lakin hela ilitoka wizarani na baado mabolesho zaidi yanaendelea wana chato hawana cha kupoteza na aliyejega tumemuzika tayariHasara wamepata wabinafsi walioujenga huo uwanja wa Chato pamoja na aliyekuwa kinara wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakin hela ilitoka wizarani na baado mabolesho zaidi yanaendelea wana chato hawana cha kupoteza na aliyejega tumemuzika tayariHasara wamepata wabinafsi walioujenga huo uwanja wa Chato pamoja na aliyekuwa kinara wao
Samia akiutelekeza atapata tabu sanaMsisahau nakufuka koboko au black mamba kwenye huo msitu tarajiwa
pole unaona unateseka sana,nikuulize kitu ulipo hapo ndio mkoa uliyozawali au mama ako mkoa alipo ndio alipozaliwa? Fikiria na uniulize kwani kwa nini nakuuliza hivyoMie naona wanaChato watapata hasara ya kutaka kuwa Mkoa😁😁😁
Kuna utarii ganiKwani hakuna utalii huko.
Kwanza ndege zenyewe loss 60 bilion, nani aendelee kuzipeleka?Kwani hakuna utalii huko.
hata kuoza bado mnaanza kumuita jamaaKabla ya jamaa kuwa Rais
Ukosekane vipi KITOVUNIKwani hakuna utalii huko.
Nipo Mkoa nilipozaliwa na Mama nae yupo Mkoa alikozaliwa pia!pole unaona unateseka sana,nikuulize kitu ulipo hapo ndio mkoa uliyozawali au mama ako mkoa alipo ndio alipozaliwa? Fikiria na uniulize kwani kwa nini nakuuliza hivyo
Huu ukikuwa usanii tu ili wapige hela bila kuulizwa maswaliTumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Sana Ndugu Zangu
Vyovyote Mtakavyosema Najua Mmenielewa!!
😂😁😀😆😅😄😃😂
Huu uwanja mtafugia mbuzi we subiri utaona. Hata Mpanda wanafugia mbuzi ule uwanja waolakin hela ilitoka wizarani na baado mabolesho zaidi yanaendelea wana chato hawana cha kupoteza na aliyejega tumemuzika tayari
JPM alioosea alitakiwa afanye miradi michache ya wastani ambayo hata kama hayupo isingehitaji bajet kubwa ya serekali kuiendesha mfano.Baada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?.
Watu wengine wanachangia ujinga hivi ni hasara kwa magufuli ama? Kwani alikuwa amefanya kwa faida ya familiya yake?
Ni kushabekia ujinga, kama kifo wote tutaonja mauti tofauti ni kwamba mtoto wetu katangulia basi. Yaliyobakini kujikomoa wenyewe coz alifanya kwa ajili ya taifa
R.I.P JPM
Watu wengine wanachangia ujinga hivi ni hasara kwa magufuli ama? Kwani alikuwa amefanya kwa faida ya familiya yake?
Ni kushabekia ujinga, kama kifo wote tutaonja mauti tofauti ni kwamba mtoto wetu katangulia basi. Yaliyobakini kujikomoa wenyewe coz alifanya kwa ajili ya taifa
R.I.P JPM
Ni asili ya binadamu nadhani tupo hivyo anaweza kuku bania hata mchongo wa kazi wakati hata mshahara hautoki mfukoni mwake wala haupunguzi chochote kutoka kwake.tuna asili ya ubinafsi na kushangilia matatizo ya wengine.ndiyo tupo hivyo.Watu wengine wanachangia ujinga hivi ni hasara kwa magufuli ama? Kwani alikuwa amefanya kwa faida ya familiya yake?
Ni kushabekia ujinga, kama kifo wote tutaonja mauti tofauti ni kwamba mtoto wetu katangulia basi. Yaliyobakini kujikomoa wenyewe coz alifanya kwa ajili ya taifa
R.I.P JPM
Kwendraaaa huko. Uwanja wanatumia familiya ya magufuli tu? Achana na mm.Embu tuliza akili wewe bidada!!
Sasa tumia akili sio hisia..
Je kwa utashi wako kulikua na haja gani kwa taifa uwanja wa chato kujengwa?
Alafu kampuni iliyo jenga uwanja wa chato inamilikiwa na nani?
Narudia tena tumia akili kujibu kama huwezi kaa kimya.
Hakuna cha tathimini wala tafakari wa hapo ni mihemko tu.Baada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maendeleo ya Chato ni sehemu ya Tanzania. Kama mikakati ikiwekwa hasa katika sekta ya Utalii na Wiwanda. Ndege zitatua tu hata kama Raisi wa Sasa Hatokuwepo Madarakani.
Acha uongo mdugu mgodi mkubwa kuliko GGM acha utani basi sisi sio mafalahivi unajua chato kunanini..Chatao kuna mbuga za brigi na rubombo kwa ajili ya utalii... Chato panafunguliwa mgod mkubwa sana wa dhahabu kuliko GGM amabo utakaa miaka 30-40 life span waith high grade gold in Africa and South America. usifate ujinga wakupinga kama wabunge amabo wanalirputa bila kufanya utafiti