Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Uchaguzi wa Marekani ni uthibitisho wa Ubaguzi hautoisha duniani

Ukisema Wamarekani ni wabaguzi (sio kwamba napingana na wewe kuhusu ubaguzi wa weupe against other races) kwa mfano wa uchaguzi huo, inakubidi ufrudishe fikra zako nyuma huko wakati Oboma anachuana na Hillary Clinton, remember Oboma alikua mweusi while mama ni pure mzungu, pure American and her husband was an ex president. Mimi binafsi wakati tunajadiri uchaguzi hu, hasa wakati wa kampeni na mwana mama alikua anaongoza KURA za maoni, I wrote; American will NEVER ever choose or select a president of F sex, never. Those guys they don't trust a woman to be in their highest office. Mambo yao ni kama Arabic countries, hawana tofauti. But I went a far, kwamba Biden anajua hilo, Kamara anajua kwamba anamsindikiza mwamba na hata Oboma, Clinton walijua hilo. Trump ule uchaguzi wa kwanza, alishindwa kura za wananchi, matrix ikamtema mshindani wake na kumuweka Donald madarakani, same story again.
 
Si mwanamke tu,huko mbeleni taifa la marekani halitoruhusu Tena kuongozwa na ngozi nyeusi
Huu uhakika wa yajayo huwa mnautoa wapi boss. Bora useme kwa miaka lets say 20,30 au 50 na uwe na takwimu zinazokupa hilo hitimisho. Halitoruhusu tena? Milele? Kama ilitokea, uwezekano wa kutokea upo.
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Chama Cha democrats ndio chama kinachosapoti ushoga ni Bora Trump alivyoshinda
 
Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.

Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.

I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.

Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.

Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.

Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Wewe nchi yako imewapa vyeo gani watu wenye asilimia ya asia na Marekani?
 
Back
Top Bottom