Siamini kama wanaweza chakachua pale
katibu katangaza kuwa "hakuna kuchakachua kura hizi" hata yeye anajua kuwa huwa kuna uchakachuaji
Nicky82 - Thanks
Zoezi zima litachukua muda gani (kupiga kura + kuhesabu):tape:
Kwa jinsi hali ilivyo, hamna shaka kuwa Spika ni Anna Makinda. Ngoja nrudi zangu MMU kule.
hawa jamaa wanaweza kuchakachua hata kura za spika.mi siwaamini sana hawa[/QUOkuhesabu kura tu za wabunge inachukua nusu saa? haya bwana ,mifumo mingine ni ya kizembe sana.kumbe ugonjwa ule wakuchelewesha matokeo ni wakitaifa.
Kwa jinsi hali ilivyo, hamna shaka kuwa Spika ni Anna Makinda. Ngoja nrudi zangu MMU kule.