Uchaguzi Zimbabwe, upinzani Tanzania bado hatujifunzi?

Una hoja nzito sana
 
Kwa ukweli bila Katba mpya ni Bora kususia tu uchaguzi.
Kwa hiyo katiba mmpat ndio itawapitia wanachama wapya au? Nyie endeleeni tu kidanganywa na mchezo disco kuwa tatizo ni katiba.SAD
 
Una hoja nzito sana

Tokea juu hadi chini tunapaswa kuamua kusuka au kunyoa. Si kulaumiana. Kama vipi tunawahitaji kina Mwabukusi juu kuliko wakati mwingine, vinginevyo bado tupo tupo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…