Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Haya jamani, tuendelee na misele yetu, miaka mitano mingine ya maisha magumu chini ya CCM
 
wapinzani kumbe niwasenge hawa, tatizo wananjaa sana ,wakipewa pesa tu wananunuliwa ******* wakubwa hawa.
Wapinzani wapi? nani aliwaambia CUF ni wapinzani? mmeshambiwa ni ccm Pemba wing, mnakataa, sasa si mmejionea wenyewe?
 
CUF ndo kiyama chao 15 lazima watatoka nakurudi ccm kwani kwa sasa niwali wa ccm walishaolewa hao!!
 
yeye Marando alishusaliti upinzani wakati ule wa kugombea ubunge wa jumuiya ya africa masharika akaungwa mkono na CCM sasa mnashangaa nini leo akitoswa na hao wapinzania wengine!!!!
 
sasa hapo tujipange mazee na tujue kabisa tunaenda kupiga mechi na timu ambayo refari ni mshabiki wa washindani wetu au wapinzani wetu so mbinu za ziada zinahitajika ili kushinda.
 
hivi kumbe kuna watu ndani humu hawajui chadema ina wabunge wangapi?!!

jitu linaropoka tu!!!
 
Nafuatilia. Vyama vya upinzani ni bogus kabisa, maana Mabere amepata kura chini ya idadi ya kura za wabunge wa vyama vya upinzani.
CHADEMA 22 + 23 = 45
NNCR 4
UDP 1
TLP 1
CUF 23 + 8 = 31
Jumla ya wabunge wa upinzani ni 82
Mabere amepata kura 53
Kuna shida kubwa kwa upande wa vyama vya upinzani

INA MAANA MABERE HAKUCHAGULIWA NA CUF. WALIOMPA NI KAMA IFUATAVYO;

CHADEMA ==45
NCCR ==3
UDP==1
S. SITA NA MKEWE==2
JENISTER MHAGAMA ==1
DR. MWAKYEMBE ==1

KAFULILA WA NCCR NA MREMA WA TLP NAO HAWAKUMPA.

DU.........KAZI KWEIKWEI......
:yield:
 
CHADEMA ina wabunge 56. Marando amepata kura 53. Whats going on? CCM wote, Wapinzani wengine wote na baadhi ya CHADEMA wameunga mkono mgombea wa CCM. This can tell what to expect in the next 5 years.


Katika demokrasia kila mtu ana uhuru wa kumchagua mgombea anayeona anafaa na ndivyo walivyofanya. Mara kadhaa humu ndani tumelaumu wabunge wa CCM wanaotetea hoja zisizo na mantiki bungeni, hivyo tusidai CCM wasiwe na collective responsibility while CHADEMA want to have one. Ndio maana ya uhuru wa kupiga kura.

Salamu maalumu kwa Mama Makinda - Hilo si bunge lako ila ni la wananchi pamoja na wapiga kura wako. Wewe ni spika na sio mbunge bora zaidi ya wengine. Tetea maslahi ya wananchi, be humble but firm on issues of national interest and those of Tanzanians.
 
anuni ya 9....mgombea anatakiwa apate zaidi ya nusu, kama kura zikifungamana uchaguzi unarudiwa.....

enhe.....


Matokeo...

Kura jumla 327
zilizoharibika 9,

Anna...kura 265....SPIKA 74.2%

Marando.....kura 53

SPika ANA MAKINA

Kazi kwisha
Kwa hesabu hizi Kweli CUF=CCM
 
Jana usiku niliambiwa na impeccable source kwamba MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD alitoa maelekezo maalum kwa wabunge wa CUF kumpigia kura mgombea wa CCM. Kwa hesabu hii ya kura naamini ndicho kilichotokea. Hii maana yake ni kwamba chama pekee cha upinzani kilichobaki ni CHADEMA. Tuungane tuijenge CHADEMA ili iwe mkombozi wa kweli wa Watanzania. To hell with CUF, to hell with HAMAD, the hyprocrite!

CUF na ccm viliungana rasmi na kuwa chama kimoja siku ile walipokubaliana katika muafaka wao. Usishangae kwenye baraza jipya la mawaziri utakapokuta kuna wabunge wa CUF wamekuwa mawaziri wa serikali ya muungano.
 
quote_icon.png
Originally Posted by ZeMarcopolo
CHADEMA ina wabunge 56. Marando amepata kura 53. Whats going on? CCM wote, Wapinzani wengine wote na baadhi ya CHADEMA wameunga mkono mgombea wa CCM. This can tell what to expect in the next 5 years.
Yaani hata ndani ya chadema wanatosana wenyewe kwa wenyewe!!!
Akili yako ina kasoro. Chadema ina wabunge 45
 
kimahesabu chadema 45 + 4 nccr + 4 wapiganaji toka ccm kilango,mwakyembe,....
 
Halafu unakuta mtu na akili zake anashabikia ccm.....Crap
 
Halafu eti tunaota vyama vya upinzani kuungana, CCM wataendelea kutukalia mpaka mwisho wa dahari huu ni ujinga wa kutupwa. Naweza sema kuitoa CCM madarakani sasa inataka kuwa ni ndoto kabisaaaaaaaa


CHADEMA pekee ndiyo itakayoiondoa CCM madarakani bila kushirikiana na kibaraka yeyote. Ninaamini kwa sasa wanajiandaa kujenga matawi ya chama nchi nzima, mara ifikapo 2014 wawe wamejiandaa kwa ajili ya serikali za mitaa.
 
Anna Makinada amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
Kura walizopata wagombea ni kama ifuatavyo:

Anna Makinda 265
Mabere Marando 53
Zilizoharibika 9

Je ataweza mikikimikiki ya Bunge la KUMI la Jamuhuri ya Muungano?
Kwa jinsi ninavyomfahamu wakati alivyokuwa anaongoza Bunge kama Naibu Spika alikuwa akizima hoja Binafsi za Wabunge zilizokuwa zinatetea maslahi ya taifa; kwa kuwaamrisha wakae chini.

Kutokana na sababu hizo siamini kama ANNA MAKINDA ATAWEZA USPIKA WA BUNGE HILI LENYE CHANGAMOTO KUBWA.
 
Back
Top Bottom