Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,298
kama kukokotoa asilimia tu wameshindwa, sijui hiyo kamati ya uongozi ya bunge inaweza nini.
Anne Makinda 74%
Marando 16%
ziloharibika 3 %
hivi hawakuona kama wanatangaza utumbo? Makinda kashinda kwa asilimia 81% waandike vizuri kwenye hansad zao.
Anne Makinda 74%
Marando 16%
ziloharibika 3 %
hivi hawakuona kama wanatangaza utumbo? Makinda kashinda kwa asilimia 81% waandike vizuri kwenye hansad zao.