Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Pata waka nakumbiakweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pata waka nakumbiakweli
Kwa hiyo, mwisho wa yote, US na Kenya humalizia uchaguzi kama Tanzania tu. Interesting 🤔.Hata Mc Cain alimpiga obama 2008 ndio wakaamua wafanye manually Ili Obama abebwe !!
Naona na kenya Ruto kampiga odinga Sasa kwakuwa Odinga ndio chaguo la dola Sasa wanapika vitu vipya Ili kumbeba!
Jamaa wanataka ya huku KWETU kujirudia Ili lady gaga wa huko she ashike Ili Uhuru awe na remote ya kuongoza akiwa nyumbani kama jk anavofanya HUKU!!
Wewe ni zaidi ya mpumbavuUna uwezo mdogo sana
Haya Kafirwe na Nikk wa wapili ukalaleWewe ni zaidi ya mpumbavu
wajuaji sanaWabongo bwana,tunajua kupangia majirani lakini ukija uchaguzi wetu sasa,tunabaki kuwa keyboard worriers.
Hata ningekuwa mimi nisingempa!Ruto hata akishinda hawawezi kumpa hiyo nafasi. Trust me!
Nimecheka sana duhNeno ^njaa^ lenyewe ni baya sana. Sasa likiongezeka ^kali,^ dah! 🙂 Implication: ready for anything as long as it will bring food on the table.
Nimesema ni maoni yangu kwa jinsi nilivyoelewa sasa hiyo "are you serious" inatokea wapi? Kama unaamini kuna jambazi hayo pia ni maoni yako kila kheri.Are you serious? Jambazi unamjua kweli wewe?
Kuna mdau fb alimuomba aokoe jahaziKazi iliompeleka Jakaya imeanza
daah nikki tena... sema hakuna uchaguzi wa haki AFRIKAHaya Kafirwe na Nikk wa wapili ukalal
Tunaiga Yale mazuri hakuna mkamilifuTanzania tumeambiwa tuwaige.
Kenya wamejitahid sana mapungufu lazima yawepo Ila huwez fananisha integrity ya unchaguz wa Kenya na Tanzania ni mbingu na ardhi wako mbali sanLumsifia mtu kumudu uchaguzi ni baada ya matokeo. Kuanza kujisifu kuwa uchaguzi ni wa kihistoria kwa kuonyesha vi update vya matokeo yanayotofautiana kwenye Tv ni premature kama hospitali kujisifu kuwa wamefanikiwa kufanya upasuaji wa kihistoria bila kujua yule aliyefanyiwa upasuaji huo ataishi muda gani
Nilianza kupata wasiwasi nilipoona tu Uhuru amehamia kwa RO... Alikosea sana alipaswa kuwa neutral...Mgombea wa Kenyatta kashindwa!
Kenyatta is buying time trying to coock some new results.
Otherwise, angeshinda mgombea wa Kenyatta, matokeo rasmi yangekwisha tangazwa.
Kenyatta is playing a dangerous game. Ajiandae kwenda The Hague kwa mara ya pili.
Otherwise amkabidhi Rutto nchi kwa amani.
Electronic system ni hatari kuliko manualHata Mc Cain alimpiga obama 2008 ndio wakaamua wafanye manually Ili Obama abebwe !!
Naona na kenya Ruto kampiga odinga Sasa kwakuwa Odinga ndio chaguo la dola Sasa wanapika vitu vipya Ili kumbeba!
Jamaa wanataka ya huku KWETU kujirudia Ili lady gaga wa huko she ashike Ili Uhuru awe na remote ya kuongoza akiwa nyumbani kama jk anavofanya HUKU!!
Wasiuane tena tu!Dunia ya mapichapicha hii, wahuni at work, subiri matokeo.
Unajua sababu ya kumgeukia RO ni kuleta suluhi ile 2017. Otherwise Raila angevuruga kila kitu.Nilianza kupata wasiwasi nilipoona tu Uhuru amehamia kwa RO... Alikosea sana alipaswa kuwa neutral...
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app