eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Bro usihofu, pale hakuna mtu wa kukabidhiwa nchi. Ni kikundi cha wahuni fulani hivi.CCM wameiba kura! Bila haki hii nchi haitaenda sawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro usihofu, pale hakuna mtu wa kukabidhiwa nchi. Ni kikundi cha wahuni fulani hivi.CCM wameiba kura! Bila haki hii nchi haitaenda sawa!
Mitandao inaweza kutumika kama silaha nzuri kwenye social engineering na kupandikiza jambo zuri au baya kwenye vichwa vya watu.Sasa kama anapendwa kihivyo mbona mzime mitandao hadi watu wanatumia VPN, mbona tunasoma mnavyotumia nguvu nyingi kulazimisha huo "upendo".
Mngeruhusu wanaompenda kwa dhati wampende na walio na matatizo naye wawe huru kujieleza. Tunasoma madudu mengi mnafanya, aisei kule Zanzibar ndio usipime, tunasoma watu wanavyouawa.
Naona hata kuhutubia ili mtoe shukrani imekua nongwa Uchaguzi 2020 - Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi
Kweli kabisa hujakosea. Ulijuaje mkuu?Hii kichwa imejaa mavi tupu
Mitandao inaweza kutumika kama silaha nzuri kwenye social engineering na kupandikiza jambo zuri au baya kwenye vichwa vya watu.
Hiyo ni silaha kubwa inayotumiwa na wenzetu.
Watu wengi hawana uwezo wa kuchambua taarifa hivyo wanaamini kila wanachosikia au kukiona mitandaoni.
Uongo ukirudiwa sana unaonekana kama ndio ukweli.
Geza is very right here, i remember one time akina Dennis Itumbi would rejoice when the opposition was manhandled by the government, until they found themselves fitting the same shoesCCM wameiba kura! Bila haki hii nchi haitaenda sawa!
There is no other country in east Africa that is run by the cartel other than Kenya.CCM itafanya Tz kuwa cartel nation, too much of something is bad for your soul, u need opposition to balance things
Hakuna kupendwa anapendwaSasa kama anapendwa kihivyo mbona mzime mitandao hadi watu wanatumia VPN, mbona tunasoma mnavyotumia nguvu nyingi kulazimisha huo "upendo".
Mngeruhusu wanaompenda kwa dhati wampende na walio na matatizo naye wawe huru kujieleza. Tunasoma madudu mengi mnafanya, aisei kule Zanzibar ndio usipime, tunasoma watu wanavyouawa.
Naona hata kuhutubia ili mtoe shukrani imekua nongwa Uchaguzi 2020 - Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi
Wasanii wote wakubwa na wadogo zaidi ya 200 ni wanachama wa CCM. Tena wasanii wengine waligombea ubunge kwa kupitia CCM na wakashinda.Hakuna kupendwa anapendwa,
Ata campaigns alikuwa anatumia wasani kujaza viwanja, unlike huyo mwingine
Kama ungekuwa free and fair jamaa sioni kama amepata ata zaidi ya 20%
Cartels wamejaa kenya hio si siri ,but i see CCM has become oneThere is no other country in east Africa that is run by the cartel other than Kenya.
Inanikumbusha mwai kibaki alivyoingia madarakani kwa second termIt was obvious Tanzania's election was not free and fair. We have been saying Mafuguli is a dictator and indeed he has proven himself to be one
Walugaluga wa masifa
Nyerere alizidisha dozi ya upole! Angalia Zanzibar mtiti mtiti pamoja na kupelekwa wanajeshi kwa maelfu! yani apo hao Feed Force Unit wanaimba kwamba ati waandamanaji wamewaacha peke yao mtaani wako lonely wanataka Wachumba watokee! Wasiwalenge washalipa chumba Guest House! Wapuuzi sana!Ila wanainchi wengi kwenu nimepata fahamu waoga sana. Ingekuwa Kenya tayari pangenuka humo Ubungo na Buguruni..
Wazenji si idadi kubwa Waislamu? Wale jamaa kweli vichwa maji 😅Nyerere alizidisha dozi ya upole! Angalia Zanzibar mtiti mtiti pamoja na kupelekwa wanajeshi kwa maelfu! yani apo hao Feed Force Unit wanaimba kwamba ati waandamanaji wamewaacha peke yao mtaani wako lonely wanataka Wachumba watokee! Wasiwalenge!
we jamaa bora uachane na siasa na maswala ya uongozi ya kiserekeli maana ni mweupe sana yan takataka upande huu,Nyerere alizidisha dozi ya upole! Angalia Zanzibar mtiti mtiti pamoja na kupelekwa wanajeshi kwa maelfu! yani apo hao Feed Force Unit wanaimba kwamba ati waandamanaji wamewaacha peke yao mtaani wako lonely wanataka Wachumba watokee! Wasiwalenge washalipa chumba Guest House! Wapuuzi sana!
Povuuuu! Kwani unalazimisha awe na mtazamo kama wako?we jamaa bora uachane na siasa na maswala ya uongozi ya kiserekeli maana ni mweupe sana yan takataka upande huu,
endelea tuu na upande wako wa project management
Uchaguzi ulikuwa huru na haki, tumuunge mkono mbakaji mkuu atakapoanza kumbaka mwananchi mmoja mmoja.Kuna mtu akisha apishwa, huyu baba atapata wakati mgumu sana
utakuja kudandia mshedede 'we endelea tuu kudandia visivyokuhusuPovuuuu! Kwani unalazimisha awe na mtazamo kama wako?
Kuwa na ustaarabu!