Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

uko sahihi, naona trump kashinda in all venues...imenikata maini sana

LAKINI: hata hapa CCM wanaibagua chadema as if siyo wenzao watanganyika/watanzania (utavyopenda).
Ubaguzi akifanya mzungu kwa mwafrika, dhambi.
Ubaguzi akifanya mwafrika kwa mwafrika, RUKSA!

ANGALIA YANAYOFANYWA NA SAMIA KWA CHADEMA/WAPINZANI......
Mkuu mambo mengine yamekaa kiushandani wa kisiasa huwezi kuwalaumu CCM kwanini eti wanawabagua Chadema wakati wanajua kabisa hao ndio washindani wao maana hata hao Chadema wangekuwa ndio wanamadaraka usitegemee wangewatreat vizuri CCM
 
Elewa point mkuu,ukiwalinganisha Trump na Kamala utaelewa ni nani Rais na nani chizi.
Sasa Bora wamuweke chizi kuliko mwanamke/mweusi
Mkuu umepata breakfast lakini?

Unayemuita chizi ana pesa kuliko kabila (si ukoo tu) lako lote, na anachaguliwa na big brains zisizofikiria petty issues kama ujenzi wa zahanati, madarasa na vyoo, wala ulaji milo mitatu
 
Pambana na matatizo yako, ni mengi mno mpaka Nawaza unapata wapi mda wa kutafakari matatizo ya Marekani!
Bro, we achatu.
Ile kauli "Nchi ngumu hii" hapo ndipo inapo timia.
Jamaa ana lalamikia mtu mweusi kushindwa uchaguzi Marekani utadhani huyo Kamara ni msukuma mwenzie kutoka Bariadi.
Labda jamaa alibeti, maana watoto wa 2000s wanavituko.
 
ni chizi pekee ndio atabishana na mtu ambaye hakufunzwa
Wewe hukufunzwa mradi tuu upo, mtoto mkaidi,hasara kwa Mama yake,ndio maana nilikukataa,kwetu machozi hatuna!Muulize mama Yako Hilo jina atakwambia niikataa mimba Yako!
 
wenzetu wanasikiliza sera za mgombea laini sisi tukishapewa t-shirt kofia na kanga za chama tunasahau msoto wote wa 5 yrs ishu sio rangi ndo maana kuna watu #weusi walio mchagua trump
 
wenzetu wanasikiliza sera za mgombea laini sisi tukishapewa t-shirt kofia na kanga za chama tunasahau msoto wote wa 5 yrs ishu sio rangi ndo maana kuna watu #weusi walio mchagua trump
Kuna watu humu wanasema ngozi nyeusi ni Nyani, kweli mtu na akili zako unajiita nyani!
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Hoja nyingine zinajibiwa na common sense tu, hivi ingekua wewe ni mpiga kura ungechagua yupi kati ya hao?
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Kwahiyo tufanyaje Watu weusi ili tufanikiwe tuwapore hawa watu weupe Mali walizowapora Mababu zetu?
 
Back
Top Bottom