Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uhakika wa yajayo huwa mnautoa wapi boss. Bora useme kwa miaka lets say 20,30 au 50 na uwe na takwimu zinazokupa hilo hitimisho. Halitoruhusu tena? Milele? Kama ilitokea, uwezekano wa kutokea upo.Si mwanamke tu,huko mbeleni taifa la marekani halitoruhusu Tena kuongozwa na ngozi nyeusi
Hata uwe unapambana vipi lazima, ujue Dunia Ina yoenda,usiwe kisiwa I,kuongea jambo la kweli.Pambana na matatizo yako, ni mengi mno mpaka Nawaza unapata wapi mda wa kutafakari matatizo ya Marekani!
Chama Cha democrats ndio chama kinachosapoti ushoga ni Bora Trump alivyoshindaWamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.
Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.
Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.
Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Wewe nchi yako imewapa vyeo gani watu wenye asilimia ya asia na Marekani?Wamarekani ni wabaguzi sana hasa hawa weupe wanaojiona ndo binadamu, si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye weusi .Naamini wale manguli weupe kama Trump, Elon Musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na taifa hilo, na hata kwa Obama nikiri walimchagua ili kujarbu kubalancemambo ya ubaguzi ila hata Leo kwao ni doa kubwa lisilofutika.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.
Kwa wale wanaofikiria Suala la Vita kuu kubwa zinazoendeshwa dunia na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia kwa taifa lao ni Mtu mweusi kurudi tena ikulu ya WHITE (elewa hapa) HOUSE. Tena huyo mweusi ni Mwanamke.
Kwa sisi ngozi nyeusi tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliowahi kututawala, kutubagua, kutunyanyasa na kupora mali zetu za asili kua wameokoa na ni Mitume ktk zama hizi.
Nilifatilia namna Hawa Weupe walivyoungana,kwa kithibitisha fatilia hata mikutano mingi ya Trump walijaa Hawa ngozi nyeupe.
Hata uwe unapambana vipi lazima, ujue Dunia Ina yoenda,usiwe kisiwa I,kuongea jambo la kweli.
Acha kutweza Utu wako, Hakuna aliyechangia ngozi hata chui hakuchagua!Akili Yako imejaa mavi hiyo ulitaka Kamala ashinde kisa ni sokwe mwenzio
Kwani we sio nyani a.k.a sokweAcha kutweza Utu wako, Hakuna aliyechangia ngozi hata chui hakuchagua!
We umeona Chicago tuu ndo pakwends?Dunia kubwa hii!Sawa, unaenda lini Chicago Kaka?
Mimi ni mtu na Nyani ni Nyani.Kwani we sio nyani a.k.a sokwe
Sasa mbona unawashwa kama wewe sio nyani vungaMimi ni mtu na Nyani ni Nyani.
Binadamu wa ovyo ndio dizaini Yako,jiite nyani wewe na ukoo wako na mtakuwa nyani kweli poor brain!Sasa mbona unawashwa kama wewe sio nyani vunga
We ni nyani sababu tabia za nyani ni za aina Yako kudandia yasiyokuhusu ishi maisha Yako acha shoboBinadamu wa ovyo ndio dizaini Yako,jiite nyani wewe na ukoo wako na mtakuwa nyani kweli poor brain!
We umeona Chicago tuu ndo pakwends?Dunia kubwa hii!