Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Elections 2010 Uchaguzi wa Spika wa bunge la 10 la Tanzania

Wakati tuna subiri kura zihesabiwa ni vyema tukajikumbusha historia ya bunge hili...........................Bunge la Uhuru hadi la mwaka 1965 lilikuwa ni bunge la vyama vingi......................lakini kuanzia mwaka 1965 - 1995 lilikuwa la mfumo wa chama kimoja.....................kuanzia mwaka 1995 hadi leo ni bunge la vyama vingi................................................nyakati zote bunge limekuwa likipambana kudai uhuru zaidi kutaka katika mshiko ya serikali kuu.............................................

baadhi ya maeneo ambayo bunge limefanikiwa ni kuweza kuhoja matumizi ya serikali na hata kuizuia serikali kutekeleza mambo fulani fulani ambayo bunge limeona hayana masilahi kwa taifa.............................

Hata hiyo bunge hadi leo halisimamii kalenda yake na hupangiwa na serikali kuu.................Raisi bado ana mamlaka ya kulivunja bunge..................Raisi anao uwezo wa kulipngia Bunge kalenda ya lini kukutana kama kikao hiki kimeitishwa na Raisi badala ya bunge lenyewe....................Haya yote yenye kuonyesha mashiko ya serikali kuu dhidi ya bunge letu yanathibitisha ya kuwa bunge letu bado siyo huru kinyume na misingi ya mfumo wa vyama vingi................................

Hata ushiriki wa wabunge serikalini kwenye nyadhifa za uwaziri, ukuu wa mikoa, uenyeviti wa taasisi mbalimbali za umma kunaidhoofisha bunge kuwa kama ni chombo cha serikali kuu badala ya chombo ambacho kina mamlaka ya kuisimamia serikali kuu...............

bado tunasubiri matokeo na hili gumzo siyo baya kupoteza muda kidogo...........................
 
La kwanza leo hapa Dodoma hapafai kabisa hoteli zote full, kuna taasisi moja ya sheria imekodisha Dodoma hotel yote kuanzia Jumatatu, hivyo waheshimiwa waliopo hapa itawalazimu kuhama.
Hahahaha, hii huwezi kuipata kwenye TV.

Hii kali, pole mkuu
 
.Namfahamu vizuri Mhe.Ole Sendeka kama mropokaji mzuri ila leo amejionyesha jinsi alivyo mweupe mle kichwani kwake, yaani ni zero, sifuri, hakuna kitu kabisa, no wonder. Debe tupu hupiga kelele!.

Huyu alisoma PCB pale Old Moshi High school akamaliza form six May 1987 na DIVISION ZERO ya points 21, yaani FFF. Hata academic transcript hakupata. Namfahamu sana, anapenda kujikweza na kujisifu lakini thinking yake ni erratic.
 
Yaania Huyu MAKINDAKINDA amewekwa Na Mafisadi....CCM na Maana Yake CCM= Chama Chakachuaji wa Matokeo
 
Nipo naangalia bunge hili katika kuchagua Spika. ishara niliyoona ni kwamba bado tuna wabunge wanaohitaji brush ya uelewa.
wamemuuliza marando maswali ya kwamba alikuwa anatumia lugha kali lakini kawajibu kuwa kama angekiuka maadili ya uchaguzi angeshitakiwa.

yeye marando kasimamia katika kusimamia kanuni, katika na kusaidia kutafsiri sheria bungeni.

yeye anna makinda kasimamia katika kuleta msimamo na umoja bungeni katika kutetea maslahi ya taifa. japo sina hakika sana.

kashakash zimetokea pale amabapo mwenyekiti alitaka kuruhusu muuliza swali atumie mike ya marando ndipo kabwe alichachamaa kama kawaida yake.

kuna kazi kubwa ijayo.. tunaweza kuishia katika kutetea vyama badala ya wananchi.

nitawapatia matokea maana kura zinahesabiwa.. na tutaona ni aina gani ya bunge tutakuwa nalo baada ya hapa.. naamini hakutakuwa na uchakachuaji mbele ya halima mdee amabaye ni mwakilishi wa marando.
 
CCM wamejaza wabunge wasio na tija bungeni, akina viki kamata unadhani wanafanya nini huko kama si kujaza tu bunge bila tija, na hao ndo wanaowaangusha wa TZ
 
Huyu alisoma PCB pale Old Moshi High school akamaliza form six May 1987 na DIVISION ZERO ya points 21, yaani FFF. Hata academic transcript hakupata. Namfahamu sana, anapenda kujikweza na kujisifu lakini thinking yake ni erratic.

duh!!

ndo maana hachani nywele.
 
Mchangiaji mmoja hapa TBC1, mwanamke ambaye hata hivyo jina lake sijaweza kulipata mapema amewashutumu hawa wabunge wa zamani wa CCM na ambao ndiyo makada wa chama hicho akina Makamba, Kingunge na Chenge waliongoza kampeni ya kumpiga vita Spika mstaafu Mheshimiwa Samweli Sitta kuwa alihatarisha masilahi ya Chama kwa kuruhusu mijadala ya ufisadi bungeni na hivyo kukidhoofisha chama cha mapinduzi au CCM...................................

yalekea huyu mama hana imani na Mheshimiwa Anne Makinda kama akichaguliwa kama kweli atakuwa upande wa wanyonge kwa sababu zilizomtoa Sitta yaekea ndizo sababu sasa kwa kinyume chake zinazompa Makinda Uspika yaani za kuua mijadala ya ufisadi bungeni..na hivyo bunge kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kuisimamia serikali
 
Hapa viwanja vya Bunge leo pamegeuka gulioni, karibu wabunge wote wapya, wamekuja na ukoo mzima. Wengine wenye vipochi vinene wamekodi mabasi kuwaleta wapiga kura wao. Makundi ya watu, graduation ya chuo ni cha mtoto.
 
nusu saa si imeisha au saa za huku jersey zinasoma vipi?
 
duh!!

ndo maana hachani nywele.

hayo yote ni matatizo ya kushabikia,lakini tambueni kila mahali watu wenye viherehere hakoseani,mashuleni,makazni n.k.chamuhimu ni kujua namna ya kuwaepua tu,waswahili wamnasema usibishane na kichaa ilikupunguza kelele.
 
Mchangiaji mmoja hapa TBC1, mwanamke ambaye hata hivyo jina lake sijaweza kulipata mapema amewashutumu hawa wabunge wa zamani wa CCM na ambao ndiyo makada wa chama hicho akina Makamba, Kingunge na Chenge waliongoza kampeni ya kumpiga vita Spika mstaafu Mheshimiwa Samweli Sitta kuwa alihatarisha masilahi ya Chama kwa kuruhusu mijadala ya ufisadi bungeni na hivyo kukidhoofisha chama cha mapinduzi au CCM...................................

yalekea huyu mama hana imani na Mheshimiwa Anne Makinda kama akichaguliwa kama kweli atakuwa upande wa wanyonge kwa sababu zilizomtoa Sitta yaekea ndizo sababu sasa kwa kinyume chake zinazompa Makinda Uspika yaani za kuua mijadala ya ufisadi bungeni..na hivyo bunge kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kuisimamia serikali

MAMA ANANA makinda wakala wa mafisadi, chaguo la wezi na watu wasio makini
 
Back
Top Bottom