Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Lets all cross fingers. unajua kwa wabunge waaminifu kabisa na wenye kuitakia mema nchi yetu Mabere is the right candidate. Lakini kwa sababu wengi wanafuata upepo ndio hivyo tusitegemee miujiza
 
kuna mchangiaji mmoja TBC1 kamfananisha Anne Makinda na Headmistress kwa staili yake ile ya kuwafokea wabunge utadhani bunge ni shule ya sekondari

bado watu (wabunge wanashabikia badala ya kufuata ukweli)
 
Na hizo kura mbili wanataka kuzichakachuaaaaaa! mmmh ama kweli CCM = Chaka Chua Matokeo kwa manufaa ya Chama & Mafisadi.
 
Lets all cross fingers. unajua kwa wabunge waaminifu kabisa na wenye kuitakia mema nchi yetu Mabere is the right candidate. Lakini kwa sababu wengi wanafuata upepo ndio hivyo tusitegemee miujiza

4 problems:

SMZ kuagiza CUF wakiunge mkono CCM

Minority Opposition

Wabunge 'vihiyo' wa CCM

Viti maalum CCM

Hilo tu linatosha kuthibitisha kuwa mafisadi wamemwaga mpunga, na pesa ni sabuni ya roho.
 
Kweli JF ni "KISIMA" cha habari..kha! (saa nne EAT kuna watu 200 na ushee wanatizama thread moja!)
====

There are currently 218 users browsing this thread. (98 members and 120 guests)

hahaaaaa yaani hapa mi nipo job lakini sibanduka kompyuta rumu mpaka nijue matokeo ..hata nikkitwa na bosi nimesema wamuambia nina tumbo ka kuhara niko ******...staki kupitwa kabisa hapa
 
Ole Sendeka anafanyaga vitu vya kitoto saa nyingine mpaka unamshangaaaaaa
 
Lets all cross fingers. unajua kwa wabunge waaminifu kabisa na wenye kuitakia mema nchi yetu Mabere is the right candidate. Lakini kwa sababu wengi wanafuata upepo ndio hivyo tusitegemee miujiza

wabunge ccm wengi wameshindishwa na wanajua kwamba wakisimamia ukweli yatawakuta kama yalivyomkuta sitta.
 
Ole Sendeka akili zake ni kama za ng'ombe tumsamehe kwa kweli. Jimboni kwake ndo yanapopatikana Madini ya Tanzanite lakin watu wake ni maskini afadhari hata ya wale wanaoishi Jangwani. Ukienda makao makuu ya wilaya ya simanjiro kuna guest 1 tu na inavyumba vitano.
hiv huyu si ndo yule alikuwa anabishana na mkuu wa mkoa!??
 
Shukrani mkuu, ila ukifanikiwa tufahamishe japo kwa uchache yale ambayo utagundua hayatarushwa ktk Televisheni

La kwanza leo hapa Dodoma hapafai kabisa hoteli zote full, kuna taasisi moja ya sheria imekodisha Dodoma hotel yote kuanzia Jumatatu, hivyo waheshimiwa waliopo hapa itawalazimu kuhama.
 
Jamani leteni report huko, vipi tutashinda?

Elli unamaanisha CCM/CHADEMA???

Possibility ya CCM kushinda ni kubwa. Ila msisau kwenye kura lolote linaweza kutokea, ila tuseme ukweli, possibility ya Marando kushinda ni ndogo ukicompare na Makinda
 
4 problems:

SMZ kuagiza CUF wakiunge mkono CCM

Minority Opposition

Wabunge 'vihiyo' wa CCM

Viti maalum CCM

Hilo tu linatosha kuthibitisha kuwa mafisadi wamemwaga mpunga, na pesa ni sabuni ya roho.

kweli kwa staili hii ccm wataendelea kusherekea,na kwa njia hii inamaana gani kuwa na upinzani sasa,kama unampinga mtu, alaf unamuunga mkono kwanini usihamie tu kwenye chama chake.mimi nadhani cuf wajiunge na ccm tubaie na upinzani wa kweli ,lipumba alisha sema yeye ni Mlima kilimanjaro na slaa ni kichuguu,lakini matokeo yalionyesha kwamba lipumba ni kichuguu na slaa ni zaidi ya mlima kilimanjaro.
 
razima kuna kura zitaharibika tena nyingi tu
 
Elli unamaanisha CCM/CHADEMA???

Possibility ya CCM kushinda ni kubwa. Ila msisau kwenye kura lolote linaweza kutokea, ila tuseme ukweli, possibility ya Marando kushinda ni ndogo ukicompare na Makinda

kama wananchi wangekuwa wanachagua spika nani angeshinda?
 
Back
Top Bottom