Uchambuzi: Hivi ndivyo kesi ya Yanga na TFF itavyokuwa huko CAS

Yanga: sasa uliposema kuwa mmetumia kanuni 34-(1.3) na 34-(2) ulikuwa unamaanisha vifungu vipi vya hiyi kanuni tofauti na hivi vilivyoanishwa?
CAS: mbona TFF mnajichanganya wenyewe umesema kanuni namba 34 (1.3) na 34 (2) halafu unaulizwa maswali kulingana na yanayosema katika vipengele vilivyopo kwenye hizo kanuni unakuja kuvikataa. Je mlikuwa mmelewa siku hiyo?
 
Na huyo Mwanasheria wa Yanga ni nani? Maana Morrison alijisimamia mwenyewe kwenye kesi dhidi ya Yanga na akashinda! Ahahahahaha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…