Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Britannica uraisi ni taasisi sio maamuzi binafsi kama anavyofanya Jiwe kuvunja katiba kila mara. Ukiheshimu katiba na utawala wa sheria utaweza kuwa raisi manake yote unayotekeleza yanakuwa kwenye ilani ya chama husika!

Hiyo kuwa eti urais ni taasisi ni nadharia tu. Ingekuwa urais ni taasisi, usingeona cheo cha rais kikiendeshwa kwa utashi na tabia binafsi za rais.
 
Lissu oyeeee. Sasa iko wazi njia yake ya kuwa Rais wa Tanzania iko nyeupeee. Mungu wetu akusimamie Rais wetu mpya TL [emoji120]
 
Hii imewapiga, mnatapatapa kutaka kuipoza
 
Hakuna zaidi nilichokiona mapambo ya jeneza tu!
 
Hao waliokamatwa na kuachiwa mnao ushahidi kuwa hawakufanya malosa ya uhujumu uchumi? Na kama ni hivyo mbona kuna watanzania wengi wanafanya biashara halali hawajakamatwa? Au ndio kuipaka matope serikali? Yaani huna kosa alafu usingiziwe bure?
 
Mbona TL mnamwogopa hivo lakini? Wewe unatumwa humu kubweka wakati hata wewe mwenyewe hali yako mbaya tu, madeni kwa Mangi yanataka kukutoa roho. Mmekaririshwa ujinga tu. Ruhusu tume huru muone mazombie nyie.
 
Awe mshauri wa rais kwa pumba na upuuzi aliongoe? Yaani kupambana na ufisadi ki kukandamiza wafanya biashara.
Habari za kukusanya kodi eti ni kukandamiza wananchi? Serikali gani itaishi bila ya kodi?
 
Hiyo kuwa eti urais ni taasisi ni nadharia tu. Ingekuwa urais ni taasisi, usingeona cheo cha rais kikiendeshwa kwa utashi na tabia binafsi za rais.
Kabla Ya vitendo huanza nadharia.Kwa kushindwa kufuata nadharia ndio inapelekea kufeli ,ndio kinachowatokea kina Jiwe!
 
Awe mshauri wa rais kwa pumba na upuuzi aliongoe? Yaani kupambana na ufisadi ki kukandamiza wafanya biashara.
Habari za kukusanya kodi eti ni kukandamiza wananchi? Serikali gani itaishi bila ya kodi?
Nani kakwambia kuna kukusanya kodi??? Kinachofanyika ni kupora watu fedha. Kila mtu anajua na anaona hili.

Wafanyabiashara wengi sana wamefunga biashara na kukimbia. Kukusaidia tu angalia kiwango cha bank zilivyofungwa kutokana na kukosa biashara, angalia makampuni ya mafuta ya Mtwara yaliyokuwa yamejazana Masaki na kuajili watanzania wengi waliokuwa wanawalipa vizuri sana walivyofunga ofisi zao na kuondoka. Kiufupis Serikali ya awamu ya Tano imefeli pa kubwa sana kwenye uchumi. Sehemu peke ambayo naweza sema wamefanikiwa ni kwenye miondombinu tu hasa barabara, reli na hiyo stigglers gorge ambazo zote zinatengenezwa kwa fedha za mikopo na misaada hasa World Bank na Mabank ya biashara.

Kwenye kilimo ndo usiseme. Kampuni nyingi sana za korosho zimefirisika na madeni makubwa kutokana na uamuzi wa serikali ya awamu ya tani kuingilia soko la korosho.

Kiufupi wamefeli sana kwenye uchumi si kidogo
 
Hao waliokamatwa na kuachiwa mnao ushahidi kuwa hawakufanya malosa ya uhujumu uchumi? Na kama ni hivyo mbona kuna watanzania wengi wanafanya biashara halali hawajakamatwa? Au ndio kuipaka matope serikali? Yaani huna kosa alafu usingiziwe bure?
Kama hujui yanayofanyika kaa kimya ndugu. Kuna machozi ya watu wengi sana waliosingiziwa makosa mbalimbali hasa ya uhujumu uchumi na wengine hadi kuuza nyumba na kufirisika kabisa ili tu wawe huru.
 
Kama hujui yanayofanyika kaa kimya ndugu. Kuna machozi ya watu wengi sana waliosingiziwa makosa mbalimbali hasa ya uhujumu uchumi na wengine hadi kuuza nyumba na kufirisika kabisa ili tu wawe huru.
Weka ushahidi namna walivyosingiziwa. Taja na majina yao vinginevyo ni uzandiki.
 
Unaweza ona Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT kwa kuwa tu anajenga hoja vizuri lakini kumbe nafasi inayomfaa Lissu ni kuwa mshauri tu wa Rais.
Nchi inahitaji raisi mjenga nchi sio mjenga hoja Lisu sio mjenga nchi ni mbomoa nchi kila anapokuwa kazi yake kubomoa tu nchi isipewe misaada nk hafai
 
Tundu Lisu ameamua kupima kina cha MAJI kwa kutumua miguu yake yote miwili!! Jibu atalipata na huo ndio utakuwa mwisho wa harakati zake!! Watanzania siyo watu wa kuchezewa!! Na hatakuwa na faida tena hata kwa makaburu!
 
Hotuba imewachanganya mataga hadi wameamua kumuua Mbowe,lakini wameshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…