mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
- Thread starter
- #21
Hapo anatuonesha kuwa mshindi hapangwi white houseAnachofanya Trump kinatia Aibu...
Mbaya mno. Kwa taifa tegemewa kama US.
AKUBALI KUSHINDWA TUUHHH.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo anatuonesha kuwa mshindi hapangwi white houseAnachofanya Trump kinatia Aibu...
Mbaya mno. Kwa taifa tegemewa kama US.
AKUBALI KUSHINDWA TUUHHH.
Nitaidharau sana USA endapo matokeo ya pili yatakuwa tofauti na ya kwanzaBaada ya pressure toka kwa DT hatimae maafisa wa uchaguzi wa jimbo la Georgia wamekubali kuruduia kuhesabu kura zote zilizopigwa kwenye jimbo hilo.
Source: BBc Swahili
Eti mkuu hata mm najiuliza, hawezi hata zima internet??..Unataka kuniambia hawezi kuwatuma FBI na US Marshals wakafanya-fanya ashinde uchaguzi?
..hao mameya na ma-county executives hawezi kuwatia mahabusu siku mbili tatu, na kuwatoa baada ya kutangazwa?
..sasa wanamuita the most powerful man in the world kwa misingi gani?
Hahahaaaaa....Gile kumbe una akili eeeh!
Safi sana kwa kuligundua hilo!
Watu wanataka kumtwisha Trump kila aina ya lawama, wakati mambo mengine wala hahusiki nayo kabisa.
Nope!Anachofanya Trump kinatia Aibu...
Mbaya mno. Kwa taifa tegemewa kama US.
AKUBALI KUSHINDWA TUUHHH.
Ila Nyani anatatzo LA kuwa na Hasira.Napendaga tu maswali yako, unauliza sio ili ujibiwe, ila ili ufundishe
Hili limeniumaHawamalizi tu watangaze mshindi
Kitacho kufanya uidharau USA ni kipi kama recount itazingatia na kutoa justice kwa mshindi halali?Nitaidharau sana USA endapo matokeo ya pili yatakuwa tofauti na ya kwanza
mugah di mathew, pole sana. Nakushauri kwamba wakati mwingine ikitokea hujui kitu ni heri kuuliza. Marekani kila jimbo lina sheria zake za uchaguzi. Georgia ni jimbo linaloongozwa na GOP kwa ngazi zote tangu Gavana, wawakilishi hadi wasimamizi wa Uchaguzi na hivyo wote wanatoka chama kimoja na Trump.Baada ya pressure toka kwa DT hatimae maafisa wa uchaguzi wa jimbo la Georgia wamekubali kuruduia kuhesabu kura zote zilizopigwa kwenye jimbo hilo.
Source: BBc Swahili
Ni MnyantuzuIla Nyani anatatzo LA kuwa na Hasira.
Kwani DT mwenyewe kasemaje? Go JB, go buddieHahahaaaaa....Gile kumbe una akili eeeh!
Safi sana kwa kuligundua hilo!
Watu wanataka kumtwisha Trump kila aina ya lawama, wakati mambo mengine wala hahusiki nayo kabisa.
Kwa sababu anaweza kuingilia uchaguzi wa nchi zengine na hata kumuweka kibaraka,power hiyo hata Magufuli hana...Unataka kuniambia hawezi kuwatuma FBI na US Marshals wakafanya-fanya ashinde uchaguzi?
..hao mameya na ma-county executives hawezi kuwatia mahabusu siku mbili tatu, na kuwatoa baada ya kutangazwa?
..sasa wanamuita the most powerful man in the world kwa misingi gani?
Kabisaa maslahi ya Nchi kwanza chama na mwenyekiti baadae.Wenzetu wanataka kila mtu aridhike. Hawataki kuchafuka kiasi hata km kulikuwa na kasoro ziwekwe wazi
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Wanarudia alafu pensylvania biden anashinda inakua uselessBaada ya pressure toka kwa DT hatimae maafisa wa uchaguzi wa jimbo la Georgia wamekubali kuruduia kuhesabu kura zote zilizopigwa kwenye jimbo hilo.
Source: BBc Swahili
Wanafikiri ndio Kura za kwenye mabegi.mugah di mathew, pole sana. Nakushauri kwamba wakati mwingine ikitokea hujui kitu ni heri kuuliza. Marekani kila jimbo lina sheria zake za uchaguzi. Georgia ni jimbo linaloongozwa na GOP kwa ngazi zote tangu Gavana, wawakilishi hadi wasimamizi wa Uchaguzi na hivyo wote wanatoka chama kimoja na Trump.
Sheria zote zinazotumika kwenye uchaguzi zimetungwa na Congress ya Georgia na kurudiwa kuhesabu kura ni takwa la sheria na hutumika kama tofauti ya kura za wagombea ni chini ya asilimia fulani. Hii hufanyika bila pressure ya mtu yeyote hata kama mtu huyo ni Rais Donald Trump. Tuache tabia ya kukurupuka hovyo jamani.
Ni kutokana na shinikizo toka kwa Trump au ni takwa la kisheria kwamba tofauti ikiwa ndogo sana, basi udogo wa hiyo tofauti una trigger an automatic recount???