Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Kamala hajapingwa sababu ya uanamke, amepingwa sababu ya sera zake na chama chake
Uwe unafuatilia vitu kabla huja comment
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Kamala mwenyewe alijichanganya......kipindi anaingia kwenye umakamo urais enzi za biden kuingia ikulu alikua anajitambulisha kama ana asili ya wahindi(indian american).........uchaguzi umefika sasa ili apate kura za weusi anasema ana asili ya watu weusi (black american) wakati mwanzoni alikua hataki kabisa kutambulika kama ana asili ya watu weusi,,,,,na wapiga kura wameona isiwe shida wao sio maboya wakafanya yao
Screenshot_20241106-111814_Chrome.jpg
Screenshot_20241106-111743_Chrome.jpg
 
E bana ee kama ubaguzi ni kutomruhusu mwanamke kuongoza, bora huo ubaguzi uendelee tu.

Nakubaliana na huo ubaguzi wa marekeni kwa 100%
Kwa jinsi huyu mwanamke wetu anavyonisumbua! Ubaguzi huu ufike hadi Tz next year.
 
Angalia boss wazungu walivyoungana ktk hili,hata kwenye mikutano mingi na wanaomuunga mkono trump hapo USA ni wazungu weupe tipikali.
Hapa issue si mwanamke/mweusi issue hebu walinganishe,huoni Kama trump ni chizi
Trump hataki ujinga, ushoga wenu pelekeni huko
 
Achana na ngozi ila ukweli mchungu ni kwamba mwanamama hapaswi kua kiongozi na sasa sikwambii kiongozi wa nchi natena unakuta linchi likubwa kama marekani watu wanajua mambo sio kama mnavyoaminishwa nyie huko kwenu
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Waafrika tuache unafiki. Hivi Salim alibaguliwa na wazungu? Mbona sisi ni wabaguzi sana lakini watu hamuanzishi thread kujisema?
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Akili zako zimedumaa, Obàma baba yake ni Mkenya mweusi tii hukuona ubaguzi, leo kamala baba yake ni muhindi na mumewe ni muisrael unasema ubaguzi. Acha upoyoyo Obàma aligombea na mzungu na akashinda vipindi vyote viwiili.
 
Back
Top Bottom