Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

fasiliteta

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
2,372
Reaction score
4,090
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa Hawa weupe wanaojiona ndo binadamu,si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye uweusi ndani yake.Naamini wale manguli weupe kama Trump,Elon musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na Taifa Hilo,na hata kwa Obama nafikiri walimchagua ili kujarbu kubalance ubaguzi ila hata Leo nafikiri ni doa kubwa kwao.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.Suala la Vita na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia TU ni taifa lao Kua na Mtu mweusi Tena Mwanamke.Tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliwahi kututawala,kutubagua,kurunyanyasa na kutupora kua ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupewalivyoungana,na hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe
uko sahihi, naona trump kashinda in all venues...imenikata maini sana

LAKINI: hata hapa CCM wanaibagua chadema as if siyo wenzao watanganyika/watanzania (utavyopenda).
Ubaguzi akifanya mzungu kwa mwafrika, dhambi.
Ubaguzi akifanya mwafrika kwa mwafrika, RUKSA!

ANGALIA YANAYOFANYWA NA SAMIA KWA CHADEMA/WAPINZANI......
 
Kwa hiyo ulitaka USA wamchague huyo kamala kwa sababu ni mwanamke na mweusi au wewe mwananchi wa urambo ulitakaje.
Elewa point mkuu,ukiwalinganisha Trump na Kamala utaelewa ni nani Rais na nani chizi.
Sasa Bora wamuweke chizi kuliko mwanamke/mweusi
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa Hawa weupe wanaojiona ndo binadamu,si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump,Elon musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na Taifa Hilo,na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE( elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.


Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala,kutubagua,kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe
Kwa hii thinking capacity kweli unaishi kwenye nchi inayojengewa vyoo na wafadhili.

Ulitaka Wamarekani wamchague Kamala kisa tu ni MWANAMKE na MWEUSI ili wasionekane wanaubaguzi??
 
Ni aina ya ubaguzi pia kutaka Harris ashinde kwa sababu tu ya rangi na uanamke wake.

Either way ubaguzi ni ubaguzi tu
Angalia boss wazungu walivyoungana ktk hili,hata kwenye mikutano mingi na wanaomuunga mkono trump hapo USA ni wazungu weupe tipikali.
Hapa issue si mwanamke/mweusi issue hebu walinganishe,huoni Kama trump ni chizi
 
Kwa hii thinking capacity kweli unaishi kwenye nchi inayojengewa vyoo na wafadhili.

Ulitaka Wamarekani wamchague Kamala kisa tu ni MWANAMKE na MWEUSI ili wasionekane wanaubaguzi??
Aisee nimecheka sana,daaah Mimi nime argue namna mambo yalivyo.Hebu jarbu kufanya research kuanzia Bwana Elon musk alivyotumia platform yake ya tweeter/X na hata wazungu wenzao waliokua Wana endesha hii issue ktk mitandao.

Ila kama bado unamuamini Huyo Chizi anayeamini Dunia ni USA tu basi hujastaarabika kama yeye
 
Back
Top Bottom