Uchaguzi 2020 Uchambuzi: Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya Kugombea Urais - Juni 8, 2020

Lissu ni changamsha genge tu yeye mwenyewe anajua hana sifa za kuwa Rais

Kwa Nchi nyingine lissu alivyoisaliti Nchi angekuwa gerezani
Tume huru ya uchaguzi ikiwepo hata mbunge mmoja mkipata mtaenda kutambika na kuku mwekundu ndio maana hamjiamini kwani mnaogopa nini kwa mfano kama mnaona mnapendwa
 
Kwanza, una tatizo la ufahamu na hata Lissu ana tatizo hilo. Hotuba ya kutaka kugombea kwa CHADEMA ilikuwa ya wanachama wenzake ndani ya CHADEMA. Unapotusimulia hadithi za CHADEMA unapoteza muda na hata yeye kutangaza eti analihutubia taifa ni ujinga tu! Yeye ahutubie kamati kuu ya CHADEMA iliyo na madaraka ya kumpitisha.

Pili, una imani mbovu kwamba kila asiyekubaliana na CHADEMA ni CCM. Hii nchi tuna imani tofauti. Siasa siyo ajira ya wote ndo maana mtu akilia-lia kama mtaji wa kisiasa, kwangu ni upuuzi tu! Kwani amelazimika kuwa mwanasiasa?
 
Wewe ni mtu mzima. Tambua kitu kinanchoitw government liability. Hawa viongozi watashitakiwa wajiwa wanafanya majukumu yao. Kwa hiyo kupeleka mashitaka kupitia kwa Ag kuna tatizo?

Government liability? Au unadhani ukitamka hilo neno kwa kiingereza ndio litaboresha utetezi wako? Hivi unajua unachoongea, watu wanasaka kinga ya kutoshtakiwa, na sio kuboresha mazingira ya kushitakiwa.

Najua halijakaa vizuri kwa wengi, hasa baada ya kutumika propaganda ya kuwa ni wazalendo, ndio maana nyie watetezi mnahangaika kucheza na maneno ili kuficha aibu hii.

Lakini ukweli ni kuwa watu hawa ni waovu na hilo halifichiki. Bahati mbaya kizazi hiki nacho kimeshamka, ila nafuu pekee ni uoga kidogo walionao, hivyo kushindwa kuchukua maamuzi magumu sasa.
 
Kwani imezuiliwa kuwashitaki?
 
Shetani hana rafiki , hilo ulitambue
Tatizo mnaotetea upinzani mnatoa hoja za kinazi, kama kwenye tukio la sasa la Mbowe kuvamiwa, tayari hukumu imekwisha kutolewa ati kuna mkono wa Serikali! Serikali hiyo hiyo yenye vyombo vya ulinzi vitumie njia ya kihuni kama hiyo?

Mbowe hivi karibuni ameshambuliwa kwa tuhuma na viongozi wenzake. Isitoshe hata vijsna wa chama chake huko Dodoma wanamkosoa, iweje mhamishe tatizo la uongozi wake?

Kwa kauli ya hawa viongozi, inafikirisha kwa nini tukio lisiwe la ndani kuelekea Uchaguzi Mkuu kwa kuwa kuna kila dalili CHADEMA kufanya vibaya katika historia yake. Isije ikawa moha ya mbinu ya kuweka mpira kwapani
 
Labda kama anagombea urais wa Bend ya FM Academia na akina Joshi
 
Umetumia kigezo kipi? Mwalimu Nyerere unamuweka kwenye kundi gani?
 

Kwamba anahutubia taifa, hizo ni tambo za kisiasa hata ww unaweza kusema hivyo ukipenda, labda kama hujui unachokataa. Isitoshe sioni tofauti na kuhutubia taifa kwani ni press ya wazi, na wala haikuwa kikao cha ndani. Press yake ilikuwa wazi kwa kila mtu kuona, hivyo kuita ni kuhutubia taifa, ni kutokana na hadhira itakayopata ujumbe wake. Kwa wale wote wanaofuatilia siasa hapa nchini, bila kujali unamkubali au humkubali, ni nani hajui alichoongea Lissu jana ikiwemo ww?

Nakubaliana kabisa na ww kuwa sio kila asiyekubaliana na cdm basi huyo ni ccm, kwa hili uko sawa kwa asilimia 100. Ila kama ww ni neutral, basi inanibidi nirudi shule nikajifunze maana halisi ya kuwa neutral. Hata yule mtoto wangu aliye class 4 akija hapa, hahitaji akili kubwa kujua upande unaolalia na huo uneutral wako. Hilo la kama siasa sio ajira, inaonyesha hata hujui unaoongea nini, kuna watu wanashabikia simba au yanga na wanalia timu zao zikivufungwa, je hao wameajiriwa na hizi timu au ni hisia zao? Huna ujualo boss.
 
Watu wengi waliovizuri mdomoni si watendaji wazuri.
Ugesindikiza na Data (Takwimu) Ingependeza sana; Kwamba watu kadha waongeaji, ni % kadhaa ya wanaotenda etc

Maana naona na wewe umeongea Maneno mengi pasipo Data. SO inawezewkana ikawa ni mawazo yako.
 
Unaelewa unachoongea chagu wa malunde?
Nacheka sababu unanisingizia mambo ambayo siyafahamu. Huyu jamaa ni nani? Alafu jibu swali kwani imezuiliwa kuwashitaki hao viongozi?
 
Kaa kimya pls.
Siwezi kaa kimya wakati unapotosha. Viongozi watashitakiwa wakiwa wakiwa wanafanya makosa wakati wnatekeleza majukumu yao. Na mashitaka yatapekekwa kwa Ag.
 
A written speech cannot say the suitability of a person.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…