FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Hii ni Aibu kama wapinzani wengine kura zao zimeenda kwa huyu mama ndo watajua ujeuri na ukorofi wake wakati wa kuchangia hoja :nono:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe humjui Marando, mpaka unahitaji miujiza kwa Marando, na iishie huko.''juock ping'' namwaminia
tendaaa muujiza..... baba tendaaaa muujuzaaaaa
usituache mwaka huu upite bila marando kuwa spika... tendaaa muujiza
Yaani i don't belive kama CUF wamempigia kura Anna makinda??? duuu
Mbona Star TV wameandika Anna Abdallah?
Hakuna wa kumpa changamoto ambayo hataiweza.
Kura ya sitta na chenge ndo zitakuwa katika zilizoharibika!I think Sitta ndio katoa hio kura moja nje ya CHADEMA. Yani CUF wameonyesha rangi zao. :nono: