..Trump naye amezidi kuwa bwege na zezeta.
..Kwanini asiwatume FBI, NSI, na US Marshals, kufanya mambo yao?
..NSI iko chini ya Trump na iliweza kumdukua mpaka Chancellor wa Ujerumani.
..sasa wanashindwa nini kuzima mtandao, na kupachika goli la mkono, ili kumaliza mchezo?