Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Marando kapata kura 53, yaani ni 45 za chadema 8 toka kwa wapiganaji ndani ya CCM tu, NCCR-0 TLP-0 CUF -0. Tujue tunawapiganaje 53 tu katika bunge hili.Mungu ibariki Tanzania
Wenje alikosea akampa Anna Makinda sijui hapo utamsemaje sasa.
 
ni ushabiki lakini jamani marando anafaa kuliko huyo headmistress

Haswa, ukizingatia CCM wamempitisha si kwa utendaji, bali ni kwa sababu mwanamke. Hii ni hatari kuteuana bila kuzingatia uwezo na dhamira ya mtu kufanya kazi.
 
INA MAANA MABERE HAKUCHAGULIWA NA CUF. WALIOMPA NI KAMA IFUATAVYO;

CHADEMA ==45
NCCR ==3
UDP==1
S. SITA NA MKEWE==2
JENISTER MHAGAMA ==1
DR. MWAKYEMBE ==1

KAFULILA WA NCCR NA MREMA WA TLP NAO HAWAKUMPA.

DU.........KAZI KWEIKWEI......
:yield:

upigaji kura si wa SIRI? mtu anajuaje fulani kampigia fulani? Tujiepushe na uzushi!!
 
Salamu wana JF,

Ule mchakato wa kumpata spika mpya ndo umeanza asubuhi hii, kwa wana JF walioko on ground na wale wanaofatilia kwenye TV tunaweza kuitumia thread hii ili kuhabarishana live news.

MATOKEO:

Kura zilizopigwa jumla ni 327
Zilizoharibika ni kura 9

Anna...kura 265....SPIKA 74.2%

Marando.....kura 53

Mama yangu mzazi....Mafisadi watadhidi kuharibu nchi kwa kumfanya mwanamama kuzima hoja za msingi na zakuleta maendeleo katika Taifa langu. Kwani hii ni lzima iongozwe na CCM watu wa kuchakachua?:A S angry:
 
Anna Makinda ameshinda.kweli Mafisadi wamejipanga na sasa hata hoja binafsi zenye maslahi kwa taifa zitatupwa. Now I can declare that, Tanzania is officially screwed by Mafisadi and they would partition tanzania society with higher walls between the "Haves and Have-not". Tanzania mambo bado kwakweli,:bowl:.
 
Last edited by a moderator:
CUF ni watu wenye uroho,tamaa,choyo,udini,ulafi na kila kitu cha ovyo ovyo katika kutaka madaraka,
mbona wao msimu uliopita tuliwaacha wakawa viongozi wetu wa upinzani bungeni inamaana wanataka nasisi tuwe wajinga kama ccm waliokubali kugawana nao madaraka zenji???
ccm ni wap*** kama wao hivyo serikali ikawa imewashinda wakaamua kuwatafuta wap** ili waongoze... hivi wanadhani kila chama ni cha kukubali upuuzi wa miaka 40's ya ccm serikalini??
Mungu nae hapendi uroho,tamaa,choyo,udini,ulafi kwa watu wake na ndio maana kila uchaguzi chadema inapanda juu na cuf yazidi kushuka kadiri mambo yanavyoendelea ktk kuikomboa TZ...
DAWA YA MOTO NI MOTO TU.............
 
acha umbeya, thanks ya nini, mie siishi kwa mtindo kama wako.

ukwel unauma...alichokwambia jamaa ni kwel kabisa...
Kwanza wewe ni cuf ndo mana umetuwekea jina la mtandao wenu hapo..
Toka humu ndani ujaitwa
 
Makinda anayokazi ya kuhimili nguvu ya wapiganaji wa CHADEMA. Hawa wengine sijui CUF hana shida nao kwakuwa ni 2nd CCM.
Wangapi hao wapiganaji, si wengi kama unavyozani, we subiri libeneke litakapoaanza tu utaona wapiganaji ni akina nani.
 
ukwel unauma...alichokwambia jamaa ni kwel kabisa...
Kwanza wewe ni cuf ndo mana umetuwekea jina la mtandao wenu hapo..
Toka humu ndani ujaitwa
Wa baba yako unanifukiza, andika jina jingine basi uondoe kuwa ni jamii kama unazani uko sahihi, sasa kama mie cuf na wewe Chadema tatizo ni nini sasa.
 
Halafu hii habari ya kila mbunge kuapa pekee inapoteza muda tu, wangeapishwa wote kwa mpigo, ukiwa bungeni na hujakataa iwe binding. Sio watu wanatumia kikao kizima kuapishana tu, wanaongeza gharama tu bila ufanisi.

namuonea huruma anna kusimama masaa yote hayo. kama sheria hazizuii wampe kigoda akae huku akishuhudia hilo zoezi. zamani chuo kikuu nyerere alikuwa anamvika hood kila mhitimu wa shahada ya kwanza - walikuwa wa kuhesabu. baadae walivyoendelea kuonngezeka akawa anatoa neno na wote wakiwa wamesimama wanajivalisha hood zao. naungana nawe waape kwa mkupuo na kila mmoja aje na kitabu chake kitakatifu husika!!
 
Back
Top Bottom