Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So? didn't Uhuru steal election before?Uhuru Muigai Kenyatta siku ya leo amemtumia salam za ushindi wa kishindo Mhe JPM.
Orodha ya viongozi waliotumia JPM salam za pongezi ni ndefu.So? didn't Uhuru steal election before?
BTW where is the official statement?
Wametuma pongezi ila hawawezi ku-acknowledge on their official pages!Orodha ya viongozi waliotumia JPM salam za pongezi ni ndefu.
Kweli naona unaanza kuchanganyikiwa, angalia hapa chini mfano mmoja tu.Wametuma pongezi ila hawawezi ku-acknowledge on their official pages!
Wakina nani hao?Bado hii clip haiwezi kuwa ushahidi wa kuiba kura.
Lkn mimi nilichofurahia ni kuwa, wale kidomo domo, waliokuwa wakimtukana rais, huku wakitumia fedha za serikali, sasa wako hoi, chali. Wanasaga lami, kufikia 2025 watakuwa wamenyooka.
😛😛😛
Wakina nani hao?
huyu ni muwakilishi wa wananchi au chama?Lone Chadema MP-elect hints at turning down seat
FRIDAY OCTOBER 30 2020
![]()
Chadema’s lone MP-elect Aida Khenan.
In Summary
Dar es Salaam. One of the two opposition Members of Parliament in mainland Tanzania in the just ended General Election has hinted at turning down the opportunity to join Parliament.
- Chadema’s lone MP-elect Aida Khenan suggested she would be ready to forego her win in defence of democracy.
Chadema’s lone MP-elect Aida Khenan suggested she would be ready to forego her win in defence of democracy.
She hinted that she is ready to join her opposition colleagues in any decision that her party will take following the election results which Chadema presidential candidate Tundu Lissu has rejected and termed as “a fraud and travesty.”
“I am not pleased with the outcome of the election that is being released countrywide despite the fact that I have won a parliamentary seat in Nkasi, Rukwa,” she wrote on her twitter handle.
She then added: “Democracy is more important than my win. I am ready to join my colleagues for whatever decision they may opt to take.”
A former special seats MP on Chadema, Ms Khenan was the only Chadema candidate to win a parliamentary seat in the 264-member Parliament after all the party stalwarts lost in the different constituencies.
Ms Khenan defeated CCM’s veteran Ally Kessy after scoring 21,226 votes against his 19,972. She became only the second MP-elect in Mainland Tanzania declared by the National Electoral Commission.
The other MP-elect in mainland is Civic United Front’s Shamsia Aziz Mtamba who won in Mtwara Rural Constituency.
The ruling party CCM has swept all the remaining seats in the shock elections whose credibility the opposition is questioning following claims of widespread irregularities, including vote-stuffing.
The National Electoral Commission has not formerly reacted to the opposition’s rejection of the results but on the eve of the election the agency’s Chairman Judge Semistocles Kaijage refuted reports on fake ballots and said the claims were yet to be verified.
![]()
Lone Chadema MP-elect hints at turning down seat
One of the two opposition Members of Parliament in mainland Tanzania in the just ended General Election has hinted at turning down the opportunity to join Parliament.www.thecitizen.co.tz
Wametuma pongezi ila hawawezi ku-acknowledge on their official pages!
Nini mbaya brother. Mbona hili linakusumbua?
It's just a passing glance. Few weeks after, everyone will be adjusted accordingly, and come to the normal.
Ila wale vidomo domo, chalii, hadi raha.
Watu Na Roho Zao, Yaani Ataandamwa Huyo BishopKuna mtu akisha apishwa, huyu baba atapata wakati mgumu sana
Watu Tunaserereka Bila UFO VPN BasicHuwezi amini Kama huu uzi kaanzisha geza😂😂
Hamna namna Wakenya tunaweza kuwabadilisha Watanzania mfikie level yetu, haiwezekani kwa muda mfupi, itawachukua miaka mingi sana maana hivyo mlivyo ni zao la alichowafanya Nyerere kwenye ujamaa wake, alikua na nia njema ila akaishia kuwaponza. Yaani mpo mpo tu, wanyonge na dhaifu kupita maelezo.
Mimi hapa ni wale huwa mnaita mataga, yaani mataga wa Kikenya maana muda mwingi naunga juhudi za serikali mkono, naegemea sana kwenye hatua za serikali, ila moja nalojua haingetokea nikakubali serikali yetu ifanye hicho mlichokifanya huko, kwanza hapa kwetu kingenuka, hakungekalika, hauwezi ukasindika kura za Wakenya kihivyo na ukabaki salama, kha eti kwa wabunge 229 naona CCM imechukua 227 na upinzani wakaambulia wabunge wawili, jaribu upumbavu kama huo hapa kwetu ndio uone kama utatawala, mambo kama hayo hufanyiwa maiti sio watu.
Mimi pamoja na kwamba huwa nampigia rais Uhuru kura, ila ningekua wa kwanza kuingia barabarani kudai haki kwa ajili ya upinzani...
Nyie kilichosalia kwa sasa mjaribu hizo siasa za chama kimoja kwa miaka ijayo mitano, muone kama itakua nafuu ili upinzani ufutwe kabisa, ni kweli kwa mifumo ya kijamaa huwa haiendi kwa kutumia upinzani maana wananchi wamezoea kuswagwa na kushikiliwa akili, ukiwatisha kidogo tu wote chali. Ndio maana nikasema ili mfikie level ya Wakenya, itawachukua miaka mingi sana.
Mkuu usiwe mwepesi kuamini kelele za watu chini ya 8 milioni wa mitandao I na wengine wapo nje ya nchi wapo humu mitandaoni na multiple IDs.Jamaa walisindika hadi imewauma hata baadhi MaCCM kindaki ndaki, hao wasimamizi wa uchaguzi kila mmoja aliogopa asiwe wa kwanza kutangaza ushindi wa kiongozi yeyote wa upinzani.
Hapa hamna namna, wamlilie Magufuli akubali kubadilisha katiba iwape tume uhuru wa kusimamia uchaguzi bila kuingiliwa au kubabaishwa na dola, Nyerere alishawaonya siku hiyo katiba yao mbovu itakamatwa na kiongozi aina fulani watakoma, wanayaona.....leo hii unakuta mtu amevaa mavazi ya CCM full kijani lakini moyoni yuko upinzani.
Magufuli akibembelezwa vizuri anaweza akakubali irekebishwe maana yeye yuko kwenye hatamu ya mwisho na sidhani kama ana haja ya kuendelea kushikilia uongozi, jamhuri iko mikononi mwake 100%, afanye chochote akitakacho, aidha aandike historia upya na nzuri au aharibu kabisa.
Duh! Ama kwa kweli Watanzania, ukiondoa hawa wapiga makelele wa Jamii Forums, huwa ni watu wapole sana na wanyonge, yaani wananywea hadi huruma. Mzee Magufuli awahur milioni umie watu wake na kurekebisha jameni.
Mkuu usiwe mwepesi kuamini kelele za watu chini ya 8 milioni wa mitandao I na wengine wapo nje ya nchi wapo humu mitandaoni na multiple IDs.
Ukweli huku mitaani Magufuli anakubalika Sana japo watu wanalalamika fedha hakuna mtaani.
Kama angechukiwa na wengi kungekuwa na vurugu kubwa sana.