Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Sasa ndio upate sura ya "upinzani ndani ya upinzani bungeni", kama wapinzani hawaungani hakuna tulichofanya!Bado safari ni ndefu san
 
Jana usiku niliambiwa na impeccable source kwamba MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD alitoa maelekezo maalum kwa wabunge wa CUF kumpigia kura mgombea wa CCM. Kwa hesabu hii ya kura naamini ndicho kilichotokea. Hii maana yake ni kwamba chama pekee cha upinzani kilichobaki ni CHADEMA. Tuungane tuijenge CHADEMA ili iwe mkombozi wa kweli wa Watanzania. To hell with CUF, to hell with HAMAD, the hyprocrite!
 
Inaaelekea siku hizi uspika ni one term thing!!! I wish CCM wangefanya hivi na kwenye Urais!!!
 
Anna Makinda achaguliwa kwa kura 265 =74.2% zidi ya Marando kura 53=16.2%
Kanuni ya 9 fasili ya 13 ya bunge zaidi ya nusu ni mshindi 327 total votes

Mdee ndo alikuwa wakala wa Marando naona makinda alisimamiwa na jirani yake wa Ludewa.
Nchi kama Botswana,Ghana.India and Mozambique maspeaker wao ni wanawake

Tutarajie ubabe toka kwa uyu mama na utetezi wa CCM

Kama Marando amepata kura 53, maana yake hata wapinzani wamempigia Anne Makinda. A very sad event
Hii inathibitisha kwamba CUF= CCM period!
 
Hilo sio jambo la kushangaza kwangu, from the begining nilijua wapinzani wa kweli nchi hii ni CHADEMA PEKEE. Wala msishangae hilo waungwana., mimi nimefurahia kwani tumejua nani wapo kwenye gari lipi kati ya HOPE(Mabadiliko) na FEAR(Mafisadi)
 
Jamani hawa jamaa wa CUF yaani wamegoma kabisa kumpa kura Marando?? Kweli nimeamini wao nao ni kama Lyatonga Mrema (watoto wa CCM kwa nyumba ndogo). Sasa wale washikaji wetu MAFISADI mambo lainiiii.
 
Hatimaye uchaguzi wa spika umefanyika, na Anna Makinda amekuwa ndio spika wa kwanza mwanamke tangu Uhuru kwa kupata kura 265 dhidi ya kura 53 za Mabere Nyaucho Marando.
:israel:

Ataweza mziki?
 
Huyu mama huwa ni mkali na mpendelevu, lakini UPINZANI UTAPAMBANA NAYE TU.

Upinzani upi ndugu? Sema chadema maana ukijaribu kuhesabu hizo kura utaona hata baadhi ya kura za wapinzani wamezichukua kwa kiwango kikubwa ccm. Na mafisadi wamepata kile kitu wanachokitakana hapa tutegemee unafki zaidi na siyo demokrasia
afisadi wamepata kile walichokita
 
Hawa wabunge wa CUF ni vichaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mbona wapinzani wanatuangusha, wapo zaidi ya 80 lakini mbona Marando amepata 53? Du kweli Tanzania tuna safari ndefu kufikia mabadiliko ya kweli.

wapinzani kumbe niwasenge hawa, tatizo wananjaa sana ,wakipewa pesa tu wananunuliwa ******* wakubwa hawa.
 
Dah, nimeamini sasa kuwa CUF, NCCR, TLP sio wapinzani, kama wamempa kura CCM, kazi ipo
 
Back
Top Bottom