Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Pole sana

Aliposhinda Obama mbona mlikuwa kimya kusema rais wa kwanza mweusi ?

Hakuna ubaguzi wowote US ndio taifa pekee ambalo linampa chance za kufanikiwa mtu yoyote awaye na kutoka taifa lolote muhimu ukijituma na kufuata sheria.

Trump unayesema ni mzungu pure ukifuatilia asili yake sio wa hapa, wenyeji halisi wa US ni red Indians.

Marekani imejengwa kwa diversity na itabaki kuwa hivyo , niambie kuna nchi gani inatoa chance kwa wahamiajia 50000 kila mwaka kuja kuishi na kufanya kazi US?
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Wamarekani Wana akili wewe...huwezi kutakakutawala Dunia alafu uwe unaongozwa na mwanamke. That's just simple common sense.
 
Kama unahisi kubaguliwa si ukae kwenu kwenye weusi wenzio wasiobagua,
Wanaoishi huko na wanaona wanabaguliwa warudi kwenye asili yao ila kukaa kwa watu na ukahisi wewe ni mmoja wao ni ujinga,
Mgeni karibu jisikie ugenini
 
Akili zako zimedumaa, Obàma baba yake ni Mkenya mweusi tii hukuona ubaguzi, leo kamala baba yake ni muhindi na mumewe ni muisrael unasema ubaguzi. Acha upoyoyo Obàma aligombea na mzungu na akashinda vipindi vyote viwiili.
Hujanielewa boss,Obama alipita kwa kubalance na ndo kinga Yao ya kuonyesha wao si wabaguzi kwa sasa.
Kamala baba yake ni Professor na ni black,mama take ndo ana asili ya India so ni m-black hata ukimuangalia unaona ana fanana na wahindi au chotara?
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
weusi hawatakiwi kushindwa?
 
Si mwanamke tu,huko mbeleni taifa la marekani halitoruhusu Tena kuongozwa na ngozi nyeusi
Mimi pia ni mtu mweusi lakini nakiri kusema, mtu mweusi sio wa kupewa madaraka sehemu yoyote ile. Usiende mbali huko marekani, baki hapa afrika angalia mataifa ya watu weusi yana maendeleo gani ya maana? Zaid ya mataifa ya wenye asili ya uarabu(misri, morocco n.k). Uyo Obama mwenyewe ni kwasabb alikuwa na mzaz ambae ni white. Mtu mweusi sio wa kupewa madaraka full stop.
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Sasa nyie c ndo mlikuwa mnashangilia ushindi wa Trump?? Sasa mnaanza kulisa lia acha sindano iwaingie
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Mbona Obama alishinda?
 
Ni wazi kwamba marekani hawawezi kuchagua mwanamke kama rais hata Hilary clinton mzungu halisi pia alishindwa kwa Trump.Ni kwamba wanachagua mtu ambaye atakuwa na maamuzi magumu hasa pale kunapotokea changamoto za vita na masirahi ya uchumi wa marekani.
 
Mpango WA kishetani WA Kamala na wenzake LGTB,abortion ,Vita and etc umezimwa na watu WA Mungu,wamempa nguvu kwenye mabunge yote mawili,sera za democrats za kushoto ni za kishamba Sanaa....Trump ameshinda Kwa sera Bora siyo ubaguzii
 
Issue hapa sio rangi bali Democratics waliachia Southern Borders wazi kila Mtu akawa anajiingilia hicho ndio kilichowaangusha.
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Matatizo ya marekani wewe yanakuhusu nini?....watu nchi yao wewe unataka uwapangie wamchague nani!!...akigombea mzungu hapa bongo kuwa Rais utamchagua wewe?
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Naona imekuuma sana.Mwanamke kuwa rais wa USA sahau
 
Back
Top Bottom