Uchaguzi wa USA: Georgia kurudia kuhesabu kura

Uchaguzi wa USA: Georgia kurudia kuhesabu kura

Baada ya pressure toka kwa DT hatimae maafisa wa uchaguzi wa jimbo la Georgia wamekubali kuruduia kuhesabu kura zote zilizopigwa kwenye jimbo hilo.


Source: BBc Swahili
Ni kutokana na shinikizo toka kwa Trump au ni takwa la kisheria kwamba tofauti ikiwa ndogo sana, basi udogo wa hiyo tofauti una trigger an automatic recount???
 
Hahahaaaaa....Gile kumbe una akili eeeh!

Safi sana kwa kuligundua hilo!

Watu wanataka kumtwisha Trump kila aina ya lawama, wakati mambo mengine wala hahusiki nayo kabisa.

..hivi Trump akiamua hakubaliani na matokeo itakuwaje?

..maana watu wanashangaa inakuwaje Amiri Jeshi Mkuu anagalagazwa namna hii?

..wanashangaa jinsi Mzee Biden anavyomuwekea kibesi Donald Trump.
 
MAGA ya Democrat itawamaliza waamerika.
 
..hivi Trump akiamua hakubaliani na matokeo itakuwaje?

..maana watu wanashangaa inakuwaje Amiri Jeshi Mkuu anagalagazwa namna hii?

..wanashangaa jinsi Mzee Biden anavyomuwekea kibesi Donald Trump.
Ataenda mahakamani. Mahakama za ngazi zote kama ambavyo Al Gore alivyofanya.

Al Gore alipogaragazwa na Governor Bush, alikuwa ni makamu wa Rais.

System ya kuhesabu kura Marekani iko tofauti sana.

Chama tawala au rais aliyepo madarakani hana influence yoyote ile maana uhesabuji wa kura unafanyika kwenye county level.

Sasa hapo inategemea ni watu wa mrengo upi walio in charge na county husika.

Figisu zinaweza kufanyika kwenye counties.

Halafu, Rais wa Marekani hana nguvu kama ilivyo Rais wa Tanzania.

Marekani hawana imperial presidency.
 
Ataenda mahakamani. Mahakama za ngazi zote kama ambavyo Al Gore alivyofanya.

Al Gore alipogaragazwa na Governor Bush, alikuwa ni makamu wa Rais.

System ya kuhesabu kura Marekani iko tofauti sana.

Chama tawala au rais aliyepo madarakani hana influence yoyote ile maana uhesabuji wa kura unafanyika kwenye county level.

Sasa hapo inategemea ni watu wa mrengo upi walio in charge na county husika.

Figisu zinaweza kufanyika kwenye counties.

Halafu, Rais wa Marekani hana nguvu kama ilivyo Rais wa Tanzania.

Marekani hawana imperial presidency.

..Unataka kuniambia hawezi kuwatuma FBI na US Marshals wakafanya-fanya ashinde uchaguzi?

..hao mameya na ma-county executives hawezi kuwatia mahabusu siku mbili tatu, na kuwatoa baada ya kutangazwa?

..sasa wanamuita the most powerful man in the world kwa misingi gani?
 
..Unataka kuniambia hawezi kuwatuma FBI na US Marshals wakafanya-fanya ashinde uchaguzi?

..hao mameya na ma-county executives hawezi kuwatia mahabusu siku mbili tatu, na kuwatoa baada ya kutangazwa?

..sasa wanamuita the most powerful man in the world kwa misingi gani?
Misingi ya demokrasia ni ustaarabu na kuheshimiana katika majukum na wajibu wetu
Na sheria za wenzetu zinaruhusu kumchunguza rais hata kama bado yupo kwa jumba jeupe tofauti na hapa ambapo mamlaka yote anayo jecha na jecha nae kateuliwa na sheini
 
Anachofanya Trump kinatia Aibu...

Mbaya mno. Kwa taifa tegemewa kama US.
AKUBALI KUSHINDWA TUUHHH.
 
Misingi ya demokrasia ni ustaarabu na kuheshimiana katika majukum na wajibu wetu
Na sheria za wenzetu zinaruhusu kumchunguza rais hata kama bado yupo kwa jumba jeupe tofauti na hapa ambapo mamlaka yote anayo jecha na jecha nae kateuliwa na sheini
Hapo sasa unategemea nini
 
Una ushahidi mkuu?
Zee la kura za kwenye mabegi.

1604723287904.png
 
..Unataka kuniambia hawezi kuwatuma FBI na US Marshals wakafanya-fanya ashinde uchaguzi?

..hao mameya na ma-county executives hawezi kuwatia mahabusu siku mbili tatu, na kuwatoa baada ya kutangazwa?

..sasa wanamuita the most powerful man in the world kwa misingi gani?
Hayo unayofikiria ayafanye Trump ni mambo ya kumfanya awe the most coward president of all time. Ukijiamini huwez kufanya ufala huo
 
Back
Top Bottom