Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Angalia boss wazungu walivyoungana ktk hili,hata kwenye mikutano mingi na wanaomuunga mkono trump hapo USA ni wazungu weupe tipikali.
Hapa issue si mwanamke/mweusi issue hebu walinganishe,huoni Kama trump ni chizi
Mbona majimbo yenye weusi wengi kama Georgia Trump kashinda badala ya Haris.
Na sisi Africa tuanze kuwapa Uraisi wenye asili ya Ulaya ili tusionyeshe Ubaguzi.
Alafu huwezi kuwapigia wananchi au Taasisi za zenye Mamlaka na Nchi wamchague flani kwa interest zako badala ya zao
 
Umeongea upuuuzi mzito sn

Huyo mgombea wenu hakuwa na sifa za kumshinda Trump

Chama chenu (Democratic) kilipoteza sifa za kuiongoza nchi na kimeiletea hasara kubwa Marekani

Wanufaika wakubwa was Sera Democratic walikuwa nchi za ulaya na vyombo vingi nya habari vya ndani ya Marekani na nje ya Marekani na ndio maana vilikuwambele kumpigia kampeni huyo mpuuzi wenu lkn warekani wengi walikuwa wameshaliona Hilo ndio maana unaona wameamua maamuzi sahihi
 
Si ndo hapo mkuu 🤣kuna wale wazee wa hamas mwanangu huo mda wa kufatilia wanatoa wapy Sema it's a matter of interest
Pambana na matatizo yako, ni mengi mno mpaka Nawaza unapata wapi mda wa kutafakari matatizo ya Marekani!
 
Waafrika mna inferior complex ya kipumbavu sana.Wamarekani hawawezi kumpa mwanamke uongozi wa nchi,ni mpumbavu ndo hawezi tambua hili.
Surely. Watu watafute kitabu kinaitwa future shock cha alvin toffler. Watapata madini mengi kuhusu siasa za marekani. Binafsi mimi bora trump kashinda
 
Mbaguzi wa kwanza ni mtu mweusi.
Jana nilienda halo shop (duka la halotel.) moshi muda naanza kuhudumiwa wakaja wazungu wawili. Mtoa huduma akaniambia nenda kakae kwanza tuwahudumie hawa. Aisee nilikinukisha mpk wale wazungu ikabidi wasubiri kwanza. Sisi watu weusi tuna shida wazungu hawabaguani ndyo maana ni ngumu kubaguliwa na race nyingine.
 
Na vp kuhusu chaguzi zetu hapa Nchini,ambapo ni weusi pyuwaa,una maoni gani mkuu.
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Mbona walimchagua Obama mwaka 2008 na 2012 kama ni wabaguzi?
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Unafikili marekani ni kichwa ya mwendawazimu mpaka aruhusu kutawaliwa na lishangazi.
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Kamala hakuwa na sifa za kuwa hata mbunge kama ulikuwa unamfuatilia, kwanza inashangaza hata kwa wingi wa kura alizopata.

Trump ni mahiri kwa uongozi mkubwa ana udhaifu kwenye mambo machache. Halafu mbona blacks wengi tu wamempigia kampeni Trump.
 
Back
Top Bottom