Uchaguzi wa USA: Georgia kurudia kuhesabu kura

Uchaguzi wa USA: Georgia kurudia kuhesabu kura

Tungekuwa na Taasisi zilizo huru kama Marekani' SASA hivi Jiwe angekuwa anatafuta shule ya primary akafundishe kile kimombo cha Pipo Uzi to die in ze reki.
 
..Trump naye amezidi kuwa bwege na zezeta.

..Kwanini asiwatume FBI, NSI, na US Marshals, kufanya mambo yao?

..NSI iko chini ya Trump na iliweza kumdukua mpaka Chancellor wa Ujerumani.

..sasa wanashindwa nini kuzima mtandao, na kupachika goli la mkono, ili kumaliza mchezo?
NSA sio NSI.
 
Back
Top Bottom