Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Umaskini wa Akili ni mbaya sana,mtu uliyekamilika,unashabikia na kujiita Nyani, pumbavu kabisa Wewe,Bora tunajificha na Idd fake!Sasa mbona unawashwa kama wewe sio nyani vunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini wa Akili ni mbaya sana,mtu uliyekamilika,unashabikia na kujiita Nyani, pumbavu kabisa Wewe,Bora tunajificha na Idd fake!Sasa mbona unawashwa kama wewe sio nyani vunga
Una akili ya kwenda chooni,hakuna kinachonihusu!Naona una uchungu sana na Marekani kwenye swala Lao la democracy, nafikiri ukianza na vikao Chicago ni mwanzo mzuri
Kweli,mtu na akili zake anajiita Nyani.!Napinga, wanachoangalia ni uwezo wa mtu na sio rangi.
We ndio mpumbavu unaendelea kubishana na mtu unaemuita mpumbavu nyani weweUnajitukana mwenyewe, maana mama pia unaye!Nitakujibu kutokana na Upumbavu wako.
Mkuu mambo mengine yamekaa kiushandani wa kisiasa huwezi kuwalaumu CCM kwanini eti wanawabagua Chadema wakati wanajua kabisa hao ndio washindani wao maana hata hao Chadema wangekuwa ndio wanamadaraka usitegemee wangewatreat vizuri CCMuko sahihi, naona trump kashinda in all venues...imenikata maini sana
LAKINI: hata hapa CCM wanaibagua chadema as if siyo wenzao watanganyika/watanzania (utavyopenda).
Ubaguzi akifanya mzungu kwa mwafrika, dhambi.
Ubaguzi akifanya mwafrika kwa mwafrika, RUKSA!
ANGALIA YANAYOFANYWA NA SAMIA KWA CHADEMA/WAPINZANI......
Mkuu umepata breakfast lakini?Elewa point mkuu,ukiwalinganisha Trump na Kamala utaelewa ni nani Rais na nani chizi.
Sasa Bora wamuweke chizi kuliko mwanamke/mweusi
Bahati mbaya hukufunzwa,ndio maana yanakutoka kama unahara!We ndio mpumbavu unaendelea kubishana na mtu unaemuita mpumbavu nyani wewe
ni chizi pekee ndio atabishana na mtu ambaye hakufunzwaBahati mbaya hukufunzwa,ndio maana yanakutoka kama unahara!
Bro, we achatu.Pambana na matatizo yako, ni mengi mno mpaka Nawaza unapata wapi mda wa kutafakari matatizo ya Marekani!
Hakuna cha ubaguzi wa rangi. Huyu huyu Trump alimshinda Mzungu mwanamke 2016.Ni aina ya ubaguzi pia kutaka Harris ashinde kwa sababu tu ya rangi na uanamke wake.
Either way ubaguzi ni ubaguzi tu
Wewe hukufunzwa mradi tuu upo, mtoto mkaidi,hasara kwa Mama yake,ndio maana nilikukataa,kwetu machozi hatuna!Muulize mama Yako Hilo jina atakwambia niikataa mimba Yako!ni chizi pekee ndio atabishana na mtu ambaye hakufunzwa
We itakua shogaWewe hukufunzwa mradi tuu upo, mtoto mkaidi,hasara kwa Mama yake,ndio maana nilikukataa,kwetu machozi hatuna!Muulize mama Yako Hilo jina atakwambia niikataa mimba Yako!
Kuna watu humu wanasema ngozi nyeusi ni Nyani, kweli mtu na akili zako unajiita nyani!wenzetu wanasikiliza sera za mgombea laini sisi tukishapewa t-shirt kofia na kanga za chama tunasahau msoto wote wa 5 yrs ishu sio rangi ndo maana kuna watu #weusi walio mchagua trump
Hoja nyingine zinajibiwa na common sense tu, hivi ingekua wewe ni mpiga kura ungechagua yupi kati ya hao?Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.
Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.
Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.
Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Kwahiyo tufanyaje Watu weusi ili tufanikiwe tuwapore hawa watu weupe Mali walizowapora Mababu zetu?Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.
Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.
Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.
Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Nikiwa shoga kwa hiyo!Huna akili mtoto Jenga hoja mtoto wa kiume,wewe ndio shoga perce!Unakuwaje na mawazo mgando mkuu,shida ya kulelewa kikeni ndio hii Yako.Akili mgando sana wewe!We itakua shoga