Uchambuzi: Kwanini Simba kwa Onana wamepigwa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
𝙇𝙄𝙂𝙄 π™‰π˜Ώπ™Šπ™‚π™Š π™ƒπ˜Όπ™„π™…π˜Όπ™’π˜Όπ™ƒπ™„ π™†π™π™π™Šπ˜Ό π™ˆπ™π™ π™ˆπ™•π™π™π™„.

Yaan hiyo Ligi ya Rwanda akicheza MZIZE anachukua tuzo zote. Ukiona Umbo la Onana na Sarpong unaogopa ila kazi zao sasa alafu wote huwa wanatokea RAYON SPORT[emoji2296].

Yaani kwa Rwanda angalau mchezaji atoke APR kama Niyonzima na Twite lakin Rayon ambayo kila mwaka imejitahidi ni Nafasi ya pili ni bomu tu.

Yale Yale ya kina sawa kubwa

NIMEKAA PALEEEEEEEE
 
Una dalili ya roho mbaya We Jamaa, 😑😑😑😑
 
Eden Hazard alitoka timu ndogo sana Lille ya League 1 na akakiwasha EPL, Kagere alitoka Rwanda akaenda Kenya Gor Mahia kisha akaja Tz na akakiwasha Simba SC,

Chikwende alitoka Ligi na nchi ambayo mda huo walikuwa wanatuzidi karibia kila kitu Zimbabwe ni nini alifanya?
 
Nikiwa kama mdau wa michezo, sina ujasiri wa kumhukumu wakati sijamuona akicheza. Ligi itakapoanza, mbivu na mbichi zitajulikana.

Muhimu tu kila usajili kwa timu za ligi kuu, basi uwe na tija kwa timu zote zinazoshiriki. Na usiwe usajili wa mihemko, au kukomoana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…