Uchambuzi huru: Hotuba ya Rais Samia Suluhu ya Aprili 22, 2021

Mzee mwenzangu; na mimi napitia taratibu hotuba nzima niisikilize; sidhani kama nitakuwa mbali sana na maoni yako. Kulikuwa na vitu nasubiri kuvisikia katika hotuba zake hizi mbili...
 
Nakubaliana na wewe kwa msingi kwamba uvutiaji wa wawekezaji uwe katika miradi ya kimkakati ambayo utatuwesha kutufungulia masoko ya nje kama kwenye utalii, na mboga mboga Matunda, na vyakula vingine ikiwezekana tuwe na sisi tuna hisa katika uwekezaji huo.
Sio uwekezaji wa wenye nguvu kuleta watu wao na sisi kuwa watazamaji kwenye ardhi yetu wenyewe, na kuishia na kazi za vibarua.
Pia kuhakikisha hatutoi mianya ya ukwepaji kodi na utoroshaji wa fedha na mitaji kwa kupitia "creative accounting " ambayo wana siasa wetu wengi hawajui au ndio njia wanayotumia kupitishia mambo yao.

Mara nyingi hii miradi wana siasa huwa na hisa zao hivyo kuweka sera za kumpatia mwekezaji faida kubwa au monopoly katika biashara zao, design ya Tiscan, iliyokuwa voda, walivyo binafsisha ttcl, na ujio wa celtel na kuwa sasa airtel, au mkataba ya madini, dhahabu na Gesi, iptl, richmond
 
Mkuu wala.usisumbuke sana maana muda bado. Hapa panaitwa MTAKUJA iwe leo, kesho au keshokutwa. Kila nilisemalo hutokea ilivyo toka enzi za Hi5, Nyenzo, Bcstimes na Jamboforums. Yawezekana wewe ndio mgeni..

2015 Niliwaasa Chadema wakati wa Lowassa dhidi ya Dr. Slaa nikapuuzwa sana ikapita na Nikasema Magufuli atakuwa rais wa mfano nikapigwa vita vile vile pande zote. Kwa hiyo nimezoea, miaka yote mimi hapa Jamiiforuns nimekuwa nikipingwa kwa hoja zangu maana kwenu hazingii akilini. Mnachoshindwa kujua ni kwamba, mimi nimebobea katika Siasa, nazijua.mbivu mbichi chachu n.k
 
Mkuu nimeishi na hawa watu miaka 33 leo hii halafu unanambia sijui approach ipi? Halafu watu wenyewe wanaoshindana ni Wamarekani na Wachina? Nani kamzidi mwenzake hapo mkuu..
 
Natilia shaka kinywaji unachotumia.

Kama tu maoni umeyaita uchambuzi... Kweli awamu ile tulipigwa!
Kichwa cha habari hiyo kimerekebisha na Admin wa Jamiiforums kwa nia njema pengine. Kwa hiyo AKILI KUBWA husoma yaliyomo na kutafakari, sii ku judge by the cover or heading..huo ni Utindiga..
 
Kila mtawala una maana gani ? Kwani wananchi walipigia kura MTU au Dira na mwelekeo wa chama kwa miaka mitano ijayo? Labda nikuulize wewe unadhani haya mabadiriko unayosema yangetangazwa na CCM na rais Magufuli ametutoka kabla ya Uchaguzi wa 2020 unadhani CCM ingeshinda Uchaguzi?
Na ikiwa kila rais anaweza kuja na mwekeleo wake basi kuna haja gani ya kuwa na Vyama vya siasa? Kwa nini kila mgombea Urais asiwe mtu binafsi, akishinda achague watu wake kama anavyofanya Mama Samia. Tuna Wasomi na Watalaam.kibao hawahitaji kuwa CCM wala Chadema na kutungiwa Ilani ya chama wakati wao wana mrengo wao kichwani.
 

Nimependa hapo kwa wanyonge. Hivi huwa wanamaanisha nn hasa wanaposema wanyonge? Au ni hao mama na baba lishe wanaowalisha wananchi wetu uchafu kwa kuvunja sheria za nchi? Jpm kwangu mm ni the most divisive president ever kwa Tanzania. Kizazi cha akina makonda, sabaya etc walikuwa juu ya sheria enzi za jpm why? Jpm hajawahi kuwa rais wa wanyonge alikuwa rais wa kikundi fulani na wale brain washed aliokuwa anawagawia pesa barabarani.

Mama Samia yuko exposed na part of ipi kwa kuwa amefanya kazi kwenye NGOs kubwa Znz kwa zaidi ya 20 yrs kama sikosei. Yule mwingine im sorry ila ushamba wake umetucost sana kama nchi kwa kweli.
 
Naunga mkono mengi uliyoandika humo kwenye mada, kwani nami mlengo wangu ni huo huo wa "Watanzania kujiletea maendeleo yao wenyewe">

Ila hiki kipande nilicho'quote hapo juu kuhusu uchaguzi: hivi unaandika kuhusu uchaguzi gani, huo wa 2020?

Ule kweli unaweza ukauita uchaguzi?
 
Umeanza vizuri umeanza kutoa boko ulipoanza kusema kuhusu mama anataka quantity hayo umesema wewe husimuekee mama maneno mdomoni, mama anachotaka production iongezeke with the best out come and best quantity ilikuuza adi nje sasa tasfiri yako sijui umeipata wapi shekh. Hivi unajua mda gani inatokea ili kuua nutrition ya land? Waulize wanaofanya kilimo mfano mdogo Hiroshima land imekufa sasa watatumia almost the same components kwenye kuzalisha?Tufike mda tukabali dunia ni kijiji tusiogope kuingia soko la dunia kama wachina wanaleta adi samaki huku nini kinatushinda kupeleka tunapotaka. Common sense brother.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo huu ndiyo uchambuzi au maoni yako
Toa na wewe uchambizi wako tofauti badala kukashifu bila kuonyesha wapi panakiwa kusahihishwa au kuongezewa. Mimi nimeona huo ni uchambuzi mahiri.
 
Jikite kwenye uchambuzi acha ukabila.
 
Nakubaliana na mengi, lakini la mwisho siyo kweli. China haijaendelea kwa mitaji ya nje, ila imeendelea kwa kuwapeleka wachina wengi nje na kurudi kuendesha gurudumu la maendeleo. Wachina maelfu na malaki wamesoma USA, Ujermani, Ufaransa, Urusssi, na Ulaya yote. Wengi wao walibaki wakifanya kazi huko na baada ya miaka waliondoka na teknolojia ambayo wameitumia kwao kuirusha China kimaendeleo.

katika miaka ya 90 Cgina ilikuwa na tenda ya kununua skrepa za computer za jeshi (USA). Waamerika hawakutambua kuwa wao walikuwa wanaenda kuzusambaratisha na kuiba siri za teknoljia kutoka hard drve. Walikujatambua wachina wameishaiba siri nyingi, ndiyo maana China ili pickup haraka katika miaka 80/90.
 
Mzee Mkandala, huo ni uchambuzi maoni au ni maoni yako madogo kwenye hotuba...!!?
Sasa umechambua nini hapo mkuu?
😁😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…