Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 308
There are currently 276 users browsing this thread. (113 members and 163 guests)
Hii inaonyesha jinsi gani wadau mnafuatilia huu mchakato. Nadhani sasa umefika wakati Spika naye akachaguliwa na wananchi wote kwani ni kiungo mhimu sana katika mstakabali wa maendeleo ya uchumi na demokrasia yetu.
Hii inaonyesha jinsi gani wadau mnafuatilia huu mchakato. Nadhani sasa umefika wakati Spika naye akachaguliwa na wananchi wote kwani ni kiungo mhimu sana katika mstakabali wa maendeleo ya uchumi na demokrasia yetu.