Invisible anatumiwa na nani? Vibaraka wa Malaika wa JK umejuaje kama wapo, ulikuwa mmoja wao ukaasi?
wewe ni uzushi Kama huna majibu ya maswali haya
wewe umejiunga juzi na huyu bwana kuna mambo makubwa alishafanya humu jf.
ccm ni wezi nani hajui?
Wakuu wangu mtanisamehe, mengine tunamezea lakini hili HAPANA!
Bahati mbaya tumekumbana na barua hizi ikabidi tuwashirikishe!
hivi nyinyi watu ni lini mtatambua kuwa kuna mipango mibovu ndani ya ccm dhidi ya uchaguzi wa mwaka huu
hata jambo la msingi kama hili na tena liko wazi bado mnatia question mark?
tuwambie vipi ili muelewe?
Invisible, mimi hii thread imeniacha kwenye kizungumkuti tu!
Mimi nilikuelewa ulivyo-present lakini watu walivyoanza kuijadili wamenichanganya kabisa.
Tafadhali naomba unifafanulie kwa maneno mepesi. Unataka kutuambia hii barua ni fake au si fake?
Jibu lako lita-explain kwa nini umei-post barua hii hapa jamvini.
Mimi nimeshasambaza copy za hiyo barua kwa watu wote waliopo kwenye e mail list yangu. Nimezigeuza kuwa pdf.
Changanya akili ya kuambiwa na ya kwako, utapata jibu kama hizi barua ni fake au la.
Ila hata viongozi wenyewe wa CHADEMA wamesema ni fake, sasa mwanachama unataka kuendelea kuzishikia bango?
Wakuu wangu mtanisamehe, mengine tunamezea lakini hili HAPANA!
Ningeshauri tumsubiri Mwanakijiji aje na atoe maelezo kidogo kabla hatujapanic
Post yake inasema kwamba uchakachuaji HAUPO na kwamba NYARAKA hii ni FAKE