Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ni ushindi wa mafisadi, mbona wabunge wa upinzani wamempa kura? Demokrasia imechukua mkondo wakeUshindi wa Mafisadi, wanyonge tunaingia msituni.
Kweli KAFU si lolote si chochote ni vikaragosi tu vya sisiemu
Ni lifanyakazi la Rostam Aziz media. Halijui hata dataz za ubunge ndio utaona wanaandika mambo ya ajabu kwenye RAI na Mtanzaniahivi kumbe kuna watu ndani humu hawajui chadema ina wabunge wangapi?!!
jitu linaropoka tu!!!
kumbe cuf ni ccm-b??
Mabere marando ame2pwa kwenye kinyanganyiro cha uspika so 2tarajie ubabe wa makinda ili kunusuru chama chao lakin wapinzan wa ukweli kama chadema watamfundisha kazi manake 2namjua vizuri sana
Hana sifa, ila kwa sababu watanzania ni wadanganyika basi watadanganyika, walioua NCCR mageuzi ni akina nani??, na kipindi kile anabebwa na ccm kwenda bunge la Afrika Mashariki wapinzani wa kipindi hicho walisemaje, leo anabwabwaja mnazani ni mtu makini haya, yetu macho.ni ushabiki lakini jamani marando anafaa kuliko huyo headmistress
Anaifurahia post lakini mbele ya safari atajutia kwani changamoto zitakuwa kubwa kuliko kipindi chote tokea tupate uhuru
Amka mkuu, mbona umelala hivyo? CHADEMA haina wabunge 56.CHADEMA ina wabunge 56. Marando amepata kura 53. Whats going on? CCM wote, Wapinzani wengine wote na baadhi ya CHADEMA wameunga mkono mgombea wa CCM. This can tell what to expect in the next 5 years.