Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #101
Kama ni msomaji wa biblia hakuna cha kushangaza na kujiuliza!
Kasome tena biblia yako!
Lakini pia kama Upo mwilini zaidi huwezi kumuelewa!
Biblia nimeisoma yote zaidi ya mara nne.
Nimeichambua kuniambia nikasome tena sijui unataka nikatafute nini