambo bado, kunani tena?
Are you serious? Jambazi unamjua kweli wewe?Imani yangu ni kwamba hakutakua na urahisi wa kufanya maperekeche maana mawakala wa vyama vyote walikuwepo vituoni na pia wapo makao makuu ya tume kushuhudia kila hatua ya uhakiki na majumuisho.
Kazi iliompeleka Jakaya imeanza
Una uwezo mdogo sanaAngalia alichosema huyo jamaa, ulichoreply kwa huyo jamaa alafu linganisha na mfano wako.
We jamaa sijui unaumwa akili au nini. Matokeo hawajatoa lkn unalazimisha kuwa RUTO ameshinda dah [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kweli ugonjwa wa vichaa upoMgombea wa Kenyatta kashindwa!
Kenyatta is buying time trying to coock some new results.
Otherwise, angeshinda mgombea wa Kenyatta, matokeo rasmi yangekwisha tangazwa.
Kenyatta is playing a dangerous game. Ajiandae kwenda The Hague kwa mara ya pili.
Otherwise amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
Wasije tena kusingizia VIFARANGA VYA KOMPYUTA 🙂Tume Ya Uchaguzi Ya Kenya
Sheria Inaitaka Ndani Ya Siku Saba Baada Ya Uchaguzi Kutangaza Matokeo, Mpaka Sasa Muda Wa Hizo Siku Bado Haujaisha
kweliRuto hata akishinda hawawezi kumpa hiyo nafasi. Trust me!